Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Hela ya mume tamu nyieeeeeeee
Hahahahah hata yeye aliniambia ni tamu kweri kweri kwahio nimpatiege misimbazi mara kwa mara ili ku boost furaha yake 🤣🤣🤣!

Uzuri sio kwamba ana njaa kwahio hata napompa nakuwa sina presha kwamba nahonga.
 
Huwezi ona bro hapa ila nahakikisha alipo nipo..yani nachangia hata theluthi...uchoyo ni tabia tuu maybe ya kurithi..ila nadhani hapa pia wanaume msijiondoe kabisa ktk ule uhalisia wa majukumu yenu...mfano ww unaprovide kila kitu mimi nashindwaje kufanya hata madogo madogo yanayojitokeza? mkisha weka mind set hawa ni jukumu langu yani i mean familia ni jukumu lenu wala hamtalalamika...
Hahahahah oya watoto wazuri kama nyie mnastahili kujengewa monument zenu JF
 
upo sahihi boss,mwanamke anakupangia siku za kumla..mwanamke mpaka ajisikie ndio akupee mbususu ...ukitoka nje ya ndoa ananza lalamika ooooh me nime kunyima nini au au huyo ana nini kunizidi mimi.bullshit unabaki unamtukana kimoyomoyo tu. baada ya hapo inakuwa ndoa ndoana
Mie gelofrend tuu akininyima mbususu napiga chini nashangaa hao wanaume uchwara wanaovumilia mke asiyetaka kugegedwa
 
upo sahihi boss,mwanamke anakupangia siku za kumla..mwanamke mpaka ajisikie ndio akupee mbususu ...ukitoka nje ya ndoa ananza lalamika ooooh me nime kunyima nini au au huyo ana nini kunizidi mimi.bullshit unabaki unamtukana kimoyomoyo tu. baada ya hapo inakuwa ndoa ndoana
Anajifanya mandazi yani kwamba haelewi chanzo🤣
 
Huu uzi niliuona saa 11 alfajiri nilipoamka..
Nkajisemea hapa leo ndio leo sema nkapotezea kwanza na nkajisemea wala sikoment muda huu ntaonekana mhh
Lakini nlijua tu leo lazima moto uwakeee sio kwa morning glory ile
 
Huu uzi niliuona saa 11 alfajiri nilipoamka..
Nkajisemea hapa leo ndio leo sema nkapotezea kwanza na nkajisemea wala sikoment muda huu ntaonekana mhh
Lakini nlijua tu leo lazima moto uwakeee sio kwa morning glory ile
Hahahahahah morning glory imegeuka morning invasion of 🚺
 
Huu uzi niliuona saa 11 alfajiri nilipoamka..
Nkajisemea hapa leo ndio leo sema nkapotezea kwanza na nkajisemea wala sikoment muda huu ntaonekana mhh
Lakini nlijua tu leo lazima moto uwakeee sio kwa morning glory ile
Patachimbika
 
Wanaume tupendeni tupeni hela tupendeze hilo ni jukumu lenu..na sisi tutafanya mengine vizuri tuu mbonaa..na ni fahari mwanaume kumpendezesha mkewe na familia..na mwanaume wala halimuumi..mbona kama nyie vijana siku hzi imekua nongwa?? Ni malalamiko tuu?...mm napenda nitunzwe na mume wangu na mm kuna mambo mengine nafanya pia kwa familia yangu..
 
Wale wote pamoja na wake zao walikuwa waigizaji. Hivi uliona wapi mwanaume anapiga picha na wake zake wote 3 wapo kitandani...hata yule mdai talaka eti ameongozana na familia yake bakwata wanachamba.....yale yalikuwa maigizo na mwisho sterling akifa ndo mwisho wa igizo
Hahahahahah sema lile toto Kwini lipo soft sana hata mie ningeleta utata kwenye Talaka 🤣🤣🤣
 
Wanaume tupendeni tupeni hela tupendeze hilo ni jukumu lenu..na sisi tutafanya mengine vizuri tuu mbonaa..na ni fahari mwanaume kumpendezesha mkewe na familia..na mwanaume wala halimuumi..mbona kama nyie vijana siku hzi imekua nongwa?? Ni malalamiko tuu?...mm napenda nitunzwe na mume wangu na mm kuna mambo mengine nafanya pia kwa familia yangu..
Kama ni mke upo sahihi ila sio mtu awekeze kwa free agent
 
Back
Top Bottom