Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Wanasaikolojia wengi wamekuwa wakisisitiza mwanamke hakuumbwa kutoa bali kupokea (upendo/zawadi/maelekezo/genye... etc).
Ipo hivyo na haiwezi kubadilika
Wanasaikolojia wapimwe mkojo. Huyo mwanamke ambaye hakuumbwa kutoa mbona anauza mchicha na kusuka watu na anamlisha mwanae vizuri tu na kumhudumia bila kushikiwa panga? 😀 😀 😀 Wapo wanaolea vibenten kabisa.

Si wangekaa barabarani wagaregare kulia kuwa hawajaumbwa kutoa?
 
Baba zetu walikuwa wanajua majukumu yao,hawa wa siku hizi kazi yao kutaka wanawake ndio wafanye kazi,si unaona mleta mada mwenyewe anashuhudia nchi nzima kaona wanawake mashambani,Sasa hao wanaume wanakuwa wapi muda huo Kama sio vilabuni?
Na bado atataka kazi za nyumbani afanye zote mwanamke kama kawaida.
Utakaposema tusaidiane, atasema hizo ni kazi za mwanamke wakati wote mmerudi mmechoka, wote mnacontribute kipato equally , ila majukumu ya nyumbani Kufua, kupika, watoto nk yote ni ya mama.
 
Woiiiiiiiih
Kwa raha zetuuu
Huku unaugulia miguu cha asubuhi huku unamuandaa mtu awahi job bado unaonekana huna unachofanya.

Tuchat kwakwelii😂😂😂😂
🤣🤣🤣Halafu Kama watoto!utasikia boxer yangu iko wapi?ukimpa boxer atauliza soksi zake,Mara atataka handkerchief jamani watoto wa mama wakweeeee
 
Wasalaam wana JF

Katika pitapita zangu za kimaisha jambo kubwa ambalo nimelishuhudia, nimesimuliwa na kupata uzoefu kutoka kwenye forum mbali mbli pamoja na JF, ni kwamba wanawake wengi ni wabinafsi na wachoyo.

Tabia hizi mbaya za wanawake zimesababisha mahusiano mengi yamekufa, familia nyingi zimefarakana na ndoa nyingi zimevunjika. Mambo hayo yote hayakuwahi kumuacha mwanaume salama.

Aidha, vijana wengi, kwa kutambua hilo hawataki kuoa na kampeni ni nyingi hivi sasa za kuhamasisha watu KUKATAA NDOA.

Ata mimi na subscribe kwenye mawazo sahihi kwamba ndoa ni utapeli na pengine ni ajira au chanzo cha mapato kwa wanawake wengi ambao ni wabinafsi na wachoyo.

Kwanini sasa hawa akina mama wanakua wabinafsi na wachoyo:

1. Kubwa ni umasikini na fikra za kimasikini

mwanamke aliyetoka kwenye familia masikini anadhani mume ndiyo suluhisho la matatizo yake na familia yake. Imagine baba yake hakumudu mambo mengi, lakini akija kwako atataka wewe ufanye mambo ambayo ata baba yake hakuweza;

2. Dhana potofu kwamba mwanaume ndiye sole braid winner

Hii ni dhana iliyojengeka kutokana na nadharia potofu kwamba mwanaume ndiye anayepaswa kulisha na kutunza familia. Kimsingi, mila na tamaduni zetu hazi support hii hypothesis. Babu zetu walioa wake wengi na sehemu kubwa ya uzalishaji wa mali ulifanywa na wanawake, wao ndiyo waliokua wanalima mashamba na kutunza mifugo. Hivyo uzalishaji mali ulikua shirikishi hali kadhalika utumiaji wake

Hali kadhalika vitabu vya dini pia havitambui hili rejea .Mithali 31:10-31 ambapo mke mwema ameelezewa kwa kirefu.Pengine, hii dhana ililetwa na wakoloni kutubabaisha na kutuondolea misingi yetu thabiti ya familia, kwani huko kwao mwendo ni 50/50.

3. Ushawishi hasi kutoka kwenye makundi potofu

Wanawake wengi hawana akili independent, wanategemea mawazo kutoka kwa wenzao. Ni ukweli usiopingika kwamba adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, sasa utakuta sehemu kubwa ya maisha ya wanawake yanaendeshwa kwa kutumia akili za wenzake. Fanya hivi fanya vile, bila kuchunguza madhara ya yale afanyayo. Hivyo basi, pesa za wanawake zinaingia kwenye VICOBA na mchango wao katika familia unakua mdogo huku akipambana kujilimbikizia mali pasipo mwenzi wake kujua au kushirikishwa.

4. Kutokua na mapenzi ya dhati na familia

Wanawake wengi siyo wa kweli (honest) wako kwenye mahusiano kwa sababu zingine na si mapenzi. Mwanamke anaweza kuolewa ata na shetani kwa sababu anaona umri wake wa kuolewa utapita, in short ni opportunists. Kuishi na mtu asiye kupenda ni changamoto kubwa sana, hakuna rangi utaacha ona. Kwa sababu hiyo basi, ushiriki wa wanawake kwenye kujenga hizo familia unakua ni mdogo, kwasababu hawajapenda, hutakaa uone mchango wao kwenye ujenzi wa hiyo familia na mwisho wake familia inasambaratika.

5. Unafki
Wanawake kiasili ni wanafki, na wataonesha uzuri kwa nje ila ndani ni mbwa mwitu. Siku zote wanawake wana nia ovu, kaa nao kwa magutu sana. Akipata opportune moment umekwisha.


6. Tamaa na ubabaikaji

Wanawake hawako stable, wana tamaa japo anaweza kuzi suppress, ila tamaa ndiyo asili yao.wanawake wanataka vitu vyote vizuri viwe vyao, ukiwa maarufu na successful utawatembezea vitombo mpaka ukinai. Pia ukiwa na muonekano mzuri nayo ni shida. So mwanaume unapaswa at least uwe stable financially ili uwe salama

7. Malezi mabaya

Wanawake wengi wamelelewa kipuuzi, hii pengine ni kutokana na mapokeo ya dini au tabia mbaya za wazazi. Kwamba aende tu kwa mume, mume ndiye atakaye muhudumia. Yaani hapa wazazi wanakusukumia zigo lao. Hii si sawa, hakuna mtu ambaye anatakiwa awe responsible na maisha ya mtu mwingine, lazima watu wafanye kazi, wazalishe na kuchangia kwenye ujenzi wa familia. Hizo myth kwamba mwanume ni sole bread winner are long gone. Kama wanawake hawatajiongeza kwenye hili, hakuna mvulana atakayeoa, mark my words

HITIMISHO

UBINAFSI NA UCHOYO SIYO TABIA NJEMA

HAKUNA MWANAUME ANAYEWEZA KUISHI NA KUDUMU NA MWANAMKE MCHOYO NA MBINAFSI

MAHUSIANO SIYO CHANZO CHA MAPATO

KILA MTU MZIMA ANA WAJIBU WA KUFANYA KAZI NA KUJIPATIA KIPATO CHAKE HALALI

UJENZI WA FAMILIA SIYO JUKUMU LA BABA PEKE YAKE, BALI NI WANAFAMILIA WOTE

MKIENDELEA KUWA WACHOYO NA WA BINAFSI, NDOA MTAZISIKIA NCHI JIRANI
Mammmmamae umewapa vidonge vyao, hii ni kweli tupu
 
Sawa.. nakubali.
But if sisi kama wanaume we are so perfect,
Kwanin tusibadilike?
Mi nna wazo, instead ya kila siku kukomaa kukataa ndoa na kuwaponda wanawake,
Kwanini sasa tusigeuze gia na kuanza kuwaelekeza hawa hawa wanawake jinsi ya kuishi na sisi?
Maana smtyms tunawalaumu lakini yaweza kua either hawajui what we want, au pia sisi wenyewe tumekua reason ya haya yote.
Kila stori ina pande mbili
Wewe unashida kubwa kuliko kuelewa shida ya mwanamke. Kwani wao hawajui jinsi ya kuishi na mwanaume? Aliyekudanganya ni nan? Unaambiwa ni sababu ya kukosa upendo wa dhati, na ubinafsi. Na tamaa kuona nitazeekea hommie.

Sasa keshapata alichohitaji ni ndoa. Ataendelea ku hustle? Hebu jitambueni. Ndio mana mnakuja kujiua na kuua familia. Na hakuna kazi ngumu duniani kama kumfunza anaeyejidai kama mjinga ama anaekuchora. Wakat wewe unashusha hizo unazoziona points zako mwenzio anakuchora tu.

Maana hayuko hata serious na wewe wala hana cha kupoteza.
 
Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani.

Tuliooa ma single mother tuna raha zetu. Kabla hujaamka utasikia,, vipi baba neema mbona leo unalala sana, au unaumwa! Maji yanapoa bafuni.

Hapo alishamaliza kudeki na kuosha vyombo, chai iko mezani na nguo ya kuvaa alishakuandalia.

Tatizo siyo mwanamke, tatizo ni aina ya mwanamke uliyemwoa. Mnaagalia wenye misambwanda mikubwa na sura laini. Kumbe kuna watu wanatunza. Akija kwako mnaanza kushindana.

Zingatia uchaguzi sahihi wa mwanamke ili uwe na amani katika ndoa.
Amin mkuu hauwez kuoa mwanamke mbaya kisura ukawa na amani
 
Apandae uovu atavuna uharibifu. Umefanya kosa omba msamaha kwa kosa lako sasa wewe unataka pesa zako ndio zifukie kosa? Mbona havihusiani
Eti kisa amekuhudumia
Basi anajiachia tu kufanya kosa kubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanawake kazi tunayo
 
Me bahati mbaya au nzuri ninaamini kwenye traditional roles za men and women.
Men as breadwinners na women wako entitled domestic roles
You are right, uwezo wa kufanya domestic roles ni main quality ya mwanamke wa kiafrika. House chores kama kupika, kufua, kufanya usafi wa mazingira, kulea. These are tied to women ila sasa cha ajabu sikuhizi most of you women are shunning from your roles.
 
Back
Top Bottom