Kwanini wanaume wanaoongoza kwa kuoa wake wengi wanatoka nchi maskini?

Kila kitu ulichoandika kwenye hiyo reply. Una takwimu zozote za kubackup ulichosema? mfano Nigeria ni nchi tajiri zaidi barani Afrika, umetumia kigezo au data zipi kufikia hiyo conclusion?
Kuna undisputed facts ambazo hazihitaji kuhoji kama we ni mtu wa media, ila kama we ni mgeni needa Google uingize most poorest countries in Africa.....hizo nchi zote zitakuja tu
 
Uko sahihi kabisa, hulka na tabia zetu lazima zibadilike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ