Dah mi nashukuru wangu hajasumbua sana japo chamoto nilikipata, mara
Mlenda,
Ugali
Kae tu na mm hapo aniangaliee
Kitu kipo mbele yake ataniita uko nilipo labda nje nimletee, bafu choo ndani ila nimsindikize, ila swala lakutuma tuma ndio lilikuwa kero, nilikuwa namwekea maji chupa zake mbili pembeni ya kitanda ,ila ataniamsha usingizini nimpe maji, ataniita nje ananiambia baby naomba niletee chumvi, nikimuuliza ya nn nataka nilambe, nikawa naficha chumvi maana ilikuwa inaisha, ila nashukuru ni mtu mwenye huruma akishanituma sana hvyo baadae ananilaza miguuni pake ananibembeleza mpka najikuta nimelala ,I real love Her