Ni kweli mkuu mm ni Mkristu ila navutiwa na mabint wa kiisilamu wanavyojisitiri ,Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
Nyie si mnasema Biblia imechakachuliwa. Mbona unainukuu?Kimya?
Kwani ukiamrishwa usimame barabarani na boda boda yako wakati Rais anapita barabarani hupo huru?"Wameamrishwa", maana yake hawapo huru.
Hupendi vimini? Sasa mbona unaingia nao kanisani?Ni kweli mkuu mm ni Mkristu ila navutiwa na mabint wa kiisilamu wanavyojisitiri ,
Mbona hasara ziko nyingi nikislimMudy ndio Nani kijana ila kama ni mrengo ule unatakiwa uslimu sababu ukislim hautakua katika waliopata khasara
Basi endelea kupata faidaMbona hasara ziko nyingi nikislim
Uhuru una mipaka kijana na ndio maana hata nchi tu zina sheria na taratibu zake ukisema watu wawe huru wengine uhuru wao kuiba wengine kutembea na wake za watu je vipi tuwaachie tu kwasababu tukiwakataza hawatakua huru"Wameamrishwa", maana yake hawapo huru.
Hakuna hata moja kama ipo itajeMbona hasara ziko nyingi nikislim
Ushasema yasiyo rasmi hayo hayatambuliki kwenye uislam munayatambua nyie musiokua rasmiWanajifunika, ufahamu vema ukristo na desturi zake. Kwa kuwa we ni muislam mambo ya kikristo hutayaelewa, utaona giza nene. Dunia inaenda kasi sana na mambo mengi yanabadilika hata kwenye uislam wako kuna mabadiliko yasiyo rasmi japo mnajifanya hamuyaoni
Umeamua kutumıa biblia kunukuu maandiko na wakati huwa mnasema biblia imechakachuliwa na sio yenyewe!?Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Ukimaliza kujiuliza hilo turudi kwenye wale wataalam wa kufunika vichwa vyao ila ni wasambaraji wazuri wa huduma za mtandao pendwa.Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Kufunika vichwa ni tamaduni ya middle East ya miaka mingi hata kabla Yesu hajazaliwa, ni vizuri hiki likaeleweka vizuri.Wanawake wa kiislamu mavazi yao yanapendeza mno kwa kweli
Elewa maandiko,Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Wazungu wameleta viminiKufunika vichwa ni tamaduni ya middle East ya miaka mingi hata kabla Yesu hajazaliwa, ni vizuri hiki likaeleweka vizuri.
Na wakristo wameruhusiwa kutembea vichwa waziKwa sababu waislamu wakike wameamrishwa kujistiri kwa kufunika vichwa vyao
yasikuwa rasmi ni mambo ambayo hayakupangwa tangu awali ila waumini wanaanza kuyazoea na kuona ni ya kawaida. Mbona hata huo uislam wenu unameng'enyuka hata kama hamtaki.Ushasema yasiyo rasmi hayo hayatambuliki kwenye uislam munayatambua nyie musiokua rasmi
Uislamu hauna mazoea bali una sharia na taratibu zake ambazo zipo hivyo hivyo mileleyasikuwa rasmi ni mambo ambayo hayakupangwa tangu awali ila waumini wanaanza kuyazoea na kuona ni ya kawaida. Mbona hata huo uislam wenu unameng'enyuka hata kama hamtaki.
Kwamba ghalama zimekuelemea za kumlisha? Maana hana kazi kama unamlisha wewe.Unauwaza sana ukristo zaidi hata unavowaza maendeleo.
Hivi bro una shughuli za kufanya kweli?