Braltaree
Member
- Aug 8, 2014
- 35
- 33
Wanaume wakiongea wanatumia sana maneno yanayoishiia au kuanza na Ha, ho nk kwa mfano hoya, halloo, hahaha nk, wanawake wao wanatumia maneno yanayoanza na eeeee, iiiiii, halafu wanaume wanaume tunaongea kwa kutumia mdomo wakati wanawake wao wanatumia pua kuongea. Teh teh teh.
Kwi Kwi Kwi