akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Wanawake magubegube wana uwezo wa kuwateka wanaume waliotulia ila hawawezi kuwadaka wanaume chakaramu wenzi waoHabari wadau..!
Naomba leo tujadili hoja hapo juu kuhusu hawa wajamaa wapole halafu Mungu anawakutanisha na magubegube, kwanini?
Wanajikutanisha wenyewe na hao uliowaita 'magubegube' kisha wanamsingizia Mungu.Tatizo linaanzia hapo,mengine ni matokeo tu.Habari wadau..!
Naomba leo tujadili hoja hapo juu kuhusu hawa wajamaa wapole halafu Mungu anawakutanisha na magubegube, kwanini?
Mmh ila hao wapole when comes to maamuzi ni makauzu hao na wana misimamo. Mi nawapenda wapole naonaga ni wastaarabu flani japo wengine ni wazee wa kimya kimya ile😛kweli ila wanatia huruma maana hawana say,ila wanafaidi sana maana wanapata vitu vyenye viwango vya fifa sio vya mchangaji😂😂
Nipo mpwa, maisha yanaenda kasi sana mpwa.Mpwa upo ?
Basss sawa.Basi tubakie kwa kalio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kalio lina raha yake kuliangalia,kulishika,kulibinya[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Hii komenti umenisema.. watu na experience zenu..😂Mmh ila hao wapole when comes to maamuzi ni makauzu hao na wana misimamo. Mi nawapenda wapole naonaga ni wastaarabu flani japo wengine ni wazee wa kimya kimya ile😛
Mungu anataka hao wanaume wawatulize,,,sasa unashangaa nini hapoHabari wadau..!
Naomba leo tujadili hoja hapo juu kuhusu hawa wajamaa wapole halafu Mungu anawakutanisha na magubegube, kwanini?
Hapa kwenye hili kundi utanipata Mimi[emoji16] ni mpole sn..na kiukweli niliye naye ni mcharuko kwelikweli,Ila ananiohopa kishenzi.huwa anasema Nina misimamo ya ki Islamic stateMmh ila hao wapole when comes to maamuzi ni makauzu hao na wana misimamo. Mi nawapenda wapole naonaga ni wastaarabu flani japo wengine ni wazee wa kimya kimya ile[emoji14]