Kwanini wanaume watu wazima hupenda vibinti vidogo?

Kwanini wanaume watu wazima hupenda vibinti vidogo?

Halafu anakwambia kumbe wewe siyo mzee, baada ya kukuchangamsha akili na mwili, hahaaa!, ng'ombe hazeeki maini
Vuta picha gari bovu likivutwa na gari bovu, lazima litumbukie kwenye mtalo
Uncle,ile pulling si mchezo. Ukileta upuuzi una sanda dakika ya 20 tu hapo. Sema ndio hivyo chuma ikishakuwa ni ya mjerumani huwa hainoki kizembe.
 
Migofa Haina soko mkuu.
Unakuta imechezea pipe almost 20-37 for one keyi. Sasa hapo unadhani hiyo keyi Ina ladha Sasa au ni ramani tu Wala sio k tena
Mzee hili jina umetoka nalo wapi naomba ufafanuzi maana ya MIGOFA?😂😂😂😂
 
Tabia mbaya sana kulala katoto under 18, hizo excuses za mnato nk ni upumbavu tu wa watu wazima.

Ila mwanamke yoyote aliyepevuka anaweza kulala na mwanaume yoyoye wa umri wowote. 20s anaweza kuwekwa na 40s, 50s nk. Japo kwangu hiyo haipo, nahitaji mtu mzima mwenzangu, tunaweza kuongea mambo makubwa. Most 20s ukikaa nao private utatamani mda uende fasta, utaulizwa mambo ya kina mond na zuchu..wengine its a turn off.
Mzee mbona kama unatetea kambi ya Kike bila kujijua? Sasa kama unaweza kuona sawa mwanamke mtu mzima kulala la bwana mdogo then usione sawa kwa mwanaume mtu mzima kulala na binti mdogo hapo nahisi umechagua kubagua kwa makusudi.
 
Wengi wetu hatukuvitumia hv vi matiti saa 6 enzi hzo tena vilikuwa vinatukwepa na matusi juu,huu ndo muda wetu wa kuona chuchu saa 6 na kugusa ngozi laini na vina utelezi diaba
Na hapa ndipo ukweli ulipo kama wanaume wakiwa wa wazi kwenye hili swala. Ni malipizi ya kukosa mali mpya zenye hati safi enzi za ujana wao. Hakuna anaependa kulishwa makombo na masalia ya wanaume wenzake.
 
Kwa hiyo unawaambia wabadilike kulingana na soko linavyotaka??
Nawaambia na kuwakumbusha kuwa kanuni za asili huwa hazipindishwi. Na zinapopindishwa then madhara hutokea kwa kila upande uliosababisha matatizo.
 
Na hao waliotoka form 6, vya Diploma hapo 2007.
Mzee acha tu, yaani mezani kuna pizza, burger,pilau,wali wa nazi, chapati na nyama ya mchuzi,kuku wa kuchoma,then bado tunaletewa sinia la mandi,biriani, chipsi zege,matunda,mtori,mzee 😂😂😂😂😂 unashindwa uache kipi ule kipi, halafu anatokea bwege m'moja na makande yaliyochacha anakwambia ninakunyima ukiyataka haya makande nihudumie.

Siongelei chakula.😂😂😂😂 *****
 
Sababu ya kipuuzi hii umeandika.

Sababu halisi ni tamaa za kijinga.

Haiwezekani mbaba mtu mzima eti unaumia kisa ulikataliwa ukiwa sekondari.

Endeleeni, uzuri mvua 30 zipo.
Sasa si bora umeenda jela kwa kutafuta kile nafsi yako ilikosa kulikoni unaenda jela kwa wizi wa mali ambazo unaziacha huku nje wajanja wanazitafuna kama zao na mke wanamkaza pia.

Mzee hangaikia furaha yako.😂😂😂
 
Mzee mbona kama unatetea kambi ya Kike bila kujijua? Sasa kama unaweza kuona sawa mwanamke mtu mzima kulala la bwana mdogo then usione sawa kwa mwanaume mtu mzima kulala na binti mdogo hapo nahisi umechagua kubagua kwa makusudi.
Itakuwa hujanielewa mkuu. Nimesema mwanamke yoyote aliyepevuka anaweza kulala na mwanaume yoyote wa umri wowote. Ila binafsi sipendi watoto wadogo...
 
Ijapokuwa jamii ya watanzania wengi wanaona kitendo hicho ni kukosa maadili kwa maana inaonekana kana kwamba unamuoa binti yako kwa maana ki umri mdogo lakini uhalisia wake haupo hivyo.

Age gap ni muhimu sana. Wanawake walio wengi wakisha zaa mtoto mmoja au wawili tayari anaonekana mkubwa sana na hasa wanawake wa siku hizi. unakuta mwanamke au binti wa miaka 30 leo anaonekana kama mmama wa miaka 40 au zaidi.

Kutokana na hali hiyo ikitokea mwanaume ameoa mke na wamepishana miaka miwili au mitatu na wote wamefika 40 years hapo kutanguzana pamoja inakuwa kama mwanaume ametaanguzana na dada yake mkubwa kwa maana hata kumtambulisha eti huyu ni mke wangu ni aibu kwa watu.

HITIMISHO: Ni vema kuoa mwanamke mwenye umri mdogo kuliko kuoa mwanamke mwenye umri mkubwa (mzee). Inaleta raha pale mwanaume unafikia miaka 60 (age of retirement) halafu mke wako bado yupo kwenye good looking at age of 45 - 50 years, hapo mtaendelea kuenjoy maisha vizuri sana kuliko wote muwe wazeee wa miaka 60!
The age gap is very important for a stable relationship for couples.
Umeamua ushushe na lugha ya malkia kuonyesha msisitizo!
 
Tabia mbaya sana kulala katoto under 18, hizo excuses za mnato nk ni upumbavu tu wa watu wazima.

Ila mwanamke yoyote aliyepevuka anaweza kulala na mwanaume yoyoye wa umri wowote. 20s anaweza kuwekwa na 40s, 50s nk. Japo kwangu hiyo haipo, nahitaji mtu mzima mwenzangu, tunaweza kuongea mambo makubwa. Most 20s ukikaa nao private utatamani mda uende fasta, utaulizwa mambo ya kina mond na zuchu..wengine its a turn off.
Mkuu ERoni tuanzie hapa kwanza, Atoto ana umri gani?
 
Back
Top Bottom