Kwanini wanawake wa Kitanzania huwa hawajiamini wanapokua kwenye mahusiano na sisi wanaume Mabrothermen?

Kwanini wanawake wa Kitanzania huwa hawajiamini wanapokua kwenye mahusiano na sisi wanaume Mabrothermen?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati, tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote, tuna vijisent vya hapa na pale vya kuendesha maisha yetu ya kila siku, tunasukuma ndinga pendwa na vijana wa mjini kama vile crown etc, sio waongeaji sana,ni mahandsome kwa mbali, haturingi, tumeenda enda vidato, tumetembea tembea hii dunia hivyo tuna exposure flani,hatuna cycle kubwa ya the so called friends na mengine kadha wa kadha.

So recently kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya nimegundua sisi wanaume mabrothermen tukiwa na mahusiano hasa na wanawake wa hapa kwetu Tanzania, hawa wanawake wana tabia ya kutojiamini kabisa,hivyo kupelekea mahusiano kufa na kuonekana kuwa sisi mabrothermen ni wazee wa hit and run kitu ambacho sio kweli kabisa.

Kautafiti kangu kalienda mbali zaidi na kugundua kuwa hawa wanawake huwa hawana amani kabisa wawapo na sisi brothermen.

So ebu naomba mnisaidie kunijibu kwa nini hii hali huwakuta wanawake wanapokua kwenye mahusiano na sisi mabrothermen?
 
,ni mahandsome kwa mbali
Screenshot_20240926-103154.jpg
 
Kutokujiamini ni udhaifu sawa na over confidence, nafikiri ni kwamba wewe unafikiri ni mtu Bora na kumbe ni mtu wa hovyo, kwa hiyo unatumia kipimo Chako ( ambapo ni cha kipumbavu ) kupimia watu timamu, huwezi pata majibu, ona wenzako kwa jicho la uthamani!
 
Hivi kanda ya ziwa bado mnaule ubishoo wa kizamani kama Mr blue na zile staili zenu Bishoo anavaa mewani ya blue kiatu ya blue, saa ya blue, trouser ya blue, tshirt ya blue, kofia ya blue, mkanda wa blue alafu unachomelea kwa mbele? Maana niliwahi kwenda huko musoma nikakuta mabishoo wenu wanavaa hivyo
 
Hivi kanda ya ziwa bado mnaule ubishoo wa kizamani kama Mr blue na zile staili zenu Bishoo anavaa mewani ya blue kiatu ya blue, saa ya blue, trouser ya blue, tshirt ya blue, kofia ya blue, mkanda wa blue alafu unachomelea kwa mbele? Maana niliwahi kwenda huko musoma nikakuta mabishoo wenu wanavaa hivyo
Nimecheka sana.

Huku kijijini ndiyo pigo za watoto wa 2000 wakivaa hivyo Mimi nawalipa kwa kupaka pico na kupiga scrub sura yangu.

Nguo modo kiasi navaa travota Kali basi wanakijiji wanaishia kusema vijana wa hapa hawajui kupangilia mavazi Kama yule mzee na pia hawana sura nzuri Kama yeye .

Mimi Sasa kichwa 😺
 
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati,tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote,tuna vijisent vya hapa ...
Habari yako brotherman,

Baada ya salamu nimalizie kwa kusema mabrotherman mliofika kwa Diddy hamkutoka salama. Ninyi ni takwa la moyo wa P. Diddy!
 
hata mimi siwezi kudate na huyo mwanaume so called bishoo!! mwanaume ukishaanza kujipenda utaweza kuhudumia familia kweli? raha ya mwanaume awe na sura ya kazi sura ya kiume halaf kuna mstar mwembamba sana unatenganisha huyo bishoo mwanaume na kua marioo. msinivamie sio lazima tufanane mismamo.
 
Back
Top Bottom