Kwanini wanaume wanaoongoza kwa kuoa wake wengi wanatoka nchi maskini?

Kwanini wanaume wanaoongoza kwa kuoa wake wengi wanatoka nchi maskini?

Tangu kale jamii zetu za kiafrica wake wengi ni ufahari utajiri na mamlaka , hakuna kapuku anaweza kuwa na wake wengi.
Nenda nchi ya “Mali” ukawaone makapuku wenye wake wengi. Itakustaajabisha na kukusikitisha pia, sijawahi kuona kiwango kile cha umaskini 😞
 
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)

Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?

View attachment 3245042

Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Acha watumie nyeti zao kihalali bwana 🤣🤣🤣
 
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)

Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?

View attachment 3245042

Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Mbona wauliza jibu?
Starehe ya masikini ni kujamiiana.
Wattot wanaopatikana wanaingizwa kwenye soko la cheap labour.
 
Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa ndoa za wake wengi, zote ziko Afrika na ni nchi maskini sana.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Nchi zenye viwango vya juu vya kipato na elimu kama nchi za Ulaya na hata zile mashariki ya kati kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja (ingawa zile za kiislamu sheria zao zinawaruhusu kufanya hivyo.)

Je ni ukosefu wa elimu, tamaa za kimwili au waafrika kwa kiwango kikubwa ndiyo wameumbiwa haja za ziada zinazolazimu kuwa na mke zaidi ya mmoja?

View attachment 3245042

Source
Only about 2% of the global population lives in polygamous households
Nigeria sio masikini
 
Back
Top Bottom