Tatizo la kinywa kutoa harufu mbaya tunaliita kwa kitaalamu "HALITOSIS." Kwa summary tu, Kuna vichocheo vingi vinavyosababisha kinywa kutoa harufu mbaya, na hapa utaweza kujua ni gender ipi ni more prone:
1. Aina ya vyakula tunavyokula ... Women are more selective kwenye msosi kuliko wanaume. Wanaume hawabagui.
2. Life style habits eg. pombe humo & sigara nk..
3. Of course usafi wa kinywa usioridhisha ... Tofautisha men vs women
4. Kuna baadhi ya magonjwa yanaweza kupelekea kinywa kutoa harufu mbaya (hii nafikiri haibagui jinsia).
Otherwise google neno "halitosis" utapata shule ya kutosha.