Hahahahah hata yeye aliniambia ni tamu kweri kweri kwahio nimpatiege misimbazi mara kwa mara ili ku boost furaha yake π€£π€£π€£!Hela ya mume tamu nyieeeeeeee
Hakika tunanyanyasika na hili jambo liingizwe kwenye katiba mpyaMheshimiwa mama Samia Suluhu Hassan atapat wasaa wa kuyasoma mabango yenu
Hahahahah oya watoto wazuri kama nyie mnastahili kujengewa monument zenu JFHuwezi ona bro hapa ila nahakikisha alipo nipo..yani nachangia hata theluthi...uchoyo ni tabia tuu maybe ya kurithi..ila nadhani hapa pia wanaume msijiondoe kabisa ktk ule uhalisia wa majukumu yenu...mfano ww unaprovide kila kitu mimi nashindwaje kufanya hata madogo madogo yanayojitokeza? mkisha weka mind set hawa ni jukumu langu yani i mean familia ni jukumu lenu wala hamtalalamika...
Mie gelofrend tuu akininyima mbususu napiga chini nashangaa hao wanaume uchwara wanaovumilia mke asiyetaka kugegedwaupo sahihi boss,mwanamke anakupangia siku za kumla..mwanamke mpaka ajisikie ndio akupee mbususu ...ukitoka nje ya ndoa ananza lalamika ooooh me nime kunyima nini au au huyo ana nini kunizidi mimi.bullshit unabaki unamtukana kimoyomoyo tu. baada ya hapo inakuwa ndoa ndoana
Nainjoy sana maana vichwa ngumu wanakula nondoHahaha nakuona kila siku mada za hivi lazima uandamane tuu na bango kubwaaa
Anajifanya mandazi yani kwamba haelewi chanzoπ€£upo sahihi boss,mwanamke anakupangia siku za kumla..mwanamke mpaka ajisikie ndio akupee mbususu ...ukitoka nje ya ndoa ananza lalamika ooooh me nime kunyima nini au au huyo ana nini kunizidi mimi.bullshit unabaki unamtukana kimoyomoyo tu. baada ya hapo inakuwa ndoa ndoana
Kwa akili ya hawa dada zetu watakuambia ndiyo wajibu wa mume wakeItashangaza sana Dr. SAMIA akiomba hela ya nazi kwa mumewe π
Na ulivyo natural sasa, wacha kabisa.π€£π€£π€£π€£We mwache tu ajitoe ufahamu
Mbona hujamjibu mleta uzi [emoji1]We toka lini ukawaza kuoa?
Hahahahahah morning glory imegeuka morning invasion of πΊHuu uzi niliuona saa 11 alfajiri nilipoamka..
Nkajisemea hapa leo ndio leo sema nkapotezea kwanza na nkajisemea wala sikoment muda huu ntaonekana mhh
Lakini nlijua tu leo lazima moto uwakeee sio kwa morning glory ile
PatachimbikaHuu uzi niliuona saa 11 alfajiri nilipoamka..
Nkajisemea hapa leo ndio leo sema nkapotezea kwanza na nkajisemea wala sikoment muda huu ntaonekana mhh
Lakini nlijua tu leo lazima moto uwakeee sio kwa morning glory ile
Nimejibu sana tu endelea kunisomaMbona hujamjibu mleta uzi [emoji1]
Majibu please
Ova
Hahahahahah sema lile toto Kwini lipo soft sana hata mie ningeleta utata kwenye Talaka π€£π€£π€£Wale wote pamoja na wake zao walikuwa waigizaji. Hivi uliona wapi mwanaume anapiga picha na wake zake wote 3 wapo kitandani...hata yule mdai talaka eti ameongozana na familia yake bakwata wanachamba.....yale yalikuwa maigizo na mwisho sterling akifa ndo mwisho wa igizo
Hahahahahahahaha kilio cha wanaumeeePatachimbika
Kama ni mke upo sahihi ila sio mtu awekeze kwa free agentWanaume tupendeni tupeni hela tupendeze hilo ni jukumu lenu..na sisi tutafanya mengine vizuri tuu mbonaa..na ni fahari mwanaume kumpendezesha mkewe na familia..na mwanaume wala halimuumi..mbona kama nyie vijana siku hzi imekua nongwa?? Ni malalamiko tuu?...mm napenda nitunzwe na mume wangu na mm kuna mambo mengine nafanya pia kwa familia yangu..
Hahah sasa namna ile ya kwenda na ukoo mzima kudai talaka hata awe mzurije ndo basi tena ashajichafuaHahahahahah sema lile toto Kwini lipo soft sana hata mie ningeleta utata kwenye Talaka π€£π€£π€£
Yah yuko vzr ni mrembo..mimi sinyimaagi sifa kwa wadada warembo πππHahahahahah sema lile toto Kwini lipo soft sana hata mie ningeleta utata kwenye Talaka π€£π€£π€£