Kwanini Wanaume Wakichiti hujulikana upesi na Wanawake zao, ila Wanawake Wakichiti kamwe Wanaume hawagundui?

Kwanini Wanaume Wakichiti hujulikana upesi na Wanawake zao, ila Wanawake Wakichiti kamwe Wanaume hawagundui?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.

Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
 
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.

Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
Mwanaume mpumbavu ndio anaweza acha mambo ya msingi na kufuatilia mwanamke.

Pili wanawake wanatabia za kusimuliana na kufuatilia watu na umbea kiasi akikuona mahala anaenda kumwambia shoga ake ,shoga wa shogake na ujinga kama huo.

Mwisho wa siku umewahi ona wanaume wakaacha kucheat kisa mwanamke amejua?
 
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.

Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
Huwa wanaume tunatumia hekima tunakausha tu maana tuna mambo mengi yakufanya,, na ndiyo maana siku tukichoka huwa hatusuruhishiki kiurahisi.....
 
Wasemavyo wajuaji wa mambo

Wanaume wanafanya tendo kwa hamu tu na tamaa yaani akimtamani mwanamke yeye anaamua tu kwenda naye tu alafu basi hawi na mawazo naye tena mpaka amuhitaji

Ila

Wanawake wanafanya kwa upendo yaani mpaka aamue kufanya tendo na mtu/mwanaume anakuwa ana asilimia fulani za kumpenda kikweli kweli so ndio maana baada ya tena mawasiliano na mawazo kwa huyo aliyeshiriki nayeye tendo yanakuwa mengi na ndipo anapojulikana kuwa anatoka na huyo fulani, so akifanya anafanya kwa upendo na kama anahamu anazimaliza zote yaani habakiwi hata na kidogo coz akili yake yote anaiweka kwa hiyo mchitiji mwenzake
 
Wasemavyo wajuaji wa mambo

Wanaume wanafanya tendo kwa hamu tu na tamaa yaani akimtamani mwanamke yeye anaamua tu kwenda naye tu alafu basi hawi na mawazo naye tena mpaka amuhitaji

Ila

Wanawake wanafanya kwa upendo yaani mpaka aamue kufanya tendo na mtu/mwanaume anakuwa ana asilimia fulani za kumpenda kikweli kweli so ndio maana baada ya tena mawasiliano na mawazo kwa huyo aliyeshiriki nayeye tendo yanakuwa mengi na ndipo anapojulikana kuwa anatoka na huyo fulani, so akifanya anafanya kwa upendo na kama anahamu anazimaliza zote yaani habakiwi hata na kidogo coz akili yake yote anaiweka kwa hiyo mchitiji mwenzake
Sio kwa hawa wanawake wa sasa ivi..
 
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.

Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
wanaume tuna papara sana
 
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.

Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
Ni rahisi kumgundua mwanamke kuliko mwanaume.. mwanamke huwa anacheat Kwa feelings kabisa kiasi ambacho kama umemzoea Kuna changes utaziona.. mwanaume unaweza ukacheat alafu ukarudi Kwa wife mapenzi ukazidisha yani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume mpumbavu ndio anaweza acha mambo ya msingi na kufuatilia mwanamke.

Pili wanawake wanatabia za kusimuliana na kufuatilia watu na umbea kiasi akikuona mahala anaenda kumwambia shoga ake ,shoga wa shogake na ujinga kama huo.

Mwisho wa siku umewahi ona wanaume wakaacha kucheat kisa mwanamke amejua?
Mwisho wa siku umewahi ona wanaume wakaacha kucheat kisa mwanamke amejua?

[emoji817]
 
Wasemavyo wajuaji wa mambo

Wanaume wanafanya tendo kwa hamu tu na tamaa yaani akimtamani mwanamke yeye anaamua tu kwenda naye tu alafu basi hawi na mawazo naye tena mpaka amuhitaji

Ila

Wanawake wanafanya kwa upendo yaani mpaka aamue kufanya tendo na mtu/mwanaume anakuwa ana asilimia fulani za kumpenda kikweli kweli so ndio maana baada ya tena mawasiliano na mawazo kwa huyo aliyeshiriki nayeye tendo yanakuwa mengi na ndipo anapojulikana kuwa anatoka na huyo fulani, so akifanya anafanya kwa upendo na kama anahamu anazimaliza zote yaani habakiwi hata na kidogo coz akili yake yote anaiweka kwa hiyo mchitiji mwenzake
Wanawake gani unaomaanisha hapa? Hii hii generation ya wadangaji na kausha damu?
 
Back
Top Bottom