Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #61
Hii ni opinion au fact?Nigeria sio masikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni opinion au fact?Nigeria sio masikini
FactHii ni opinion au fact?
baba yako ameolewaKwahiyo nyie kondoo wa bwana mmeamua kuoana wanaume kwa wanaume ili mpunguze machoraa mtaani
Hunger due lack of money and lead to malnutrition 😄😄Lack of Capital
Namba hazidanganyi, inatafakarisha 🤔Ukiangalia, kuoa wake wengi kuna uhusiano na Imani zao:
Burkina Faso:ina waislam 64% na wakristo 20%
Mali:ina waislam 95% na wakristo 5%
Gambia: ina waislam 96% na wakristo 3.5%
Niger:ina waislam 98% na wakristo 2%
Nigeria:ina waislam 64% na wakristo 20%
Unajua utajiri au umaskini wa nchi unapimwa kwa vigezo vipi?Chukua Hii.
Nchi unazo ziona Masikini Wananchi wao ni matajiri.
Nchi unazo ziona ni tajiri Wananchi wake ni masikini.
Ukienda kama marekani, Watu wananunua nyumba kwa mkopo wa me & ke, Ukija bongo watu wanajenga ma mansion kwa hela zao
nani kakwambia maskini ndio wana watoto wengi? Angalia nchi zinazoongoza kwa idadi kubwa ya watu kisha urudi hapa.Maskini hana anachowaza zaidi ya chini tu hujiulizi kwanini maskini ndowanaongoza kua na watoto wengi
Leta mifano mkuu kwa ulichoandika no 1 ntakwambia india je hali zao kiuchumi wengi wao zikoje?nani kakwambia maskini ndio wana watoto wengi? Angalia nchi zinazoongoza kwa idadi kubwa ya watu kisha urudi hapa.
china,india hizo ni nchi masikini mkuu?Leta mifano mkuu kwa ulichoandika no 1 ntakwambia india je hali zao kiuchumi wengi wao zikoje?