Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Sie wengine ndipo maradhi yetu yalipo, yaani ukutane na limejaa vizuri likawekwa kwa bra vizuri..kwa nini nisiweke jicho na hisia zangu hapo
 
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Hua inakera Sana
 
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Duu!udangaji una mbinu nyingi sana.
Hili ni tangazo la biashara kwamba ana chuchu saa sita.
 
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Huenda una kifua kidogo kilichobeba matiti makubwa, mashaallah. Hivyo wanaushangaa uumbaji huo.
 
Back
Top Bottom