Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lao wanalokazaniaga ni “mmeanza lini”😂😂ili akupimie adhabuNdo maana tukifumwa tunavunjwa viuno 😀😀maana mtu anawaza marazote ulizoenda huko na style ulizofanya 😂
Jichnganye usem mwezi ulopita mwenzio anapiga hesabu ya mwaka uliopita 😂😂😂Swali lao wanalokazaniaga ni “mmeanza lini”😂😂ili akupimie adhabu
True na lazima amdharau mmewe,Wasemavyo wajuaji wa mambo
Wanaume wanafanya tendo kwa hamu tu na tamaa yaani akimtamani mwanamke yeye anaamua tu kwenda naye tu alafu basi hawi na mawazo naye tena mpaka amuhitaji
Ila
Wanawake wanafanya kwa upendo yaani mpaka aamue kufanya tendo na mtu/mwanaume anakuwa ana asilimia fulani za kumpenda kikweli kweli so ndio maana baada ya tena mawasiliano na mawazo kwa huyo aliyeshiriki nayeye tendo yanakuwa mengi na ndipo anapojulikana kuwa anatoka na huyo fulani, so akifanya anafanya kwa upendo na kama anahamu anazimaliza zote yaani habakiwi hata na kidogo coz akili yake yote anaiweka kwa hiyo mchitiji mwenzake
Hao ni wale limbukeni Kuna wanaume huwezi jua utahisia tu harafu unayemhisi ndo siyeNakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
Wanachapiwa Makomandoo kama wale wa Jana Zanzibar Mapinduzi Day waliobeba hadi Fire Extinguishers Miilini mwao na Wamekomaa Kimedani ( Kivita ) sembuse Mimi?Daaaa Kaka Genta ujanja wote huo umechapiwa?
Kweli kabisaNakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
Nakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
1: Mwanamke akichiti ni rahisi sana kugunduliwa na mwanaume kwasababu mwanamke akisha chit anaanza zarau tena wakati mwingine anajisahau anakuambia iga wanaume wenzako sasa wewe jiulize kawajuaje wanaume wezangu. Mbaya zaidi anakua na kujishtukizia mara kwa maraNasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.
Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
Umeanza na Cc Hongera
Labda wa kwako huyo,Kuna nini Cha ajabu mpaka nisitulie?Nakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.
Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda Morogoro na kurejea Dar es Salaam Usiku kuna Dereva Mwingine ameiendesha sana na Kuichosha kwani nimejaribu kuiwasha Alfajiri hii imekataa kuwaka halafu ni kama vile leo haina hamu kabisa ya Kuendeshwa nami.
Hahaa.. Ukimaliza kusoma tupe maoni yako 😊🤭