Jamani, si tulishakubaliana maisha ya sasa ni 50/50! Yaani hakuna kukubali kulea wala kulelewa?
Hao wanaokubali kuishi na kulea huoni nao wana shida pia coz maisha ya sasa huwezi kulinganisha na zama zile.
Kama mke unaamka alfajiri, unaacha watoto nyumbani kwenda kutafuta kipato, unarudi jioni umechoka, maana yake ni kuwa upo tayari kuchangia kifedha maendeleo ya familia yako. Usilalamike hata kidogo.
Kama mke unakaa nyumbani kuhudumia familia, hakikisha unatimiza majukumu yako kwa kulea watoto vizuri, baba atatafuta hela ili kukuhudumia wewe na watoto.
Tatizo wanawake wengi you want to eat your cake and have it.