Kwanini wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa?

Habari wanajukwaa,

Naona kuna wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa kuliko wale walionyimwa makalio, why!?
Kwa sababu CCM imeendelea kuwaburuza mburura waaiojitambua na kuwatoa lwenye mstari wa kujadili issues za kitaifa na kuzitafsiri kwenye kura
 
Dah!! Na walikuwa wana jamba kweli ukiwaambia wajambe hao wanawake ?!
 
Mimi kwangu tofauti kabisa

Sivutiwi na mwanamke mwenye matako makubwa

Napenda sana wa sampuli hiiView attachment 2883029
Na bado utakuja kuidharau hii sampuli siku utayopata flat screen yenye miguu ya kwale.

Kabla yake nami niliwekeza kwenye maumbo kama hayo.

Siku moja nikasema ngoja nijaribu ya kihindi, ebhanaeeh😆😆.

Halafu jamani nyie, sijui kwanini vitu vizuri hufichika katika maumbile yasiyovutia na vitu vibovu vinapachikwa kwenye mionekano ya maana!

Jaribu kutafiti.
 
Habari wanajukwaa,

Naona kuna wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa kuliko wale walionyimwa makalio, why!?


sio wote, wengine hawataki hata kuwaonja wala kupita nao!

Wengi wanapenda portable na akili kubwa kichwani na moyo wa upendo na utii na huruma.
Yaani uchaji Mungu wenye ufahamu thabiti na maarifa na hekima ya maisha na mahusiano.
Kumbuka kwenye hekima kunahisisha subira, msahama, uvumilivu, imani, adabu, heshima n.k.
 
Uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…