Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Kuamini mungu hewa a.k.a allahHakuna hata moja kama ipo itaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuamini mungu hewa a.k.a allahHakuna hata moja kama ipo itaje
Wanapendeza nje kimavazi ila hayo maijabu na manguo yao tunayavua gest na kwenye magheto yetu kirahisi sana . Tena tunawasaidia kutoa kabisa vile vipini wanavyoweka kushikilia maushungi yaoWanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
Ni kwa sababu wanaume wa kikiristo HAWANA WIVU WA KIPUUZI kwa wake zao kama walivyo waume za wale wanawake wanaojifunika gubigubi huku wakizurula mitaani.Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
Hawa wakiristo wamevaa hivyo
Kujifunika kichwa sio heshima, zenj wanajifunika vichwa, na ni swala tano,Ila wanaongoza kubanduliwa k za nyuma!Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Hahaha ndio maana Allah na Mudy ni reject wanawaogopa wayahudi hadi wameshindwa kuwasaidia wapalestina.Hawa wakiristo wamevaa hivyo
Wewe kumbe chizi? Allah ndio anatoa roho yako, katoa roho za bibi zako na babu zako na ndio alietoa roho ya Yesu wakoHahaha ndio maana Allah na Mudy ni reject wanawaogopa wayahudi hadi wameshindwa kuwasaidia wapalestina.
NAJIVUNIA MIMI SIYO MWISLAM
Mbona kashindwa sasa kuifuta Israel? Anachojuwa ni kiarabu tu.Wewe kumbe chizi? Allah ndio anatoa roho yako, katoa roho za bibi zako na babu zako na ndio alietoa roho ya Yesu wako
Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
Mzee wako unaweza kutembea nae akiwa na chupi mkapita kariakoo au manzese? Hivi wakiristo hizi comments mnafikiria kabla kuleta humu?Mwanamke akitembea kavaa chupi inakuathiri vipi?
Allah huyu huyu anayewaogopa wayahudi anachojua ni kiarabu tu anipe oxygen? Kashindwa kuifuta Israel hiyo Oxygen anaweza?Mbona hujiulizi , kwanini anakupa oxygen yake wewe kafiri?
Picha za AI hizo zisikushughulishe.Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
PointRasta wanayombea hela na kukaa kwa mmsai saa 8 watawaonyesha nani
Waislam wanakula nguruwe. Kwa sababu wanafata marafiki wa kikiristo. Muislam anaejitambua hali nguruweWale wa mama wa zamani wanafunika aisee.
Mama yangu mzazi i barely saw her head.
Muda wote utamkuta na kitambaa kichwani.
Biblia inasema hivyo. Mwanamke asiyefunika kichwa chake ni sawa na kuwa yupo uchi.
Vizazi ya dot. Com hivyo ni sawa na waislamu wanakula nguruwe tu.
Sio mavazi tu hata masuala mengine kama utiifu, usafi, mapishi n.k kama umewahi kudate na list ndefu ya mabinti ya kikrosto na kiislamu utagundua kuna tofauti kubwa sana.Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli