Kwanini wanaume wasasa wamekalia malalamiko na kusahau nafasi na majukumu yao kama vichwa vya familia?

Na bahati mbaya sana siku hizi kila mwanamke ana priorities zake, huyu anataka ukoloni, mwingine anataka usasa etc ilimrad tafran tu.
Inabid utuambie wewe ni aina gani ya mwanamke
 
Point yako iko wap??
Naona wewe ndo waleta malamiko
 
Jamani, si tulishakubaliana maisha ya sasa ni 50/50! Yaani hakuna kukubali kulea wala kulelewa?

Hao wanaokubali kuishi na kulea huoni nao wana shida pia coz maisha ya sasa huwezi kulinganisha na zama zile.

Kama mke unaamka alfajiri, unaacha watoto nyumbani kwenda kutafuta kipato, unarudi jioni umechoka, maana yake ni kuwa upo tayari kuchangia kifedha maendeleo ya familia yako. Usilalamike hata kidogo.

Kama mke unakaa nyumbani kuhudumia familia, hakikisha unatimiza majukumu yako kwa kulea watoto vizuri, baba atatafuta hela ili kukuhudumia wewe na watoto.

Tatizo wanawake wengi you want to eat your cake and have it.
 
Kwa mtazamo wako tu kama mwanamke ni mama wa nyumbani tu itakuwa tumefunga mjadala huu. Wapo wanawake walioelimika na ni mama wa nyumbani kwa sababu ni matkwa ya waume zao.

Madhali wote wameridhia na majukumu ya pande zote yanatekelezwa then hakuna shida mkuu.

Kwa uelewa wangu mimi mwanamke aliyeelimika ni yule ambaye ana elimu ya juu kumaanisha chuo n.k aidha ana bachelor degree au masterdegree n.k

Hilo kuhusu mtazamo wa mwanaume unaweza kuchangia ww!
 
Mbona ww ndio unalalama hapa akilalamika bwana wako huko unatujumuisha wote

Nowadays kujifanya kazi,usomi hata papunch mnatupangia ratiba ya kuila
 
Ndio nafanya hivo.Na inatusaidia wote economically tunaepuka kuelemea upande mmoja kwasababu tunasaidiana.Lakini ndio inabidi na mwenzangu asielemeze majukumu yote upande wangu ikija kwenye kazi za nyumbani mfano na malezi.Kila kitu inabidi tusaidiane...ikiwa mimi sina nafasi ya kupika yeye anapika,nikiwa kazini ye yupo nyumbani inabidi alee...nadhani umenielewa!
 
Mada kama hiz zinawapa sana kiburi wanawake

Ok ukweli mimi ni muumin wa mfumo dume km unavyouita familia yangu imenyooka heshima ndani ya familia imenyooka hamna kubishabisha ujinga nikishasema nimesema km baba watoto na mama yao lazima wafate
 
Mbona ww ndio unalalama hapa akilalamika bwana wako huko unatujumuisha wote

Nowadays kujifanya kazi,usomi hata papunch mnatupangia ratiba ya kuila
Mke akipanga muda wa kuliwa mbususus huyo sii unamuacha tuu akae na tundu lake wee unaenda kuchukuwa mwengine
 
Wanaume wa sasa ni kina nani?

Tulivyo wakabidhi nchi, mjue familia ndio wananchi. Ni jukumu lenu wamama kulea wananchi
 
Umeandika vingi sana lakini asilimia kubwa ya ulivyogusia umevielemeza personally kwangu which is wrong!Sipo kwenye personal interview.Kama unataka kunijua kwa undani nitafute kwa wakati wako!

1. Umri wangu hauhusiani na hii mada.Jitahidi siku zote uheshimu watu wa rika zote.Ukiheshimu na wewe utaheshimiwa.Mimi ni veteran jamiiforums kuliko ww ,nifatilie kwenye uzi zangu tofauti ujifunze kitu acha kukurupuka,sipo hapa kuandika porojo tu!

2. Nayajua mahitaji yote wa mwanaume physically,emotionally,psychologically na spiritually.

3. Role model yangu ni mama yangu mzazi na alikuwa kwenye ndoa halali kutoka kwenye usichana wake na marehem baba mpaka alipofariki(Mungu amrehemu).

4.Mimi sio mwanamke mjinga kama ndivyo unavyoassume kwasababu nimeleta mada mezani inayoendana kinyume na utakavyo

5.Sihitaji kujitathmini au kuainisha hilo kwako najitambua mimi ni mwanamke wa aina gani na wanaonijua wanatambua ni mtu wa aina gani.

6.Mimi ni mtu ambae namsaidia mume wangu kwa kila hali na mali.Hata kwa mtazamo wa 50/50 ni kwa manufaa yake binafsi vilevile na nampunguzia mzigo na manufaa ya baadae ni kwetu zote.Maisha ni kusaidiana.
Nadhani swali la saba limejibiwa kipengele cha 6.
 
Wanaume wa sasa ni kina nani?

Tulivyo wakabidhi nchi, mjue familia ndio wananchi. Ni jukumu lenu wamama kulea wananchi
Mkuu hawa walokuwa so active kwenye huu uzi.Wenye kutambua majukumu yao wanajieleza na wametulia.

Nikupe heshima yako kwanza!
Shikamoo babu @aspirin long time no see!
 
Michell Obama ni mwanamke mwenye akili sana na elimu ya kutosha alishawai kuhojiwa akasema japo ikulu kuna wafanyakazi wengi ila ni lazma ampikie na kufanya kazi zote za mama kwa wanawe na za mke kwa mumewe. Kuna tahira mmoja uku tanzania ana ka kazi kanampa kiburi anajikuta aneshalingana na mumewe .

Ndo maana kuna wake wakutumika na wanawake wakuoa . Sio kila mwanamke anafaa kuwa mke au mama .
 
Mbona ww ndio unalalama hapa akilalamika bwana wako huko unatujumuisha wote

Nowadays kujifanya kazi,usomi hata papunch mnatupangia ratiba ya kuila
Suala hili halihusiani na unayoyaongelea.Kama unapangiwa ratiba nakupa pole!
 
aisee bora ufuge ng'ombe kuliko kuwa na wewe
yaani hadi kubeba mimba unaona unaonewa
50/50 bado unasema unamuhudumia mume
hivi unaelewa unachoandika
moja ya madhara ya demokrasia ni haya
unaandika pumba kisha unatetea mashudu
Hivi unatambua tangia nimefungua huu uzi michango yako haijaleta maslahi yoyote! Kama huna la maana lakusema tafadhali kaa upande!Nakielewa nilichoandika,ni ww ndio usiyeelewa!
 
Hujaelewa mada tatizo sio kukataa kumpikia mume au kutimiza wajibu kama mke na mwanamke.Ni kusaidiana,hivi ww kumsaidia mkeo unaona ni shida sana kwahio umeoa mke au housegirl?
 
Nyakati za ujima na hadaa zinatoweka kwa kasi, na uhalisia wa maisha unajizihirisha, Wanawake walizoe kupora na kuchukua pesa na mali za bure kwa wanaume, na Wanaume walijijengea mawazo kuwa kuwapa manawake pesa au wakiporwa mali wananyamaza, Sasa wameamka na kuanza kusema wanayokumbana nayo.huo ni mwanzo tu, wanafunguka mengi na mengi yatajitokeza na kubadilisha mfumo mzima wa maisha.
 
Hujaelewa mada tatizo sio kukataa kumpikia mume au kutimiza wajibu kama mke na mwanamke.Ni kusaidiana,hivi ww kumsaidia mkeo unaona ni shida sana kwahio umeoa mke au housegirl?
Kumsaidia mke kufanya jambo gani . Mimi kama baba nahakikisha watoto wangu wanasoma, wanapata chakula , wanatibiwa wanapoumwa . Unataka nianze kudeki na kuosha vyombo ndo ziwe haki sawa . Yaani mwamamke akiwa hana kazi nyumba inaamani bado ila mwanaume utetereke tu kiuchumi au ufukuzwe kazi ndoa inaweza kuvunjika kabisa kama mtu anaishi na mwanamke wa type yako.

Tofautisha wewe kuchangia uchumi wa familia au kumzidi mumeo kipato kama sehemu ya wewe kuonekana mwanamke mwenye dhamani.

Kuna mwanamke hana elimu kubwa wala kazi ila dhamani yake ni kubwa kuliko mwenye elimu kubwa na kazi . Ubora wa mwanamke anayekitambua haupimwi kwa ivyo ulivyovisema
 
Nadhani ww ndio hujui ndoa na hata majukumu ya wana ndoa.Ndoa ni mkataba wa kuwa pamoja katika kila hali na kusaidiana .Its unlogic kwamba kwasababu upande mmoja una kipato kikubwa basi ndo ubebe majukumu yote?ikiwa hivo then benefits zote zinaangukia upande mwengine.
For the sake of mens ego / pride na jinsi malezi yalivyokuwa kwa wanaume kubeba majukumu yote ni kawaida but it doesnt meant thats the only formula to the equation.
Fikiria kama mnasaidiana na mnaweka akiba kukiwa na economic complication baadae hio akiba ni suluhu kwa wote.Tatizo mmeshakaririshwa vitu so ni ngumu kuelewa hili hilo nimelitambua so far.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…