Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Bora umemchana makavu maana ameandika hoja hewa sana haina uhalisia.
 
Kwanza hii tabia ya kuamini mwanamke ndie anajua kubudget pesa ndio changamoto ambayo imewapelekea wanaume wengi kupata changamoto za kiafya siku za mbeleni au kukosa utulivu wa akili na kuwa na misongo ya mawazo isiyo na mbele wala nyuma.

Kwann kubudget pesa yako iwe kazi au zoezi gumu?! Wewe umeitafuta and therefore wewe ndie unapanga matumizi.
 
Ukikua ndiyo utajua haujui, Bill Gates na Jeff Bezo waliachwa na walikua wana provide A-Z . Ukiwajua wanawake utajuta kujiongelesha mambo ya kizembe kama haya
Huyu bado yupo under care kama sio ya wazazi basi anaishi kwa ndugu ama shemeji. Hajaanza kujitegemea na kujionea balaa la hawa viumbe.
 
Kwahiyo wanaume inebidi tuwe hypogemy tuoe wanawake wenye low status ili waridhike na watakacho tukita nacho. Ila na hilo ni gumu unaoa House girl aweze kufanya kazi kama alivo kua ila ukikamilisha taratibu za kumuoa nayeye anakuambia umwekee mschana wakazi, eti ka,I ni nyingi, wanawake wamekua shida kweli kweli.
 
Anayekupikia, kukufanyia usafi wako binafsi na nyumba yako, kukulelea watoto, kukulindia nyumba vyote hvyo hujaona....
Wanaokuja na hoja hizo wana element za ushoga na hivyo kuona mwanamke anafaidi. Kwamba alikuja kama alivyo anaondoka na 50%
Okay , so tufanye hizo ni sababu za kugawana mali. Mbona ninyi masingle mother siku hizi mnaongoza kwa kuexploit watoto wa kike kwa kutorosha watoto wa watu umri wa miaka hata 12 mnawaleta mijini kwa madai mnawafunza kazi.

Hawa mabinti wanafanya kazi na kupewa majukumu nje ya uwezo wao wa kiakili na kimwili/kiumri. Mwisho wa siku mnakaa nao mnawafuja jitihada zao kwa posho ndogo ambazo mnazipa majina ya mishahara na bado mnawarusha kuwapa kwa wakati.
Na mkiona wameanza kukua kiakili yaani kufikia umri w balehe mnawafukuza kwa visingizio mbali mbali kuwa wamekuwa viburi, wanadharau, wavivu, wanatabia mbaya au ushirikina.

Je , na hawa mahousegirl kwa maudhui uliyosema hapo kuwa kupikia ,kumfulia,kumlelea watoto,kumlindia nyumba na kumfanyia usafi mwanaume ni sababu zinazokupa uhalali wa kisheria wa kugawana nae mali je na wewe hawa mahousegirl huwa unaconsider kugawana nao mali kwa majukumu ambayo wamekufanyia kwa muda wao wote uliowapotezea?

Tena mkiwapotezea muda mnawaacha solemba bila ramani watoto wa watu wanaishia mitaani humu wanaanza kuwa wadangaji au wanaenda kufanyisha kazi ambazo si sehemu ya maisha yao kuwa barmaids, kuwa wasaidizi wa mama ntilie, kufanya kazi kwenye madanguro ya ngono au kuwa wale wadada wa salooni.

WANAWAKE mnajiona wajanja sasa ila subirini very soon hizi movements zenu za kiseng* zitabackfire na hamta amini jehanamu itakayowavaa hapa Duniani. Mark my words. Very soon mtaanza kujifunza kwa gharama kubwa.
 
Wanasema asili utadhani waliandikiwa sehemu kuwa hii ni asili.
 
Wanasema asili utadhani waliandikiwa sehemu kuwa hii ni asili.
Hio asili ni kichaka tu kama kile kinachotumiwa na mabazazi wa kuwa mke mmoja hatoshi.

Badala waseme hela zikizidi wanawiwa kuchepuka sababu wanawake wanawafata fata sana kama inzi na sio ustaarabu kuwaacha hivi hivi. 😀
 
Dada wa kazi ndio anabeba mimba za watoto na kuwanyonyesha,au sio?
Mnanyonyesha saa ngapi kutwa kucha mpo mitaani huko mnapuyanga ?!

Kwanza siku hizi kunyonyesha watoto na kuzaa kwa njia ya asili mnaona ni mzigo mnanyonyesha mtoto hata miezi 3 sababu ya mambo mnajifunza kwenye mitandao. Mkijitahidi sana mnanyonyesha miezi sita halafu mtoto anaanza kupambana na maziwa ya kopo na chakula cha kawaida.

Ndio maana hata matatizo ya watoto ya akili yanaongezeka, nenda pale CCBRT wakupe takwimu utaelewa.

Yaani mabinti wa sasa ni kama kizazi cha bahati mbaya ambao mlikuja hapa duniani kupoteza muda kufanya upuuzi na kuondoka huku nyuma mkiacha uharibifu na laana za kila aina.
 
Kuna wanawake hawafanyi hayo, usikariri nyumba hazifanani aisee kuna wanawake hawaishi maisha hayo kabisa ni wa kuendeshwa na gari kupelekwa na kurudishwa kazi zote zafanywa na dada wa kazi, amka uko usingizini
Tena anaota ndoto mbaya kupita maelezo.
 
Wanakunywa SMA and COW AND GATE
.....Maana Yuko busy kulea baba zao wasiojua majukumu yao
 
Exactly
 
Unathamini mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa mwanamke na sio mwanamke jina tu ila changamoto kibao.

Kimsingi kuna mahousegirl ukiwapima hadhi yao utawaona wapo vizuri sana katika kuwajibika na majukumu ya kifamilia hadi unatamani kuvunja ndoa uoe beki tatu. Changamoto mnazohangaika nazo huwa hazina uhusiano wa moja kwa moja na ndoa.
 
Hayo majukumu ya mume mnaya benchmark wapi, sisi binadamu ni wanyama je wanyama wengine wanafanya hivyo? Chukua mfano wa Simba, wao ndiyo on top of our food chain, simba mume ndiyo anabebeshwa mzigo huo au ni team work?
Hili swali ni la msingi sana.
 
Kwani sisi Ni Simba?haya mbona humtolei mfano ndege?
Ndege shughuli ni ile ile mifano hai ni mingi. Kunguru, njiwa, shorwe na ndege wengineo wanaishi kwa style hiyo ya kusaidiana majukumu jike akifanya majukumu ya kulisha na kulea vifaranga huku ndege dume akienda Bar kupanga maisha na ndege wengineo wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…