Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Yupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,

Wameenda, huyo dada kamaliza chuo maswala ya afya bahati mbaya kakutana na upepo wa kukosa ajira sasa ikabidi jamaa ampambanie apate kibarua private

Hapo wanaishi kwa msela, msela anamlea kama mtoto wake vile.

Baada ya kupata kazi akamchana msela kuwa hajawahi kumsaidia chochote na akamtema.

Hivyo ndivyo wanawake walivyo.
Mwanamke humfanya mwanaume km stepping stone tu na sio vinginevyo, wanaposema wanataka uishi nao kwa akili utambue kua wewe ni km sehemu ya mapito tu kwa mwanamke sio sehemu ya kudumu anytime anaweza akamuv on na akakuacha solemba na hapo ushajipiga sana kwa ajili yake
 
Baba zetu walikuwa wanajua majukumu yao,hawa wa siku hizi kazi yao kutaka wanawake ndio wafanye kazi,si unaona mleta mada mwenyewe anashuhudia nchi nzima kaona wanawake mashambani,Sasa hao wanaume wanakuwa wapi muda huo Kama sio vilabuni?
Hao wanawake wa mashambani wanaume zao pangu pakavu, wasiwekewe vibarua matrekta yapo ya kukodi, loooh.
 
We Acha tu
Hakuna society yoyote ambayo kiasili ilimpa mwanamke jukumu la kutafuta mali...ni pale tu mwanaume alipokengeuka na kujisahau ndipo mwanamke akaona hakuna jinsi akapambame shambani atafutie wanae. Ndio maana jamii zingine mwanaume aliuejisahau anaitwa na kusemwa kwanini hahudumii familia.
Explore your potentials mama, Raisi tuliye naye sasa ni mwanamke mwenzako na yeye hachangii familia?
 
Nyie wakati mnaoa mnasema kikubwa tako na sura mengine mtayajulia ndani....sasa ndio mkayajulie ndani wanawanee🤪🤪🤪🤪😂😂😂
 
Nimecheka kwa nguvu sana, shida mnadharau wanaume, mna ideal men vichwani
Wale wote pamoja na wake zao walikuwa waigizaji. Hivi uliona wapi mwanaume anapiga picha na wake zake wote 3 wapo kitandani...hata yule mdai talaka eti ameongozana na familia yake bakwata wanachamba.....yale yalikuwa maigizo na mwisho sterling akifa ndo mwisho wa igizo
 
Mwanamke ana vitu vingi vya kufanya kuliko mwanaume, mwanamke AMEELEMEWA na majukumu....Imagine abebe mimba,anyonyeshe mchana na usiku,afue nguo zako na za watoto wako,apike chakula,usafi wa kaya,jamani nyie watu hebu kuweni na utu..... watu mnafuliwa Hadi boxer lakin bado tu mnaona mwanamke so kitu?
Kuna wanawake hawafanyi hayo, kila kitu kinafanywa na dada wa kazi au kwa jina jingine mlinzi wa nyumba ndio hutenda yote hayo na imefika hatua siku hizi hususani mtaani huku wababa wengi ndio huwapeleka watoto wao shule tofauti na zamani, mama hakuna anachokifanya mzigo wote kwa baba kuanzia kumuandaa mtoto mpaka kumpeleka mtoto shule kwa wale ambao hawana wafanyakazi wa ndani Ila mama yupo tu kabweteka anasubiri pesa ya vicoba na kupaka rangi kucha na kubadirisha Madera na mawigi basi HAKUNA kingine anachowaza zaidi, kingine anavuta upepo tu mvurugane achukue watoto aendelee kupiga pesa za matunzo na agombee mgawanyo wa Mali, sasa hio haileti picha nzuri mnaonekana ni wapigaji tu
 
We Acha tu
Hakuna society yoyote ambayo kiasili ilimpa mwanamke jukumu la kutafuta mali...ni pale tu mwanaume alipokengeuka na kujisahau ndipo mwanamke akaona hakuna jinsi akapambame shambani atafutie wanae. Ndio maana jamii zingine mwanaume aliuejisahau anaitwa na kusemwa kwanini hahudumii familia.
Changamoto mwanaume akipata mali, muna mmaliza uhai wake, au vitimbi ili muachane na kugawana mali nusu kwa nusu.. ila wanawake walioshia la saba kushuka chini na wasio ijua Dunia kwa mapana yake ni wanawake wazuri sana.. nyie wa mjini tatizo lenu mna exposure kubwa sana ina waharibu maana hamna uwezo wa ku handle pressure ya dunia na matokeo yake mnazingua kama Eva pale Edeni hakuwa na uwezo wa ku muhandle shetani
 
Kuna wanawake hawafanyi hayo, kila kitu kinafanywa na dada wa kazi au kwa jina jingine mlinzi wa nyumba ndio hutenda yote hayo na imefika hatua siku hizi hususani mtaani huku wababa wengi ndio huwapeleka watoto wao shule tofauti na zamani, mama hakuna anachokifanya mzigo wote kwa baba kuanzia kumuandaa mtoto mpaka kumpeleka mtoto shule kwa wale ambao hawana wafanyakazi wa ndani Ila mama yupo tu kabweteka anasubiri pesa ya vicoba na kupaka rangi kucha na kubadirisha Madera na mawigi basi HAKUNA kingine anachowaza zaidi, kingine anavuta upepo tu mvurugane achukue watoto aendelee kupiga pesa za matunzo na agombee mgawanyo wa Mali, sasa hio haileti picha nzuri mnaonekana ni wapigaji tu
Hakika mkuu ni KUPE
 
Changamoto mwanaume akipata mali, muna mmaliza uhai wake, au vitimbi ili muachane na kugawana mali nusu kwa nusu.. ila wanawake walioshia la saba kushuka chini na wasio ijua Dunia kwa mapana yake ni wanawake wazuri sana.. nyie wa mjini tatizo lenu mna exposure kubwa sana ina waharibu maana hamna uwezo wa ku handle pressure ya dunia na matokeo yake mnazingua kama Eva pale Edeni hakuwa na uwezo wa ku muhandle shetani
Hakika mkuu, wako karibu sana na shetani
 
Changamoto mwanaume akipata mali, muna mmaliza uhai wake, au vitimbi ili muachane na kugawana mali nusu kwa nusu.. ila wanawake walioshia la saba kushuka chini na wasio ijua Dunia kwa mapana yake ni wanawake wazuri sana.. nyie wa mjini tatizo lenu mna exposure kubwa sana ina waharibu maana hamna uwezo wa ku handle pressure ya dunia na matokeo yake mnazingua kama Eva pale Edeni hakuwa na uwezo wa ku muhandle shetani
Roho ya mtu haina elimu. Zile nyumba kule machame ambazo wanaume wake wamekufa wamebaki wamama nao wale wamama wamesoma sana ee??
Roho ya mtu kama mbaya mbaya tu tena bora hata aliyesoma anajua kujitafutia.
Lakini pia mgawanyo wa mali ni wa kisheria kwamba nyie ni wana ndoa. Mmeachana mali pasu kwa pasu....hapo kosa ni la mwanamke??
 
Back
Top Bottom