Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Sie wengine ndipo maradhi yetu yalipo, yaani ukutane na limejaa vizuri likawekwa kwa bra vizuri..kwa nini nisiweke jicho na hisia zangu hapo
 
Hua inakera Sana
 
Duu!udangaji una mbinu nyingi sana.
Hili ni tangazo la biashara kwamba ana chuchu saa sita.
 
Sasa unataka akuangalie mdomoni meno yako machafu ama unataka akuangalie usomi mmekua wapenzi
 
Huenda una kifua kidogo kilichobeba matiti makubwa, mashaallah. Hivyo wanaushangaa uumbaji huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…