Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Dada wa kazi ndio anabeba mimba za watoto na kuwanyonyesha,au sio?
Hivi mnapata faida gani mnapoamua kutulisha mauchafu yenu ya Period? Mnapata faida gani mnapotuwekea kwenye chakula ule uchafu wa Period nyinyi wanawake? What do you get na ni ukichaa wa aina gani hadi mnafika kufanya kitu km hicho?
 
Hivi mnapata faida gani mnapoamua kutulisha mauchafu yenu ya Period? Mnapata faida gani mnapotuwekea kwenye chakula ule uchafu wa Period nyinyi wanawake? What do you get na ni ukichaa wa aina gani hadi mnafika kufanya kitu km hicho?
That is serious, hii ni habari mpya kwangu
 
Me bahati mbaya au nzuri ninaamini kwenye traditional roles za men and women.
Men as breadwinners na women wako entitled domestic roles
Zama zimebadilika. Jaribu kuchunguza magari mazuri mjini nani wanayamiliki. Ukipata jibu ndio utajua siku hizi we both are bread winners
 
Wasalaam wana JF

Katika pitapita zangu za kimaisha jambo kubwa ambalo nimelishuhudia, nimesimuliwa na kupata uzoefu kutoka kwenye forum mbali mbali pamoja na JF, ni kwamba wanawake wengi ni wabinafsi na wachoyo.

Tabia hizi mbaya za wanawake zimesababisha mahusiano mengi yamekufa, familia nyingi zimefarakana na ndoa nyingi zimevunjika. Mambo hayo yote hayakuwahi kumuacha mwanaume salama.

Aidha, vijana wengi, kwa kutambua hilo hawataki kuoa na kampeni ni nyingi hivi sasa za kuhamasisha watu KUKATAA NDOA.

Ata mimi na subscribe kwenye mawazo sahihi kwamba ndoa ni utapeli na pengine ni ajira au chanzo cha mapato kwa wanawake wengi ambao ni wabinafsi na wachoyo.

Kwanini sasa hawa akina mama wanakua wabinafsi na wachoyo:

1. Kubwa ni umasikini na fikra za kimasikini
Mwanamke aliyetoka kwenye familia masikini anadhani mume ndiyo suluhisho la matatizo yake na familia yake. Imagine baba yake hakumudu mambo mengi, lakini akija kwako atataka wewe ufanye mambo ambayo ata baba yake hakuweza;

2. Dhana potofu kwamba mwanaume ndiye sole braid winner
Hii ni dhana iliyojengeka kutokana na nadharia potofu kwamba mwanaume ndiye anayepaswa kulisha na kutunza familia. Kimsingi, mila na tamaduni zetu hazi support hii hypothesis. Babu zetu walioa wake wengi na sehemu kubwa ya uzalishaji wa mali ulifanywa na wanawake, wao ndiyo waliokua wanalima mashamba na kutunza mifugo. Hivyo uzalishaji mali ulikua shirikishi hali kadhalika utumiaji wake

Hali kadhalika vitabu vya dini pia havitambui hili rejea .Mithali 31:10-31 ambapo mke mwema ameelezewa kwa kirefu.Pengine, hii dhana ililetwa na wakoloni kutubabaisha na kutuondolea misingi yetu thabiti ya familia, kwani huko kwao mwendo ni 50/50.

3. Ushawishi hasi kutoka kwenye makundi potofu
Wanawake wengi hawana akili independent, wanategemea mawazo kutoka kwa wenzao. Ni ukweli usiopingika kwamba adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, sasa utakuta sehemu kubwa ya maisha ya wanawake yanaendeshwa kwa kutumia akili za wenzake. Fanya hivi fanya vile, bila kuchunguza madhara ya yale afanyayo. Hivyo basi, pesa za wanawake zinaingia kwenye VICOBA na mchango wao katika familia unakua mdogo huku akipambana kujilimbikizia mali pasipo mwenzi wake kujua au kushirikishwa.

4. Kutokua na mapenzi ya dhati na familia
Wanawake wengi siyo wa kweli (honest) wako kwenye mahusiano kwa sababu zingine na si mapenzi. Mwanamke anaweza kuolewa ata na shetani kwa sababu anaona umri wake wa kuolewa utapita, in short ni opportunists. Kuishi na mtu asiye kupenda ni changamoto kubwa sana, hakuna rangi utaacha ona. Kwa sababu hiyo basi, ushiriki wa wanawake kwenye kujenga hizo familia unakua ni mdogo, kwasababu hawajapenda, hutakaa uone mchango wao kwenye ujenzi wa hiyo familia na mwisho wake familia inasambaratika.

5. Unafiki
Wanawake kiasili ni wanafki, na wataonesha uzuri kwa nje ila ndani ni mbwa mwitu. Siku zote wanawake wana nia ovu, kaa nao kwa magutu sana. Akipata opportune moment umekwisha.

6. Tamaa na ubabaikaji
Wanawake hawako stable, wana tamaa japo anaweza kuzi suppress, ila tamaa ndiyo asili yao.wanawake wanataka vitu vyote vizuri viwe vyao, ukiwa maarufu na successful utawatembezea vitombo mpaka ukinai. Pia ukiwa na muonekano mzuri nayo ni shida. So mwanaume unapaswa at least uwe stable financially ili uwe salama

7. Malezi mabaya
Wanawake wengi wamelelewa kipuuzi, hii pengine ni kutokana na mapokeo ya dini au tabia mbaya za wazazi. Kwamba aende tu kwa mume, mume ndiye atakaye muhudumia. Yaani hapa wazazi wanakusukumia zigo lao. Hii si sawa, hakuna mtu ambaye anatakiwa awe responsible na maisha ya mtu mwingine, lazima watu wafanye kazi, wazalishe na kuchangia kwenye ujenzi wa familia. Hizo myth kwamba mwanume ni sole bread winner are long gone. Kama wanawake hawatajiongeza kwenye hili, hakuna mvulana atakayeoa, mark my words

HITIMISHO

UBINAFSI NA UCHOYO SIYO TABIA NJEMA

HAKUNA MWANAUME ANAYEWEZA KUISHI NA KUDUMU NA MWANAMKE MCHOYO NA MBINAFSI

MAHUSIANO SIYO CHANZO CHA MAPATO

KILA MTU MZIMA ANA WAJIBU WA KUFANYA KAZI NA KUJIPATIA KIPATO CHAKE HALALI

UJENZI WA FAMILIA SIYO JUKUMU LA BABA PEKE YAKE, BALI NI WANAFAMILIA WOTE

MKIENDELEA KUWA WACHOYO NA WA BINAFSI, NDOA MTAZISIKIA NCHI JIRANI
Nilichelewa hii thread


Ila mwanamke mwenye kabiadhara kake na visenti senti huezi mkuta na hivi vijitabia
U
tuambie na sample yako sio una generalize

.afu tumechoka thread zako za kuponda wanawake, what your going thru abt woman may GOD heal you uachane na hii TRAUMA
 
Mwanaume akipata Pesa anawaza Family yake ila Mwanamke akipata Pesa anawaza Sasa anaweza kuwa Single.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Hii comment ina ukweli sana,nimeona wanawake kama wawili walikuwa wanaishi vema na familia zao ila baada ya kupata kazi na kuwa na vijisent daah wamekuwa jeuri sana Kwa washikaji,mpaka jamaa yangu mmoja anataka kumpiga chini kabisa, inasikitisha sana
 
Zama zimebadilika. Jaribu kuchunguza magari mazuri mjini nani wanayamiliki. Ukipata jibu ndio utajua siku hizi we both are bread winners
Hakuna mwanaume anaweza kushindana na mwanamke hasa kwenye vitu kama hivi cos nyie mnaweza mkanunuliwa tu baada hata ya kujitoa utu wenu...........magari unayoyaona wanaendesha mjini wengi wameyapata Kwa maumivu na si jasho
 
Nilichelewa hii thread


Ila mwanamke mwenye kabiadhara kake na visenti senti huezi mkuta na hivi vijitabia
U
tuambie na sample yako sio una generalize

.afu tumechoka thread zako za kuponda wanawake, what your going thru abt woman may GOD heal you uachane na hii TRAUMA
kama hizi



 
Kwa hiyo tuoe single mothers?
Ukipenda oa single mother. Lakini ujumbe wangu hapa ni kuwa oa mwanamke mwenye akili. Usioe pungasese linalotafuta uchumi kwako akatajirishe kwao. Oa mwanamke anayekujali hata kama huna.

Oa mwanamke ambaye wazazi na nduguzo atawaelewa hasa wakati wa shida. Siyo mamako amelazwa anasema nywele zimefumka nipe hela nikasuke.

Oa mwanamke ambaye siku mkikosa msosi ndani hatapiga simu au kwenda kwao na kwa mashosti kukutangaza. Badala yake atakwambia mume wangu, akiba yangu hii hapa tutatue tatizo.

Acheni kuangalia uzuri wa maumbo na ukubwa wa makalio tu. Kuna siku yatapungua hayo.

Sasa hao mabikira wenye akili kama hizi ni wachache kwa kuwa umri wao ni mdogo na hawajakumbana na changamoto za maisha.

Oeni wenye umri angalau anaweza kujitambua na kujisimamia. Humo wamo na masingle mother mnaowadharau kila uchao.

Na ninyi vidume msipende kujionesha mna uwezo kiuchumi mnawatafuta wenza. Onesheni uhalisia wa maisha yenu ili wenye tamaa wawakatae na wenye nia wawakubali.

Ndoa ya mke na mume na iheshimiwe na kila mtu.
 
Naomba kujua wajameni nyie wanaume wa humu ili niachane na hii mada...mnaongelea wake zenu au michepuko yenu??
Me sijawahi kuwaelewa..
maana huku duani tunaona kabisa our married friends and sisters hawarudi makwao mikono tupu.

Sasa hao wanaolalamikiwa sijui ni wa sayari gani.
 
Yupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,

Wameenda, huyo dada kamaliza chuo maswala ya afya bahati mbaya kakutana na upepo wa kukosa ajira sasa ikabidi jamaa ampambanie apate kibarua private

Hapo wanaishi kwa msela, msela anamlea kama mtoto wake vile.

Baada ya kupata kazi akamchana msela kuwa hajawahi kumsaidia chochote na akamtema.

Hivyo ndivyo wanawake walivyo.
Alimlea kwa pesa. Ndo ile baby ukiwa na shida yoyote usisite kun call.
 
Me sijawahi kuwaelewa..
maana huku duani tunaona kabisa our married friends and sisters hawarudi makwao mikono tupu.

Sasa hao wanaolalamikiwa sijui ni wa sayari gani.
Hao ni single mothers, waume walishakimbia, wahoji vizuri
 
Back
Top Bottom