Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ndo maana Huwa unatuma nauli ya BM🤣🏃Liwe kiasi tu ikiwa kubwa sana halinogi bn......sema kuna namna linaleta hamasa ya kupiga miti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana Huwa unatuma nauli ya BM🤣🏃Liwe kiasi tu ikiwa kubwa sana halinogi bn......sema kuna namna linaleta hamasa ya kupiga miti
🤣🤣🤣🏃Mwanamke minofu ww.. Sio unakua unakalio dogo kama la mke wa prince William (Kate Middleton)
Kisa?mh.pole ombamungu uwe ushaolewa tayari
🤣🤣🤣Tembo ni mzuri akiwa Mbugani tu mama. Huwezi kufuga tembo nyumbani acha tule vikuku tu.
Tukae kwa kutulia🤣Wenye flat screen tupite kimyaa, 🙄
Tutulie kimyaa😀Tukae jwa kutulia🤣
Nawe umo🤣🤣Utajibeba
Mboga inachuma mboga 🙌Kama hivi Yani......
HahahahahaKm huwezi unasema usaidiwe mzigo mzito mpe mnyamwezi
Kwahiyo ukiowa bibiye akazaa ziwa likashuka ndio shughuri yake kwako imeisha?Mimi siangalii Ana tako kubwa kiasi gani ila asiwe mfupi na mfupa, kitu cha kuvutia kwa mwanamme kutoka kwa mwanamke ni maziwa yake tu, actually mwanamke ni maziwa, mimi binafsi maziwa ya mwanamke ndio yanayonipa mzuka zaidi kwenye sex, lakini mwanamke akiwa na mwili kiasi sio minyama uzembe kwa mimi naona hapa kama ni chakula basi nitashiba, mwanamke mwembamba naona kama nitaishi na njaa maisha yangu yote, mwanamke akiwa na nyama zinazoshikika huwa inanipa feeling flani hivi amazing.
Weka hayo makalio tuyaoneHabari wanajukwaa,
Naona kuna wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa kuliko wale walionyimwa makalio, why!?
Awe na tako kubwa,kiuno Cha nyingu.na manyonyo makubwa kiasiHabari wanajukwaa,
Naona kuna wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa kuliko wale walionyimwa makalio, why!?
Awe na tako kubwa,kiuno Cha nyingu.na manyonyo makubwa kiasiHabari wanajukwaa,
Naona kuna wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa kuliko wale walionyimwa makalio, why!?
Vitako vya hivi binakuaga vigumuMimi kwangu tofauti kabisa
Sivutiwi na mwanamke mwenye matako makubwa
Napenda sana wa sampuli hiiView attachment 2883029
Sasa hizo ni shida na wanaowaoa ni wapumbavu.Uzuri siku hizi wadada wanavaa sana tanfoam siku za harusi ila ningekwambia ujaribu kuzunguka zunguka uone mabibi harusi
Kipenda roho hula nyama mbichi.Habari wanajukwaa,
Naona kuna wanaume wengi wanapenda wanawake wenye makalio makubwa kuliko wale walionyimwa makalio, why!?