Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?
Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
- Burkina Faso: 36%
- Mali: 34%
- Gambia: 30%
- Niger: 29%
- Nigeria: 28%
Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?
Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households