Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

its myth, hamna ukweli
 
Nafikiri ni kwa sababu wanaume hao hukutana na wanawake hao wakiwa hawana sild... Unalalamika hufikishwi kileleni na umeanzwa kupandwa na wengi kabla yake, Huoni kama kifurushi cha hisia zako kimefika ukingoni?
kupendwa sio kutoa K
 
Kila mtu anapambania utamu wake kupitia mtu ili afurahie kama unanisubiri Mimi nikufikishe wewe jofie zako tu shughulika kupitia mwili wangu ili ufikie furaha unayoitaka mie nitashughulika nikitumbua nazi furaha yangu imefikia nakoroma kabisa
HUU NI UKICHAAA
 
we umefikisha wangapi kileleni?
 
wale wale, hamna mchango mnajaza comments
 
Tatzo wanawake weng wako kwenye mahusiano na watu wasiowapenda kiukwel... Wanawapendea pesa mali na wadhifa. .sasa utafikaje kilelen na mtu wala humpend kivile.

Tatzo ni lenu nyie sio wanaume..
NA WANAUME HAMNA MAPENZI TENA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…