rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Upo wewe mkuu 😅Kivyovyote ila kwenye umaskni tupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wewe mkuu 😅Kivyovyote ila kwenye umaskni tupo
Unategemea wavaa suti Wawe na wake wengi wakat bado wanatangaza ndoa za jinsia mojamajority ya hizo nchi ulizotaja ni makobazi,kama unavyojua kobazi na wanawake mitala ni damu damu
Kuna undisputed facts ambazo hazihitaji kuhoji kama we ni mtu wa media, ila kama we ni mgeni needa Google uingize most poorest countries in Africa.....hizo nchi zote zitakuja tuKila kitu ulichoandika kwenye hiyo reply. Una takwimu zozote za kubackup ulichosema? mfano Nigeria ni nchi tajiri zaidi barani Afrika, umetumia kigezo au data zipi kufikia hiyo conclusion?
Uko sahihi kabisa, hulka na tabia zetu lazima zibadilike.Muafirika bila kuwa na rundo la wanawake huwa anajiona kama hajakamilika.
Na bahati mbaya kuna wengine wanatumia kivuli cha dini kumiliki wanawake ambao mwisho wa siku hawana uwezo wa kuwahudumia, wengine dini yao hairuhusu kuoa zaidi ya mwanamke mmoja lakini wana rundo la michepuko huko nje.
ndio mnaoongoza kuzalisha machokoraa mitaaniUnategemea wavaa suti Wawe na wake wengi wakat bado wanatangaza ndoa za jinsia moja
Ukikaa mikoa ya pwani tu utaona kila mtanzania ni mwislamu tu ila ni kama 55 kwa 45 %Kwani Tanzania mojority ni catholocs au Muslims?
Sio anachowaza ndio starehe peke yake aliyokuwa nayo ukiondoa pombe ya kienyejiMaskini hana anachowaza zaidi ya chini tu hujiulizi kwanini maskini ndowanaongoza kua na watoto wengi
Wapi nimesema sababu ya umaskini Afrika ni kuoa wake wengi?Umaskini wa Afrika unazo sababu nyeti na sio hiyo uliyoitaja wewe.
Hivi kashakimbia mji kabisaMjinga mmoja anaitwa Dr mwaka alienda kuoa masista-duu watatu na sasa amekimbia mji baada ya kuanguka kiuchumi.
Hawa wajinga Wanaoa wanawake wengi Kwaajili ya njaa Tu ya chips mayai
Umetumia takwimu gani?ndio mnaoongoza kuzalisha machokoraa mitaani
Imechanganyika na “lack of education”Lack of Capital
Hata mimi sijasema kituWapi nimesema sababu ya umaskini Afrika ni kuoa wake wengi?
Kila mtoto anakuja na riziki yake,acheni woga wakuzaa,enendeni mkaijaze dunia,ilishasemwa.
Humu kila mtu ni tajir,tena tajir wa kila kitu nisamehe mimi nimekosa kusema nyie humu ni maskn😄😁😁Upo wewe mkuu 😅
Ni jambo zuri humu kila mtu akawa tajiri kwani ni vibaya?Humu kila mtu ni tajir,tena tajir wa kila kitu nisamehe mimi nimekosa kusema nyie humu ni maskn😄😁😁