Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Washika dini sana hawana tofauti na wachawi.
 
Kumbadilisha ni suala litachukua muda kidogo,ongea nae kwa hekima mweleze vitu gani akifanya vinakufurahisha mfano,mwambie unapenda kuchat nae anapokuwa mbali na wewe,Mwishoni wa mambo yote ni wakati utakapo kuwa mjamzito,Hapo ndo maliza kila kitu maana huo ndo wakati pekee unaoweza kumlazimisha kuwa romantic na akawa kama unavyotaka!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nikwambie tu una bahati ya kupata Mme kama mnaweza ht kuchezea karata au akakwambia sema tu unataka nikupe nilale!!?
Aise shukuru Mungu kuna wanawake hawapato hata muda wa kukaa na waume zao akija akito.m.b.a analala akiamka anasepa mpk usiku tena akirudi, so kuwa mtulivu mummy!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.

Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.

Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype


2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.

Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,

Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.

Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.

NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,

sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,

Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianza kuhoji haya ujue roho wa kuchepuka hayupo mbali nawe, unahitaji ibada ya kumpakwa mafuta!
 
Back
Top Bottom