Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Huyu kanyimwa asubuhi leoLeo umevurugwa na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kanyimwa asubuhi leoLeo umevurugwa na nini?
Kunyimwa mzigo asubuhi inakera sana. Ukizingatia kale ka hali ka hewa mwanana.Kimemfanya jamaa kaamka na hasiraa🤣
Muache mwenzio...nenda nae taratibuuHuyu kanyimwa asubuhi leo
Sasa unasisitiza kuishi na wanawake kwa akili kwanini?It takes a woman and a half to have man's attitude.
Kuna vitu ukivipinga kutoka kwa mwanamke ni kupingana na asili ya mwanamke.
Muishi nasi kwa akilii repeat ishi na mwanamke kwa akili.
Hayo majukumu ya mume mnaya benchmark wapi, sisi binadamu ni wanyama je wanyama wengine wanafanya hivyo? Chukua mfano wa Simba, wao ndiyo on top of our food chain, simba mume ndiyo anabebeshwa mzigo huo au ni team work?Wewe ulipooa au ulipobalehe baba yako alikufundisha nini kuhusu kuitwa mume ?? Kuwa mume maana yake ni zaidi ya kuwa na jinsi ya kiume. Kwa nini mnapinga uanaume wenu?? Kwanini mnataka kuwa lege lege kuanza kulia lia eti wanawake wanawaachia majukumu ambayo kwayo ndio yanatimiza uanaume wenu?? Ukielewa hili basi mada itafungwa.
Hahahaha we faller sanaKunyimwa mzigo asubuhi inakera sana. Ukizingatia kale ka hali ka hewa mwanana.
Wewe Ni born town.....haya malalamiko yasingekuwepo Kama watu wangetumia hii mbinu yakoHahahahahah unakuwa muhanga if you let shit in your life. Wengi tunaingia kwenye mahusiano bila kutanabaisha principles zetu mapema.
Wewe ndio amiri jeshi wa maisha yako, don't invite promiscous and selfish women in your lives. Lay down principles ambaye atafeli kumeet vigezo let go. You have to do this multiple times untill you get a person who matches with your puzzle.
Hahahahah wengi akili zao huwatuma kuwa single maana wanakuwa na freedom ya kutunguliwa na yeyote wamtakae.Sipo kwenye kampeni ya kataa ndoa ila uliyoyaongea ni 99% sahihi ila Mwenyezi Mungu alisema tuishi nao hivyo hivyo kwa akili.
-Naongezea mwanamke akiwa financially stable anawaza kuishi peke yake anaona ndoa inambana.
Simba anaenda kutafuta mawindo kwa ajili ya familia yake...akipata wanakula na familiaHayo majukumu ya mume mnaya benchmark wapi, sisi binadamu ni wanyama je wanyama wengine wanafanya hivyo? Chukua mfano wa Simba, wao ndiyo on top of our food chain, simba mume ndiyo anabebeshwa mzigo huo au ni team work?
Nimecheka kwa nguvu sanaHuyu kanyimwa asubuhi leo
Kwani sisi Ni Simba?haya mbona humtolei mfano ndege?Hayo majukumu ya mume mnaya benchmark wapi, sisi binadamu ni wanyama je wanyama wengine wanafanya hivyo? Chukua mfano wa Simba, wao ndiyo on top of our food chain, simba mume ndiyo anabebeshwa mzigo huo au ni team work?
🤣🤣🤣🤣🤣Maana umevurugwaNimecheka kwa nguvu sana
HahahahaKwani sisi Ni Simba?haya mbona humtolei mfano ndege?
Counting up......7...8...9...10 🤣🤣🤣Hahahaha we faller sana
40 inakuja
Nyakati zimebadilika ,saa hii tunakaa nao kwenye vikao vya bodi, hawakai tena nyumbani kupika chai ,ukitoka asbh nao wanatoka, wanazaa watoto ila hawalei,watoto wakiacha kunyonya ndo basi anaachiwa dada wa kazi....na hili ndo tatizo wanaume hatutaki kukubali....utegemezi wa mwanamke Kwa mwanaume haujaanza leo .....ni historical phenomena......
Hahahah hainaga kufeli 😀😀😀Wewe Ni born town.....haya malalamiko yasingekuwepo Kama watu wangetumia hii mbinu yako
Konyo zakooCounting up......7...8...9...10 🤣🤣🤣
Hatari Sana,Ni mambo ya kubang tu😂😂😂Hahahahah wengi akili zao huwatuma kuwa single maana wanakuwa na freedom ya kutunguliwa na yeyote wamtakae.
Niko poa mamii, nataka mutumie akili zenu kuanzia asubuhi mpaka jioniLeo umevurugwa na nini?