Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
We unatakiwa dawa...Kwamba nimepania, asubuhi yote hivyo, usingizi ulikata nikawa najitafakarisha
Unajua nini namaanisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unatakiwa dawa...Kwamba nimepania, asubuhi yote hivyo, usingizi ulikata nikawa najitafakarisha
Kuna wanawake hawafanyi hayo, usikariri nyumba hazifanani aisee kuna wanawake hawaishi maisha hayo kabisa ni wa kuendeshwa na gari kupelekwa na kurudishwa kazi zote zafanywa na dada wa kazi, amka uko usingiziniAnayekupikia, kukufanyia usafi wako binafsi na nyumba yako, kukulelea watoto, kukulindia nyumba vyote hvyo hujaona....
Wanaokuja na hoja hizo wana element za ushoga na hivyo kuona mwanamke anafaidi. Kwamba alikuja kama alivyo anaondoka na 50%
Leo wamewaamulia.Mbona leo mmeamka hivii wandugu?
Hii operation isiyo hata na ganzi mbona asubuhi sana ?
Sasa wewe umechukua samaki wa mapambo ukidhani Ni mboga unatarajia Nini?Kuna wanawake hawafanyi hayo, usikariri nyumba hazifanani aisee kuna wanawake hawaishi maisha hayo kabisa ni wa kuendeshwa na gari kupelekwa na kurudishwa kazi zote zafanywa na dada wa kazi, amka uko usingizini
Hii micharuko tuliyonayo ni mipigaji tu, kazini anaiba na nyumbani anakufanyia dealsUkisema ni asili unaweza kuwa sahihi kwa mtazamo wako ila to me its different. Jamii imejengeka kwa utofauti sana na malezi tofauti.
Ndio maana kuna wanawake wako independent af kuna wengine dependent. Kuna wanawake generous na wengine ni selfish.
Combination nzuri ni ile ya mwanamke independent na generous. Wenye aina hii ndio wanainjoy ndoa zaidi.
Wala siko usingiziniKuna wanawake hawafanyi hayo, usikariri nyumba hazifanani aisee kuna wanawake hawaishi maisha hayo kabisa ni wa kuendeshwa na gari kupelekwa na kurudishwa kazi zote zafanywa na dada wa kazi, amka uko usingizini
Wawanawake wanaotekeleza majukumu ya mke siku hizi ni wachache sana, wengi wao siku hizi hayo majukumu yote ni wa dada wa kazi. Alafu kwanini siku hizi mnakuwa na mind na nguzu ya kuandika na kutaja taja usho**? Mie hata neno hilo kuanidka napata ukakasi au kumtuhumu mtu au jamii ila wengine imekuwa kama wimbo wa taifaAnayekupikia, kukufanyia usafi wako binafsi na nyumba yako, kukulelea watoto, kukulindia nyumba vyote hvyo hujaona....
Wanaokuja na hoja hizo wana element za ushoga na hivyo kuona mwanamke anafaidi. Kwamba alikuja kama alivyo anaondoka na 50%
Huo Ni uoga tu wa majukumu!we alfajiri badala utafakari unapataje pesa unaanza tafakari kwa Nini mama chanja hatoi hela za matumizi humo ndani!au ulinyimwa Cha asubuhi?Kwamba nimepania, asubuhi yote hivyo, usingizi ulikata nikawa najitafakarisha
Hahahahah wanaona raha kuita vidume mashoxWawanawake wanaotekeleza majukumu ya mke siku hizi ni wachache sana, wengi wao siku hizi hayo majukumu yote ni wa dada wa kazi. Alafu kwanini siku hizi mnakuwa na mind na nguzu ya kuandika na kutaja taja usho**? Mie hata neno hilo kuanidka napata ukakasi au kumtuhumu mtu au jamii ila wengine imekuwa kama wimbo wa taifa
Siku hizi wadada wa kazi wanawasaidia kazi zote mpaka za kitandani. Mimba ata ng'ombe anabebaDada wa kazi ndio anabeba mimba za watoto na kuwanyonyesha,au sio?
Cha asubuhi pack 😀 kimeleta tafraniHuo Ni uoga tu wa majukumu!we alfajiri badala utafakari unapataje pesa unaanza tafakari kwa Nini mama chanja hatoi hela za matumizi humo ndani!au ulinyimwa Cha asubuhi?
Wewe ulipooa au ulipobalehe baba yako alikufundisha nini kuhusu kuitwa mume ?? Kuwa mume maana yake ni zaidi ya kuwa na jinsi ya kiume. Kwa nini mnapinga uanaume wenu?? Kwanini mnataka kuwa lege lege kuanza kulia lia eti wanawake wanawaachia majukumu ambayo kwayo ndio yanatimiza uanaume wenu?? Ukielewa hili basi mada itafungwa.Wawanawake wanaotekeleza majukumu ya mke siku hizi ni wachache sana, wengi wao siku hizi hayo majukumu yote ni wa dada wa kazi. Alafu kwanini siku hizi mnakuwa na mind na nguzu ya kuandika na kutaja taja usho**? Mie hata neno hilo kuanidka napata ukakasi au kumtuhumu mtu au jamii ila wengine imekuwa kama wimbo wa taifa
😂😂😂😂Cha asubuhi pack 😀 kimeleta tafrani
Leo umevurugwa na nini?Siku hizi wadada wa kazi wanawasaidia kazi zote mpaka za kitandani. Mimba ata ng'ombe anabeba
😀😀😀😀😀😀 Noma sana yani, alijua samaki wa acqarium anaweza kuwa na ladha ya kibua?Sasa wewe umechukua samaki wa mapambo ukidhani Ni mboga unatarajia Nini?
Ndio maana Tunasema wanaume wa siku hizi Ni bure kabisa,Kama mnawalala mpaka wa dada wa kazi Sasa mnataka tuchangie Nini tena, kwenye ujenzi wa familia,we pambana ulete kitu mezani maana wewe Ni kidume!Mimba hata ng'ombe anabeba au sio??haumthamini mwanamke unatarajia wewe ndo akuthamini?Siku hizi wadada wa kazi wanawasaidia kazi zote mpaka za kitandani. Mimba ata ng'ombe anabeba
Imagine kasamaki Kama wale goldfish😂😂😂😀😀😀😀😀😀 Noma sana yani, alijua samaki wa acqarium anaweza kuwa na ladha ya kibua?
Kimemfanya jamaa kaamka na hasiraa🤣Cha asubuhi pack 😀 kimeleta tafrani
Hahahahahah unakuwa muhanga if you let shit in your life. Wengi tunaingia kwenye mahusiano bila kutanabaisha principles zetu mapema.Je kwa kuponda wanawake na kutengeneza defence mechanism tunatatua tatizo??
You can opt to be a fuckboy n.k lakn at sm point in life u gotta settle down. Sasa ukiwa messed up psychologically hii inakua tatizo pia .
Je, what if tukianza mapema kabisa kutengeneza mifumo ndani ya mahusiano ambayo itafuatwa muda wote na wenza wetu? Je hyo sio njia nzuri?
( Angalizo, wanaume wote ni wahanga. No one yuko salama)