rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
EWaaaa 😀, sisi ni matajiriHumu kila mtu ni tajir,tena tajir wa kila kitu nisamehe mimi nimekosa kusema nyie humu ni maskn😄😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EWaaaa 😀, sisi ni matajiriHumu kila mtu ni tajir,tena tajir wa kila kitu nisamehe mimi nimekosa kusema nyie humu ni maskn😄😁😁
Nenda nchi ya “Mali” ukawaone makapuku wenye wake wengi. Itakustaajabisha na kukusikitisha pia, sijawahi kuona kiwango kile cha umaskini 😞Tangu kale jamii zetu za kiafrica wake wengi ni ufahari utajiri na mamlaka , hakuna kapuku anaweza kuwa na wake wengi.
Research nimekuwekea hapo, usiwe mvivu kusoma!Clinton alikua na mke na anachepuka na secretary wake, Elon musk amezaa na wanawake wanne tofauti. Ni yaleyale tu, no research umekurupuka tu
Tofauti iko wapi? Kwahiyo Nigeria ni nchi masikini? Kama mleta mada alivo sema.Opinions are not facts, jifunze kutafuta taarifa sahihi na kuacha kupotosha.
View attachment 3245064
Source
Kwaiyo ngono ni starehe pekee ya maskini??Sio anachowaza ndio starehe peke yake aliyokuwa nayo ukiondoa pombe ya kienyeji
Wanakula nini sasa?Nenda nchi ya “Mali” ukawaone makapuku wenye wake wengi. Itakustaajabisha na kukusikitisha pia, sijawahi kuona kiwango kile cha umaskini 😞
Starehe ya kiumbe haiKwaiyo ngono ni starehe pekee ya maskini??
Ndio sasa wee unadhani kuna starehe nyingine atawe afford.Kwaiyo ngono ni starehe pekee ya maskini??
Bora wake wengi na umaskini kuliko hilo mkuu.!
!
Ohoooo... Na Kwa Nini Ndoa Nyingi Za Jinsia Moja Ziko Nchi Matajiri?
Hii nchi mi moja ya mchi zenye ahueni sana Africa. Hata Tanzania hatuifikii1. Congo Brazzaville
Acha watumie nyeti zao kihalali bwana 🤣🤣🤣Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)
- Burkina Faso: 36%
- Mali: 34%
- Gambia: 30%
- Niger: 29%
- Nigeria: 28%
Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?
View attachment 3245042
Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Kwahiyo nyie kondoo wa bwana mmeamua kuoana wanaume kwa wanaume ili mpunguze machoraa mtaanindio mnaoongoza kuzalisha machokoraa mitaani
Kukojoa ndo starehe pekee na mhimu Kwa mwanaume labda usiwe rijali au choko ndo utaipuuzamajority ya hizo nchi ulizotaja ni makobazi,kama unavyojua kobazi na wanawake mitala ni damu damu
Mbona wauliza jibu?Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)
- Burkina Faso: 36%
- Mali: 34%
- Gambia: 30%
- Niger: 29%
- Nigeria: 28%
Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?
View attachment 3245042
Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Nigeria sio masikiniNchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)
- Burkina Faso: 36%
- Mali: 34%
- Gambia: 30%
- Niger: 29%
- Nigeria: 28%
Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?
View attachment 3245042
Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Hehehe!!!Waarabu wameanza lini kuwa masikini
Duh! Hadi Tanzania ipo!!!Opinions are not facts, jifunze kutafuta taarifa sahihi na kuacha kupotosha.
View attachment 3245064
Source