Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

Haaaa mafuta gani Vaseline au babycare?
 
Duh......ina maana mambo ya mtandao wa tigo??
 
Hawa lazima watakua wa Dar tu....hakuna wengine wanaweza fanya upuuzi huu
 
Labda wanaume wa Dar sasa, maana huku kwetu tunabeba "michembe" na Karanga za maganda huku tukijiburudisha.
 
Wanapaka mdomoni waonekane wamekula midomo isikauke sababu ya njaaa hawali mchana wengi
 
Ungewauliza hao wanaume wenzako au unawaogopa?, wanaume huwa tunaulizana mi nakushangaa wewe. Inakuaje ndugu yangu, wanaume hatunaga roho kubwa kama wale wa jinsia ya ubavu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…