Kwanini wanaume wanaoongoza kwa kuoa wake wengi wanatoka nchi maskini?

Kwanini wanaume wanaoongoza kwa kuoa wake wengi wanatoka nchi maskini?

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)

Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?

photo-output.jpeg


Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
 
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)

Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?

View attachment 3245042

Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Nigeria in nchi ya kwanza utajiri Africa unafuatiwa na South Africa.....nchi masikini zaidi Africa majority raia ni catholics.
1. Congo Brazzaville
2.Burundi
3.DRC
4.malawi
5.zambia
6.mozabique
7.uganda
8.Rwanda nk.
 
Muafirika bila kuwa na rundo la wanawake huwa anajiona kama hajakamilika.
Na bahati mbaya kuna wengine wanatumia kivuli cha dini kumiliki wanawake ambao mwisho wa siku hawana uwezo wa kuwahudumia, wengine dini yao hairuhusu kuoa zaidi ya mwanamke mmoja lakini wana rundo la michepuko huko nje.
 
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)

Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?

View attachment 3245042

Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Lack of Capital
 
Nigeria in nchi ya kwanza utajiri Africa unafuatiwa na South Africa.....nchi masikini zaidi Africa majority raia ni catholics.
1. Congo Brazzaville
2.Burundi
3.DRC
4.malawi
5.zambia
6.mozabique
7.uganda
8.Rwanda nk.
Si kweli

Ila kama unabisha, nipatie chanzo chako cha taarifa (source)
 
Kipi ambacho sio kweli kwamba Malawi ni tajiri au Birundi?
Kila kitu ulichoandika kwenye hiyo reply. Una takwimu zozote za kubackup ulichosema? mfano Nigeria ni nchi tajiri zaidi barani Afrika, umetumia kigezo au data zipi kufikia hiyo conclusion?
 
Back
Top Bottom