Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

Teh teh teh,Nlikuwa nae huyo ni hatar,Nlikua nae UDBS pale alinichezea mchezo mpk nlikuwa nackia moto afu hachok huyo ikafikia k inajamba!

usiseme sana...wengine wanachukua wala barger,teh teh teh
 
Ulivyoninyanyasia shosti wangu, unafikiri nimesahau. Halafu wewe unapenda kubebembelezwa nami pia napenda bembelezwa unaona shida hiyo! In as much as natamani kuingia mwenyewe kuicheza ila kuitesekea akuu! LOL

Basi nimejifunza kubembeleza...madam, so sweet....njoo ucheze ngoma ili upate uhondo ati...teh teh teh....Kaunga, tatizo langu mi sijui kuigiza...ndo nimeanza hiyo kozi bagamoyo chuo cha sanaa kila weekend. Eros asijari ntaanza kummbeleza
 
Teh teh teh,Nlikuwa nae huyo ni hatar,Nlikua nae UDBS pale alinichezea mchezo mpk nlikuwa nackia moto afu hachok huyo ikafikia k inajamba!
 
Basi nimejifunza kubembeleza...madam, so sweet....njoo ucheze ngoma ili upate uhondo ati...teh teh teh....Kaunga, tatizo langu mi sijui kuigiza...ndo nimeanza hiyo kozi bagamoyo chuo cha sanaa kila weekend. Eros asijari ntaanza kummbeleza

Kweli inabidi ujifunze aisee, ila si kitu ya acting zaidi ni kutoficha hisia zako tu!
Yaani kama ni ubembelezaji wa kisukuma nao can be sexy kama wakizaramo au wakispanish ingawa wako tofauti.
 
Kweli inabidi ujifunze aisee, ila si kitu ya acting zaidi ni kutoficha hisia zako tu!
Yaani kama ni ubembelezaji wa kisukuma nao can be sexy kama wakizaramo au wakispanish ingawa wako tofauti.

Wa kizaramo ndo wenyewe...I love their culture
 
Kizazi cha waume wa mbegu kiliisha zamani, wasasa mauzauza tu.


hapa ulikosa neno la kuandika? umepotoka mkuu na sio vizuri kutoa maneno yasiyo na staha mbele ya member humu ndani
 

sioni mbaya kukubaliana na ww asilimia zote
 
Haaahaaa! Na haujavunja kifungu chochote cha katiba...ila I wonder unakutana na wanaume wa aina gani ambao hawajui kufanya yale wanayotakiwa kufanya. Jaribu sisi kuku wa kienyeji utasahau shida zote.

Huwa sipendi watu wanaopenda kujipandisha chati wenyewe 🙂
 
isssue kubwa inayopelekea haya yote ni mitindo ya maisha yetu hasa hasa katika ulaji,huuu mpango wa chips mayai siyo kabisa,wazungu wanatuuuua ,wanataka waje watuuuuzie viagra na wengine kupoteza uwezo wa kwenda mshindo mara 3 au 5...kiukweli ukitaka kuondokana na tatizo hili dawa ni moja tu.kula chakula cha nafaka zisizokobolewa.Nazunhumza haya si kwa kujikweza ama kiujisifia,ila mimi ni mfuasi mkubwa wa dona hapa kwetu, na ndiyo ugali ambao mamamngu anatumia muda mwingi kuandaaa unga wake.
hata mtaaani watu wameshaaanza kuuukubali..hii ndiyo dawahalisi.
 



aisee pole sana miaka 7
 
Huwa sipendi watu wanaopenda kujipandisha chati wenyewe 🙂

Sasa usipojipigia debe, mpaka Kibonde aje kukupigia debe itachukua muda mrefu kiasi gani? Anyway, ndio maana dunia ina balance mambo...hata mimi kuna mambo siyapendi ila wengine wanayapenda....ndio yale yale ya kukubali kutofautiana ili mradi hatuvunji katiba,lol!
 
Umenikumbusha kitu kuna mzee mmoja mlinzi ofisini kwetu kuna siku alituvunja mbavu alikuwa ''anawapaka wanaume na vijana hawajui kabisa kushughulikia wanawake enzi zake mwanamke akitoka nyumba ya wageni na kama alikuwa na njemba ilikuwa inajulikana tu!kwanza mwendo,af full kuchoka,macho yamemuingia ndaniiiii!siku hizi mwanamke anatoka kwenye mchakato anarudi kazini,kama yupo home atafua,atadeki,atapika,atamwagilia maua,atasugua kuta,na ukirudi jioni hiyo unapewa mchakato bila matatizo'' kwa hiyo ndugu yangu hilo swala kweli lipo lakini linasababishwa na vitu ving sana,tena sana kuliko unavoweza kufikiria!wanaume wamezidi kula vyakula vyepesi we fikiria mtu asbh unakunywa chai kajikoombe kadooogo na mikahawa kibao unajitia micaffein tu,sausage 3 na piece ya mkate,mchana unakula chipsi mayai na mishkaki mitano,jioni kabla hujafika kwa mkeo unapiga bia zako nne ,ukifika kwa mkewo na wanawake siku hizi wasivojua kupika na mivyakula yao ya supermarket hii unakuta kakupikia macaroni na nyama ya kusaga na mijuice ya boksi,af mbya zaidi kwasababu umechelewa tht food has to be warmed in a microwave.Ukifika chumbani hicho chumba kama ndo una mtoto pampers zimejaa mpka kwenye dressing table,ye mwenyewe kashajilalia kwisha kazi.unajaribu kuonyesha upo interested anakujibu na we bwana ushaanza,ah haya chukua mi nataka kulala,basi unaamua kuchkua ukiwa ndo unachulkua unakuta daaah!maeneo yako hovyo ile mbaya yan hakujasafishwa wala nini,dah!mzee unapiga hivo hivo,ukiwa unaendelea mtu wala hatoi ushirikiano hapo kuna mawili hukumuandaaa,au umemkera umechelewa,au unambore.SASA UKICHANGANYA YOTE HAYO HIZO NGUVU ZINATOKA WAPI JAMANI!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…