Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

Inakuwaje mtu unatembea kuchungulia mifukoni mwa watu? Au weye ni polisi unakaguaga vifurushi vya watu? Kama sivyo, basi, unatatizo au ulikuwa na kaujumbe flan ulitaka kutueleza sijui
 
Huyu anachunguzaga watu akiwa katika mazingira gani?
 
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii.

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.

Binafsi Nimekutana Nayo Sana Hii Hali Na Nimejiuliza Maswali Mengi Ni Kwanini au Wanaume Wenzangu Siku Hizi Wamekubwa Na Tatizo Gani Sijapata Jibu. Nawaombeni Ndugu Zanguni Kama Kuna Anayejua Nini Kipo Nyuma Ya Pazia Basi Si Vibaya " Akitiririka " Humu Ili Sote Tujifunze Kwani Yawezekana Kuna TATIZO Kubwa Lililojificha Na Pengine Linahitaji UFUMBUZI Wa Kina Na Wa Haraka Sana.

Karibuni Na Naomba Kuwasilisha.
Mambo ya waruka ukuta hayo
 
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii.

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.

Binafsi Nimekutana Nayo Sana Hii Hali Na Nimejiuliza Maswali Mengi Ni Kwanini au Wanaume Wenzangu Siku Hizi Wamekubwa Na Tatizo Gani Sijapata Jibu. Nawaombeni Ndugu Zanguni Kama Kuna Anayejua Nini Kipo Nyuma Ya Pazia Basi Si Vibaya " Akitiririka " Humu Ili Sote Tujifunze Kwani Yawezekana Kuna TATIZO Kubwa Lililojificha Na Pengine Linahitaji UFUMBUZI Wa Kina Na Wa Haraka Sana.

Karibuni Na Naomba Kuwasilisha.
Hàhàa hii ni kwawale wazinifu wanaamini kwamba wakitumia haya mafuta yanazuia maambukizi ya HIV
 
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii.

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.

Binafsi Nimekutana Nayo Sana Hii Hali Na Nimejiuliza Maswali Mengi Ni Kwanini au Wanaume Wenzangu Siku Hizi Wamekubwa Na Tatizo Gani Sijapata Jibu. Nawaombeni Ndugu Zanguni Kama Kuna Anayejua Nini Kipo Nyuma Ya Pazia Basi Si Vibaya " Akitiririka " Humu Ili Sote Tujifunze Kwani Yawezekana Kuna TATIZO Kubwa Lililojificha Na Pengine Linahitaji UFUMBUZI Wa Kina Na Wa Haraka Sana.

Karibuni Na Naomba Kuwasilisha.
Wanafanya kazi dangote cement, hivyo wanatembea na mafuta ya kujipaka kukwepa kupauka
 
Mimi nabeba baby oil nikifumaniwa na mke wa mtu hujimwagia niteleze. Hapo moto chini
 
Hahahaha duh, lakin mafuta haya sio mazur kuyatumia kama wanavyofanya
 
Back
Top Bottom