Kwanini Wanawake wa Kikristo hawajifunika Vichwa vyao? Au sio dalili ya heshima kwao?

Kwanini Wanawake wa Kikristo hawajifunika Vichwa vyao? Au sio dalili ya heshima kwao?

1 Wakoritho 11:3 Napenda mfahamu kwamba kichwa cha kila mwanaume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanaume, nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.

MAANA YA MWANAMKE KUFUNIKA KICHWA KIKRISTO NI KUMSITIRI MWANAUME MAANA KICHWA CHA MWANAMKE NI MWANAUME NA KUMFICHIA AIBU MUME WAKE , KUFICHA MADHAIFU YA MUME, KUTUNZA SIRI ZA MUME WAKE ( MWANAUME).

** KUFUNIKA - KUSITIRI , KUFICHA , KUZIBA ...KITU KISIONEKANE
 
Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
Wanapendeza nje kimavazi ila hayo maijabu na manguo yao tunayavua gest na kwenye magheto yetu kirahisi sana . Tena tunawasaidia kutoa kabisa vile vipini wanavyoweka kushikilia maushungi yao
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Ni kwa sababu wanaume wa kikiristo HAWANA WIVU WA KIPUUZI kwa wake zao kama walivyo waume za wale wanawake wanaojifunika gubigubi huku wakizurula mitaani.
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
images (1).jpeg
images.jpeg
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Kujifunika kichwa sio heshima, zenj wanajifunika vichwa, na ni swala tano,Ila wanaongoza kubanduliwa k za nyuma!
 
Hahaha ndio maana Allah na Mudy ni reject wanawaogopa wayahudi hadi wameshindwa kuwasaidia wapalestina.

NAJIVUNIA MIMI SIYO MWISLAM
Wewe kumbe chizi? Allah ndio anatoa roho yako, katoa roho za bibi zako na babu zako na ndio alietoa roho ya Yesu wako
 
Wale wa mama wa zamani wanafunika aisee.

Mama yangu mzazi i barely saw her head.

Muda wote utamkuta na kitambaa kichwani.

Biblia inasema hivyo. Mwanamke asiyefunika kichwa chake ni sawa na kuwa yupo uchi.

Vizazi ya dot. Com hivyo ni sawa na waislamu wanakula nguruwe tu.
 
Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
Picha za AI hizo zisikushughulishe.
 
Wale wa mama wa zamani wanafunika aisee.

Mama yangu mzazi i barely saw her head.

Muda wote utamkuta na kitambaa kichwani.

Biblia inasema hivyo. Mwanamke asiyefunika kichwa chake ni sawa na kuwa yupo uchi.

Vizazi ya dot. Com hivyo ni sawa na waislamu wanakula nguruwe tu.
Waislam wanakula nguruwe. Kwa sababu wanafata marafiki wa kikiristo. Muislam anaejitambua hali nguruwe
 
Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
Sio mavazi tu hata masuala mengine kama utiifu, usafi, mapishi n.k kama umewahi kudate na list ndefu ya mabinti ya kikrosto na kiislamu utagundua kuna tofauti kubwa sana.

Kama kuna mafundisho ambayo mabinti wa kiislamu wanapewa ingekua poa na mabinti wa kikristo wapewe pia
 
Back
Top Bottom