Kwanini wanaume wengi hawapendi marafiki zao kuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada zao ?

Kwanini wanaume wengi hawapendi marafiki zao kuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada zao ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Yani unakuta mtu anaona bora hata dada yake atoke na mtu asiemjua kabisa lakini linapokuja swala la rafiki yake ku date na dada yake hapo huwa pana utata?
 
Rafiki si ni ndugu mkuu... Sasa rafiki aanze kukuhadithia anavyomshughulikia dada yako!!! How come!???
 
Nahisi ni wivu tu akifikiria unavyomkunja ndio balaa afu wanaume machaka yetu tunaambiana unakuta rafiki yako anajua madem zako zaidi ya sita jumlisha dada yake wa saba hatarii.
 
Yani unakuta mtu anaona bora hata dada yake atoke na mtu asiemjua kabisa lakini linapokuja swala la rafiki yake ku date na dada yake hapo huwa pana utata?
Kufahamiana kukizidi kunaleta udugu fulani.Vilevile,binadamu tumeumbwa wachoyo na wabinafsi(self-centeredness) hasa wanaume.Hivyo Ukiona hayo yanatokea ujue ni asili inatembea na mkondo wake tu.
 
Kufahamiana kukizidi kunaleta udugu fulani.Vilevile,binadamu tumeumbwa wachoyo na wabinafsi(self-centeredness) hasa wanaume.Hivyo Ukiona hayo yanatokea ujue ni asili inatembea na mkondo wake tu.
Barikiwa mtumishi. Ni rahisi sana watoto wa rafiki wa familia kuunganishwa na wazazi na kuoana kuliko marafiki kuoleana dada zetu. Kuna jamaa yangu alikuwa na dada. Kumbe kila tukienda pale mdada roho huwa juu sana. Alipopata namba ya jamaa yangu akajilipua. Wakanza kuenjoy uwepo wao. Dada kajitahidi kuweka mambo wazi nduguze wakaja juu ikiwa ni pamoja na kusitisha urafiki wetu. Wote tulioenakana wabaya sana.
 
Barikiwa mtumishi. Ni rahisi sana watoto wa rafiki wa familia kuunganishwa na wazazi na kuoana kuliko marafiki kuoleana dada zetu. Kuna jamaa yangu alikuwa na dada. Kumbe kila tukienda pale mdada roho huwa juu sana. Alipopata namba ya jamaa yangu akajilipua. Wakanza kuenjoy uwepo wao. Dada kajitahidi kuweka mambo wazi nduguze wakaja juu ikiwa ni pamoja na kusitisha urafiki wetu. Wote tulioenakana wabaya sana.
Inasikitisha.Maana urafiki wa wazazi hadi watoto wanauchukua kwa upendo mkubwa sana.Inafika sehemu watu wa hizo familia wanasahau urafiki na kuwa udugu.Ikitokea watoto wamependana kwa kutaka kuona ndipo taharuki huibuka.Maisha ya Kiafrika tunaishi kama familia moja.Tukubali kwamba Kuna faida nyingi tu.Lakini tujiandae kiroho na kiakili kuwa,yakizuka yakuzuka kuyakabili bila vurugu na chuki.
 
Kupigiwa story za dada zao na mashemeji zao...
 
Kuna siku watakuja kuropoka mambo amfanyiayo sister mbele ya kadamnasi na itakuwa aibuu

Wakiwa na mahusiano na sister yenye ugomvi ugomvi chuki huhamia kwa wote na urafiki kwishiney

sister akigobezwa ome kwamba kaanza tabia za kuzurura ili hali wamfahamu mkamuaaji unajihisi vibaya

etc
 
Babaangu na shemeji yake walikua washkaji kinoma. Hadi michepuko walikua wanatafutiana wale wazee. Sijui waliweza vipi!
 
Yaaani upo na shemeji yako ambae ndio rafiki yako mala limepita pis kali sasa hapo unafikili ukimsifia ww huyo shemeji yako atakuunga mkono, tunakaa rafiki zetu wasiwe na mahusiano na dada zetu ili tuwe huru ktk harakati za kusimuliana mambo ya mahabati, kuna muda unampanga mwana akija yule dem mwambie sipo kumbe upo chumba cha pili unachakata k mpya je unaweza kumwambia shemeji yako akija dada yako mwambie sipo kumbe , lkn upo chumba cha pili?
 
Rafiki zangu wote hawanaga akili kabisa
Ujinga mwingi, uhuni mwingi
 
Back
Top Bottom