ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #21
Wanasema huwa hawajisifii ukiona mwenye hela anajisifia jua hanaHizo sifa zote ninazo,afu pia nina bonge ya uboo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema huwa hawajisifii ukiona mwenye hela anajisifia jua hanaHizo sifa zote ninazo,afu pia nina bonge ya uboo.
heeeeeHizo sifa zote ninazo,afu pia nina bonge ya uboo.
Msukemnatuchanganya sasa tunyoe au tufuge nywele...?😠
Hamna kitu hapo mtu akijisifia nguvu au utundu mara nyingi huwa Holaheeeee
Sio hivyo tu mkuu wengine tuna vipilipili og yaan nywele ukiichana ndani ya sekunde kama hujachana ndo maana mda wote kichwa kinapigwa para la maana.Asilimia tisini wanaonyoa vipara wanaficha vipara vyao vya asili
Tafiti zinaonyesha watu wenye vipara ni mahaba Niue yaani wanadondokeaga mazima na wengi akipenda hasikii tena na wengi wako romantic,na unaweza kukubali kufanya lolote amlidhishe pisi wake
🤣🤣🤣🤣Alikupiga na kitu kizitoMhhh kuna mmoja nilitamani ahame mtaa sio kwakuni harrass vile..mimi na vipara wapi na wapi...😃😃😃
kwanini tumetaka kuwa na vipara?Kipara hapana. Alafu ukute ana sura ya duara anakua kama biringanya.
Na wewe una kipara?kwanini tumetaka kuwa na vipara?
mnatuonea
bado😅Na wewe una kipara?
Mimi nasemea yule mtu ananyoa nywele zote kwa makusudi huyu ndio sitaki.bado😅
85% ya wanaume wanaanza kupoteza nywele kabla ya 50
ni kawaida yetu