Kwanini wanaume wengi wa kitanzania hawapendi kupaka mafuta na kuvaa nguo za ndani ?

Kwanini wanaume wengi wa kitanzania hawapendi kupaka mafuta na kuvaa nguo za ndani ?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Poleni na ugumu wa maisha… Hapa kazi tu !

Wanaume mpo ?

Kuna kasumba fulani kwa wanaume wengi hapa Tanzania.

Wakioga hawapwndi kabisa kupaka mafuta na hata akipaka anapajipaka usoni tu na mikononi halafu anaishia mtaani kiroho safi. Anakula suti yake na tai kumbe huko ndani ukimcheck amepauka kinoma mpaka ngozi imekakamaa.

Na hawapendi kabisa kuvaa nguo za ndani.

Ni kwamba huwa wana haraka sana ama wanaogopa mafuta yanawaunguza huko ndani? Au wakivaa nguo za ndani watababuka kwenye joints za mapaja ?

Mwanaume akiumwa ama akapata ajali akawa hajitambui halafu akaenda hospital utastaajabu ya Musa…

Kukata kucha huwa kazi sana.

Kuvaa nguo za ndani kuna tatizo gani ? Kupaka mafuta vizuri mwili mzima ukanawili nini shida?

Badilikeni maana mnachana mashuka na kukwangua wake zenu…
 
pole mama..inaonekana type zako ni zile za hovyo hovyo ungekuwa unapata wanaume wa level za juu usingekutana hizo kash kash. ndege wa rangi moja huruka pamoja.

Poleni na ugumu wa maisha… Hapa kazi tu !

Wanaume mpo ?

Kuna kasumba fulani kwa wanaume wengi hapa Tanzania.

Wakioga hawapwndi kabisa kupaka mafuta na hata akipaka anapajipaka usoni tu na mikononi halafu anaishia mtaani kiroho safi. Anakula suti yake na tai kumbe huko ndani ukimcheck amepauka kinoma mpaka ngozi imekakamaa.

Na hawapendi kabisa kuvaa nguo za ndani.

Ni kwamba huwa wana haraka sana ama wanaogopa mafuta yanawaunguza huko ndani? Au wakivaa nguo za ndani watababuka kwenye joints za mapaja ?

Mwanaume akiumwa ama akapata ajali akawa hajitambui halafu akaenda hospital utastaajabu ya Musa…

Kukata kucha huwa kazi sana.

Kuvaa nguo za ndani kuna tatizo gani ? Kupaka mafuta vizuri mwili mzima ukanawili nini shida?

Badilikeni maana mnachana mashuka na kukwangua wake zenu…
 
Kweli kabisa hawapaki mafuta hasa kwenye makalio wamepauka balaaa na inapelekea ukurutu chini ya uvungu wa makendeee

Ushauri wangu watumie mafuta ya nazi kwa suluhisho lao.
Upo sahihi kabisa…
 
Binafsi hata mimi sigusagi kabisa mafuta labda kwenye massage ila hilo la kuvaa nguo za ndani labda vest. Lakini boxer piga uwa lazima nivae arifu.

Kuna siku nilikua nawahi sehemu nikapiga pensi bila boxer basi kuna muda Jamaa huku ndani akasimama ilikua balaa, utafikiri alikua anapiga mluzi kwasababu alikua hafichiki.
 
Poleni na ugumu wa maisha… Hapa kazi tu !

Wanaume mpo ?

Kuna kasumba fulani kwa wanaume wengi hapa Tanzania.

Wakioga hawapwndi kabisa kupaka mafuta na hata akipaka anapajipaka usoni tu na mikononi halafu anaishia mtaani kiroho safi. Anakula suti yake na tai kumbe huko ndani ukimcheck amepauka kinoma mpaka ngozi imekakamaa.

Na hawapendi kabisa kuvaa nguo za ndani.

Ni kwamba huwa wana haraka sana ama wanaogopa mafuta yanawaunguza huko ndani? Au wakivaa nguo za ndani watababuka kwenye joints za mapaja ?

Mwanaume akiumwa ama akapata ajali akawa hajitambui halafu akaenda hospital utastaajabu ya Musa…

Kukata kucha huwa kazi sana.

Kuvaa nguo za ndani kuna tatizo gani ? Kupaka mafuta vizuri mwili mzima ukanawili nini shida?

Badilikeni maana mnachana mashuka na kukwangua wake zenu…
unajipaka mafuta ili utoe tiGO? raha ya mwanamme ni kuwa na msuri, ngozi nyororo ukiwa nayo unatia shaka kwamba labda we ni wa Mombasa
 
Poleni na ugumu wa maisha… Hapa kazi tu !

Wanaume mpo ?

Kuna kasumba fulani kwa wanaume wengi hapa Tanzania.

Wakioga hawapwndi kabisa kupaka mafuta na hata akipaka anapajipaka usoni tu na mikononi halafu anaishia mtaani kiroho safi. Anakula suti yake na tai kumbe huko ndani ukimcheck amepauka kinoma mpaka ngozi imekakamaa.

Na hawapendi kabisa kuvaa nguo za ndani.

Ni kwamba huwa wana haraka sana ama wanaogopa mafuta yanawaunguza huko ndani? Au wakivaa nguo za ndani watababuka kwenye joints za mapaja ?

Mwanaume akiumwa ama akapata ajali akawa hajitambui halafu akaenda hospital utastaajabu ya Musa…

Kukata kucha huwa kazi sana.

Kuvaa nguo za ndani kuna tatizo gani ? Kupaka mafuta vizuri mwili mzima ukanawili nini shida?

Badilikeni maana mnachana mashuka na kukwangua wake zenu…



Check your targeted Market, soko lako ni la chini, and this define your level/standard
 
Back
Top Bottom