Kwanini Wanawake wa Kikristo hawajifunika Vichwa vyao? Au sio dalili ya heshima kwao?

Kwanini Wanawake wa Kikristo hawajifunika Vichwa vyao? Au sio dalili ya heshima kwao?

Wanajifunika, ufahamu vema ukristo na desturi zake. Kwa kuwa we ni muislam mambo ya kikristo hutayaelewa, utaona giza nene. Dunia inaenda kasi sana na mambo mengi yanabadilika hata kwenye uislam wako kuna mabadiliko yasiyo rasmi japo mnajifanya hamuyaoni
 
"Wameamrishwa", maana yake hawapo huru.
Uhuru una mipaka kijana na ndio maana hata nchi tu zina sheria na taratibu zake ukisema watu wawe huru wengine uhuru wao kuiba wengine kutembea na wake za watu je vipi tuwaachie tu kwasababu tukiwakataza hawatakua huru
 
Wanajifunika, ufahamu vema ukristo na desturi zake. Kwa kuwa we ni muislam mambo ya kikristo hutayaelewa, utaona giza nene. Dunia inaenda kasi sana na mambo mengi yanabadilika hata kwenye uislam wako kuna mabadiliko yasiyo rasmi japo mnajifanya hamuyaoni
Ushasema yasiyo rasmi hayo hayatambuliki kwenye uislam munayatambua nyie musiokua rasmi
 
Jangwani vumbi jingi... Kuvaa kininja na jua hili sio mchezo.
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Umeamua kutumıa biblia kunukuu maandiko na wakati huwa mnasema biblia imechakachuliwa na sio yenyewe!?
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Ukimaliza kujiuliza hilo turudi kwenye wale wataalam wa kufunika vichwa vyao ila ni wasambaraji wazuri wa huduma za mtandao pendwa.
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Elewa maandiko,

Rebeka alivaa shera, vazi la harusi,

Jiulize kwann kabla hajamuona hakuwa amejifunika Hadi alipomwona ndipo akafunika?

Anyway, KICHWA Cha mwanamke ni sahihi kufunikwa, anakifunua akiwa na mumewe tu chumbani.
 
Ushasema yasiyo rasmi hayo hayatambuliki kwenye uislam munayatambua nyie musiokua rasmi
yasikuwa rasmi ni mambo ambayo hayakupangwa tangu awali ila waumini wanaanza kuyazoea na kuona ni ya kawaida. Mbona hata huo uislam wenu unameng'enyuka hata kama hamtaki.
 
yasikuwa rasmi ni mambo ambayo hayakupangwa tangu awali ila waumini wanaanza kuyazoea na kuona ni ya kawaida. Mbona hata huo uislam wenu unameng'enyuka hata kama hamtaki.
Uislamu hauna mazoea bali una sharia na taratibu zake ambazo zipo hivyo hivyo milele
 
Back
Top Bottom