Kwanini Wanaume Wakichiti hujulikana upesi na Wanawake zao, ila Wanawake Wakichiti kamwe Wanaume hawagundui?

True na lazima amdharau mmewe,
 
Nakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
Hao ni wale limbukeni Kuna wanaume huwezi jua utahisia tu harafu unayemhisi ndo siye
 
Nakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
Kweli kabisa
 
Nakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii

Umetoa siri yao,ngoja waje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
1: Mwanamke akichiti ni rahisi sana kugunduliwa na mwanaume kwasababu mwanamke akisha chit anaanza zarau tena wakati mwingine anajisahau anakuambia iga wanaume wenzako sasa wewe jiulize kawajuaje wanaume wezangu. Mbaya zaidi anakua na kujishtukizia mara kwa mara

2: Mwanaume mpumbavu akichiti anajulikana na mkewe kwasababu anamuacha mchepuko aendelee kugandana nae ili hali anajua nyumbani ana mke .

3: Ni ngumu kumgundua mwanaume mwenye akili pale anapo chiti, kwasababu mwanaume mwenye akili anachit kwa uangalifu kugawa upendo huko nje ili hali hapo hapo ana mlinda mkewe asipoteze amani ya moyoni
 
Nakazia, siku ukimkamata mwanamke kacheat ujue amenza kama miaka miwili au mitatu nyuma.
Ila mwanaume sasa, akipata babe mpya usiku kesho yake tu unamgundua maana hatulii
Labda wa kwako huyo,Kuna nini Cha ajabu mpaka nisitulie?
 
The same reason mwanaume akidinda anajulikana na mwanamke you never know km kadinda au la🤪🤪🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…