Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Angalia moyo wako rafiki yangu tayana, nakuambia ukweli umependwaaMie namsikiliza dada angu anachosema ,Sina maamuzi 🤣
Pesa zinatafutwa, usije kuongopewa na mtu. Na unaweza shangaa tobo lako likawa kwa mulasil. Hujui ni nini kimewaunganishaKhaaaa jmn🤣
Yamekua haya Shem🙌
Tatizo bwana harusi anamiliki tv ya chogo 😂😂😂😂Hautaweza. Badala kusema utaliunganisha, ww unasema utalivunja. Hautafanikiwa
🤣🤣🙌 KumekuchaSafi sana bro, mm nimewakubali sana na nimekubali namna umepambania penzi lako. Much respect bro💪
Usimsikilize 😂Khaaaa jmn🤣
Yamekua haya Shem🙌
🙄🤣🤣🤣HaloooooPesa zinatafutwa, usije kuongopewa na mtu. Na unaweza shangaa tobo lako likawa kwa mulasil. Hujui ni nini kimewaunganisha
🤣🤣Omu ana mamboWee lazima uwepo serkali inaponikabidhi leseni ya miaka 100 mafoto sana siku hiyo
Hapo umefurahi!! Tayana shem wake anakuchuza utaenda kuteseka nakwambia 😂😂😂🤣🤣🙌 Kumekucha
Safi mulasil, dawa ya dharau ndo hiyo. Mpe dollar tayana, na Kama sasa hauna tafuta naamini uwezo wa kupata unaoDawa yake si uliniambia? Nampiga na dollar kichwani😂
Nikiteseka SI narudi nyumbaniHapo umefurahi!! Tayana shem wake anakuchuza utaenda kuteseka nakwambia 😂😂😂
Mimi nakuambia itawezekana. Na kwa nn ww ukatae ikiwa wenyewe wamekubali?Nimekataa hilo halitowezekana 😂😂
🤣🤣Shem km ShemSafi mulasil, dawa ya dharau ndo hiyo. Mpe dollar tayana, na Kama sasa hauna tafuta naamini uwezo wa kupata unao
Ujue ww ndo umemuharibu mulasil mpk kanichamba juzi 🤣🤣🤣🤣Safi mulasil, dawa ya dharau ndo hiyo. Mpe dollar tayana, na Kama sasa hauna tafuta naamini uwezo wa kupata unao
Kwa sbb ye ndo winga, connector 🤣🤣Mimi nakuambia itawezekana. Na kwa nn ww ukatae ikiwa wenyewe wamekubali?
Kakuchamba wapi tena🤣🤣Ujue ww ndo umemuharibu mulasil mpk kanichamba juzi 🤣🤣🤣🤣
Mulasil hana pesa za kumtunza mdogo angu simtaki na ww mshenga wake posa yenu tumeikataa 🤣🤣🤣Mimi nakuambia itawezekana. Na kwa nn ww ukatae ikiwa wenyewe wamekubali?
Ujue mnani confuse🤣🤣Usimsikilize 😂
Hivi hukuona maneno yake?? Na we ndo unamjaza shenzy 🤣🤣🤣🤣Kakuchamba wapi tena🤣🤣
Kwani yule dada Ako alikuwa wapi hajakusaidia🏃🏃🏃🏃
Halafu huwezi amini niliona comment 1 tu ,sikuekewa imeanzia wapi🤣Hivi hukuona maneno yake?? Na we ndo unamjaza shenzy 🤣🤣🤣🤣