Kwanini wanaume wanapenda kufanya hivi wakati wa ku-sex?

Kwanini wanaume wanapenda kufanya hivi wakati wa ku-sex?

Sijui hikitu hata nakwede anakutana nayo Mara kwa Mara heri ya x-mass
 
Sababu kubwa kuona mwanamke anavyopokea mapigo yako,tukiona unafurahia ndo tunazidisha.Hapa inabidi mwanamke arembue,alegeza macho kidogo na agune gune au kulalamika.
Tukiona mwanamke anakukodolea mimacho tu,tena uso mkavu tunajua haridhiki au hana hamu ya tendo,hapa watu kama mimi tunatulia na tunauliza 'whats wrong babe, are you ok ? '.


Sent using Jamii Forums mobile app

Wachaa we


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Anapokuangalia anakuwa anajisemea moyoni nakula p ya mwenye hii sura nayoitazama. Uwe unakwepesha macho unavotutazamaga ndio mzuka unaongezeka. Uwe makini utaharibiwa kwa kutukazia macho maana na mapigo yanaongezeka.
 
Mwenye zuefu na mabadiliko ya mara kwa mara lazima agundue hilo,tatizo watu walianza wakiwa kidato cha kwanza, sasa kila jambo anafahamu, yani anakuwa na uzoefu kama vile alikuwa akiwafanyia utafiti, hapo sasa ndipo ile nyimbo ya kina stamina na yule inaibuka kidedea.
 
Dah umenkumbusha mbali sana kuna mzungu wngu nlikuwaga nae bwana,s asa inshort huwa napenda sana kumuangalia manzi ili kupima anapokeaje. Sasa kumbe na yeye akinogewa anakuangalia machoni basi tukawa tunaangaliana tu huku mechi inaendelea kila mda unavyoenda ndo mwnzngu sauti inazidi baada ya mda mtu akaanza kutetemeka mara macho yakafumba kabisa mda kidogo nazani alinimwagia kojo kama nusu jag zima then akapoteza network, kilichofata hapo ni kumpta mwanang wa kike mzuri kama mama yke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu weka wazi kidogo. Yaani wawili kwa pamoja wakikuingia?? Samahani sikutaka kukuudhi. Ila kama ni wanaume wawili tu uliowahi kuwakamata wakikuchungulia machoni basi utafiti wako sio kamili. Huwezi kusema ati, Wanaume wengi kumbe ni wawili tu.
Wengi huanzia wangapi?
 
hakuna lengo maalumu bali hii hutokea tu automatic kama kuna bond ya real love baina yenu in short macho huongeza hisia za kimapenzi baina ya wapendanao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom