Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ila kula kwa jasho napo sio sifa mkuu...Mwanaume aliambiwa atakula kwa jasho.
Mwanamke, utazaa kwa uchungu.
Siku hizi wanawake wanakula kwa jasho na bado wanazaa kwa uchungu wakati wanaume achilia mbali kutokuzaa, hata ile kula kwa jasho inawashinda.