Kwanza lazima tujue Mungu hajawahi kusema tuishi kwa akili na mbwa au paka au simba kwanini kasema tuishi kwa akili na wanawake?
Tangu inception of human being mwanamke ni destructive, alikua wa kwanza kukaidi maagizo ya Mungu na aliadhibiwa
Lakini, kwanini yeye tu ndiye tumeambiwa tuishi naye kwa akili na si viumbe vingine ambavyo, pengine ni vya hatari zaidi, ni kwasababu Mungu anajua she is desctructive.
Uharibifu wote kwenye familia, jamii na kila mahali ata makazini unaletwa na mwanamke (fanya tafiti)
Pia, it is important to know that ata Yesu hakutaka mwanamke, siyo kwamba hakuwa na matamanio, ila alijua atavurugwa.
Kanisa katoliki,, liko ahead of us, linajua destructive nature ya hawa watu ndiyo maana mapadre ni marufuku kuoa