MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
-
- #81
It is women's problem and not my problem, they should solve it without me being involvedThen now you see where shida ilipo.
HAuko tayari kuona how to solve this, wewe umekomaa na kushindilia mtazamo wako kwa watu woote.
Kwahio bora tuchukue single maza wanajielewa zaidi eeh. Maana hawa watoto wa UDSM hata kufua tu hawataki wanataka kwenda saluni mwenge na kubandika makucha tu.Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani.
Tuliooa ma single mother tuna raha zetu. Kabla hujaamka utasikia,, vipi baba neema mbona leo unalala sana, au unaumwa! Maji yanapoa bafuni.
Hapo alishamaliza kudeki na kuosha vyombo, chai iko mezani na nguo ya kuvaa alishakuandalia.
Tatizo siyo mwanamke, tatizo ni aina ya mwanamke uliyemwoa. Mnaagalia wenye misambwanda mikubwa na sura laini. Kumbe kuna watu wanatunza. Akija kwako mnaanza kushindana.
Zingatia uchaguzi sahihi wa mwanamke ili uwe na amani katika ndoa.
Sasa kumbe umeona kina mama mashambani mbona bado walalamika wanawake Ni wabinafsi?Unataka wafanyaje Sasa ujue kwamba Wanawake Wana mzigo mzito kwenye familia?Ukifika muda wa mavuno mwanaume ndio anachukua mazao kuelekea sokoniNimetembea nchi nzima mashambani wako akina mama na machungoni wako watoto
........unachosema mkuu ni kweli ingawa hicho tunachokiona kama ubinafsi Mimi nafikiri wanaume tubadili mindset tu na tukubali.......hiyo ni nature na ndio asili ya uumbaji Kwa mwanamke, kiasili yeye ni mpokeaji na wanaume ni watafutaji na watoaji na ndio dhana ya kichwa Cha familia....labda tungejadili kukithiri Kwa hiyo hali(being too much) kiasi ambacho unahisi hakuna mapenzi au mwanaume unakomolewa, ambapo bado una access ya kumuacha huyo mwanamke......Sasa kama jogoo tu anapambana kumtafutia manzi ake ambae ni mtetea itakuaje Kwa sisi wanadamu....tuache kutafuta wanawake Kwa misingi ya titi, hipsi na tako au kudate slay queens wengi wadangaji then tunalaumu kuwa wanyonyaji....Wasalaam wana JF
Katika pitapita zangu za kimaisha jambo kubwa ambalo nimelishuhudia, nimesimuliwa na kupata uzoefu kutoka kwenye forum mbali mbli pamoja na JF, ni kwamba wanawake wengi ni wabinafsi na wachoyo.
Tabia hizi mbaya za wanawake zimesababisha mahusiano mengi yamekufa, familia nyingi zimefarakana na ndoa nyingi zimevunjika. Mambo hayo yote hayakuwahi kumuacha mwanaume salama.
Aidha, vijana wengi, kwa kutambua hilo hawataki kuoa na kampeni ni nyingi hivi sasa za kuhamasisha watu KUKATAA NDOA.
Ata mimi na subscribe kwenye mawazo sahihi kwamba ndoa ni utapeli na pengine ni ajira au chanzo cha mapato kwa wanawake wengi ambao ni wabinafsi na wachoyo.
Kwanini sasa hawa akina mama wanakua wabinafsi na wachoyo:
1. Kubwa ni umasikini na fikra za kimasikini
mwanamke aliyetoka kwenye familia masikini anadhani mume ndiyo suluhisho la matatizo yake na familia yake. Imagine baba yake hakumudu mambo mengi, lakini akija kwako atataka wewe ufanye mambo ambayo ata baba yake hakuweza;
2. Dhana potofu kwamba mwanaume ndiye sole braid winner
Hii ni dhana iliyojengeka kutokana na nadharia potofu kwamba mwanaume ndiye anayepaswa kulisha na kutunza familia. Kimsingi, mila na tamaduni zetu hazi support hii hypothesis. Babu zetu walioa wake wengi na sehemu kubwa ya uzalishaji wa mali ulifanywa na wanawake, wao ndiyo waliokua wanalima mashamba na kutunza mifugo. Hivyo uzalishaji mali ulikua shirikishi hali kadhalika utumiaji wake
Hali kadhalika vitabu vya dini pia havitambui hili rejea .Mithali 31:10-31 ambapo mke mwema ameelezewa kwa kirefu.Pengine, hii dhana ililetwa na wakoloni kutubabaisha na kutuondolea misingi yetu thabiti ya familia, kwani huko kwao mwendo ni 50/50.
3. Ushawishi hasi kutoka kwenye makundi potofu
Wanawake wengi hawana akili independent, wanategemea mawazo kutoka kwa wenzao. Ni ukweli usiopingika kwamba adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, sasa utakuta sehemu kubwa ya maisha ya wanawake yanaendeshwa kwa kutumia akili za wenzake. Fanya hivi fanya vile, bila kuchunguza madhara ya yale afanyayo. Hivyo basi, pesa za wanawake zinaingia kwenye VICOBA na mchango wao katika familia unakua mdogo huku akipambana kujilimbikizia mali pasipo mwenzi wake kujua au kushirikishwa.
4. Kutokua na mapenzi ya dhati na familia
Wanawake wengi siyo wa kweli (honest) wako kwenye mahusiano kwa sababu zingine na si mapenzi. Mwanamke anaweza kuolewa ata na shetani kwa sababu anaona umri wake wa kuolewa utapita, in short ni opportunists. Kuishi na mtu asiye kupenda ni changamoto kubwa sana, hakuna rangi utaacha ona. Kwa sababu hiyo basi, ushiriki wa wanawake kwenye kujenga hizo familia unakua ni mdogo, kwasababu hawajapenda, hutakaa uone mchango wao kwenye ujenzi wa hiyo familia na mwisho wake familia inasambaratika.
5. Unafki
Wanawake kiasili ni wanafki, na wataonesha uzuri kwa nje ila ndani ni mbwa mwitu. Siku zote wanawake wana nia ovu, kaa nao kwa magutu sana. Akipata opportune moment umekwisha.
6. Tamaa na ubabaikaji
Wanawake hawako stable, wana tamaa japo anaweza kuzi suppress, ila tamaa ndiyo asili yao.wanawake wanataka vitu vyote vizuri viwe vyao, ukiwa maarufu na successful utawatembezea vitombo mpaka ukinai. Pia ukiwa na muonekano mzuri nayo ni shida. So mwanaume unapaswa at least uwe stable financially ili uwe salama
7. Malezi mabaya
Wanawake wengi wamelelewa kipuuzi, hii pengine ni kutokana na mapokeo ya dini au tabia mbaya za wazazi. Kwamba aende tu kwa mume, mume ndiye atakaye muhudumia. Yaani hapa wazazi wanakusukumia zigo lao. Hii si sawa, hakuna mtu ambaye anatakiwa awe responsible na maisha ya mtu mwingine, lazima watu wafanye kazi, wazalishe na kuchangia kwenye ujenzi wa familia. Hizo myth kwamba mwanume ni sole bread winner are long gone. Kama wanawake hawatajiongeza kwenye hili, hakuna mvulana atakayeoa, mark my words
HITIMISHO
UBINAFSI NA UCHOYO SIYO TABIA NJEMA
HAKUNA MWANAUME ANAYEWEZA KUISHI NA KUDUMU NA MWANAMKE MCHOYO NA MBINAFSI
MAHUSIANO SIYO CHANZO CHA MAPATO
KILA MTU MZIMA ANA WAJIBU WA KUFANYA KAZI NA KUJIPATIA KIPATO CHAKE HALALI
UJENZI WA FAMILIA SIYO JUKUMU LA BABA PEKE YAKE, BALI NI WANAFAMILIA WOTE
MKIENDELEA KUWA WACHOYO NA WA BINAFSI, NDOA MTAZISIKIA NCHI JIRANI
This is all of you are getting wrong, mme benchmark wapi? Ata Simba ambao wapo on top of the food chain, kila family member anapigana kuleta msosi nyumbani, whats up with you people?Hapo unaposema wanawake hawapendi familia Ni chumvi,tunaona jinsi vile wanamme mnaongoza kukimbia familia na kutelekeza watoto wakati mama ndio anakuwa ameshiklia majukumu yote mvua iwe jua,
Halafu unasema ni zana potofu kufikiria mwanaume ndio bread winner,hebu refer tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu Nani Ni breadwinner kwenye familia,nyie kizazi Cha kataa ndoa ndio mnataka kubadil nature....
TAFUTENI HELA JAMANI
Mzee una enjoy sana kumuweka Manula mjengoni! 😀 Unateleza masaa 24Hapo ndipo wanapofeli waliioa wake wafanyakazi au wafanyabiashara kwa lengo kusaidiana maisha.
Mtu anakupa utelezi kwa mafungu
Na Wanao wanalelewa na housegal
Yote sababu ya ubize na uchovu kazini
Afu kipato Cha uko kazin hakina mchango wowote kwny maendeleo ya familia.
Ukifikia hapo lazima usione umuhimu wa mwenza wako KUFANYA kazi.
TULIOOA MAGOLIKIPA TUNA NAFUU SANA
Hii context ya mjiniSasa kumbe umeona kina mama mashambani mbona bado walalamika wanawake Ni wabinafsi?Unataka wafanyaje Sasa ujue kwamba Wanawake Wana mzigo mzito kwenye familia?Ukifika muda wa mavuno mwanaume ndio anachukua mazao kuelekea sokoni
....na hili ndo tatizo wanaume hatutaki kukubali....utegemezi wa mwanamke Kwa mwanaume haujaanza leo .....ni historical phenomena......It takes a woman and a half to have man's attitude.
Kuna vitu ukivipinga kutoka kwa mwanamke ni kupingana na asili ya mwanamke.
Muishi nasi kwa akilii repeat ishi na mwanamke kwa akili.
👏👏👏👏👏........unachosema mkuu ni kweli ingawa hicho tunachokiona kama ubinafsi Mimi nafikiri wanaume tubadili mindset tu na tukubali.......hiyo ni nature na ndio asili ya uumbaji Kwa mwanamke, kiasili yeye ni mpokeaji na wanaume ni watafutaji na watoaji na ndio dhana ya kichwa Cha familia....labda tungejadili kukithiri Kwa hiyo hali(being too much) kiasi ambacho unahisi hakuna mapenzi au mwanaume unakomolewa, ambapo bado una access ya kumuacha huyo mwanamke......Sasa kama jogoo tu anapambana kumtafutia manzi ake ambae ni mtetea itakuaje Kwa sisi wanadamu....tuache kutafuta wanawake Kwa misingi ya titi, hipsi na tako au kudate slay queens wengi wadangaji then tunalaumu kuwa wanyonyaji....
Sema hivii ni wa asili ya uumbaji....na hili ndo tatizo wanaume hatutaki kukubali....utegemezi wa mwanamke Kwa mwanaume haujaanza leo .....ni historical phenomena......
Baba zetu walikuwa wanajua majukumu yao,hawa wa siku hizi kazi yao kutaka wanawake ndio wafanye kazi,si unaona mleta mada mwenyewe anashuhudia nchi nzima kaona wanawake mashambani,Sasa hao wanaume wanakuwa wapi muda huo Kama sio vilabuni?Hao ni wanaume waliosahau majukumu yao ila baba yangu mzazi hakuwa hivi
We Acha tuBaba zetu walikuwa wanajua majukumu yao,hawa wa siku hizi kazi yao kutaka wanawake ndio wafanye kazi,si unaona mleta mada mwenyewe anashuhudia nchi nzima kaona wanawake mashambani,Sasa hao wanaume wanakuwa wapi muda huo Kama sio vilabuni?
Mama zetu walikua na utii, ndiyo maana baba zetu walienda extra miles. Shida nyinyi ni pasua vichwa alafu mnataka tuwatunze, wewe unaniwekea kibesi alafu unataka nikutunze?over my dead body, kila mtu ajipambanie nafsi yake,tutakutana siku ya hukumuKizazi Cha baba zetu wanaume wa shoka ndio kinaishia,tumebaki na waume zetu walalamishiii
Hizo story zipo nyingi sana kwamba hawana shukrani kabisa hao viumbeYupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,
Wameenda, huyo dada kamaliza chuo maswala ya afya bahati mbaya kakutana na upepo wa kukosa ajira sasa ikabidi jamaa ampambanie apate kibarua private
Hapo wanaishi kwa msela, msela anamlea kama mtoto wake vile.
Baada ya kupata kazi akamchana msela kuwa hajawahi kumsaidia chochote na akamtema.
Hivyo ndivyo wanawake walivyo.
Exactly upo sahihi kabisa mkuu,Uchoyo na ubinafsi wa wanawake
Ndo kiini Cha kampeni ya KATAA NDOA
Hao waweka vibase ni misungoMama zetu walikua na utii, ndiyo maana baba zetu walienda extra miles. Shida nyinyi ni pasua vichwa alafu mnataka tuwatunze, wewe unaniwekea kibesi alafu unataka nikutunze?over my dead body, kila mtu ajipambanie nafsi yake,tutakutana siku ya hukumu
Turudi mjini ambako ndiyo case study yetu, usihamishe goliBaba zetu walikuwa wanajua majukumu yao,hawa wa siku hizi kazi yao kutaka wanawake ndio wafanye kazi,si unaona mleta mada mwenyewe anashuhudia nchi nzima kaona wanawake mashambani,Sasa hao wanaume wanakuwa wapi muda huo Kama sio vilabuni?
Mwanamke ana vitu vingi vya kufanya kuliko mwanaume, mwanamke AMEELEMEWA na majukumu....Imagine abebe mimba,anyonyeshe mchana na usiku,afue nguo zako na za watoto wako,apike chakula,usafi wa kaya,jamani nyie watu hebu kuweni na utu..... watu mnafuliwa Hadi boxer lakin bado tu mnaona mwanamke so kitu?This is all of you are getting wrong, mme benchmark wapi? Ata Simba ambao wapo on top of the food chain, kila family member anapigana kuleta msosi nyumbani, whats up with you people?