Kwanini wanawake wa Kitanzania huwa hawajiamini wanapokua kwenye mahusiano na sisi wanaume Mabrothermen?

Kwanini wanawake wa Kitanzania huwa hawajiamini wanapokua kwenye mahusiano na sisi wanaume Mabrothermen?

hata mimi siwezi kudate na huyo mwanaume so called bishoo!! mwanaume ukishaanza kujipenda utaweza kuhudumia familia kweli? raha ya mwanaume awe na sura ya kazi sura ya kiume halaf kuna mstar mwembamba sana unatenganisha huyo bishoo mwanaume na kua marioo. msinivamie sio lazima tufanane mismamo.
na wengi wao wanaishiaga kuolewa, mwanaume unapaka mafuta ya aina tatu hii imeanza lini
 
Labda hujamtengenezea mazingira ya kujiamini kuwa yupo na ww/ww upo na yeye tuu.
 
Back
Top Bottom