Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ni kweli tunaona kama mna madharau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wengi wao wanaishiaga kuolewa, mwanaume unapaka mafuta ya aina tatu hii imeanza linihata mimi siwezi kudate na huyo mwanaume so called bishoo!! mwanaume ukishaanza kujipenda utaweza kuhudumia familia kweli? raha ya mwanaume awe na sura ya kazi sura ya kiume halaf kuna mstar mwembamba sana unatenganisha huyo bishoo mwanaume na kua marioo. msinivamie sio lazima tufanane mismamo.
The diddler's gonna lube him up.😥😥Wanawake Gani? Hey blazamen kaza .The Great Diddy is watching yoooh.
The Mafia Diddy Did ..then dig dig back there.😂The diddler's gonna lube him up.
mshenzi wewe😂then dig dig back there.😂
😥😥😂😂 Hii JF inafanya watoto wetu watutukane imbecile.😂😂mshenzi wewe😂
Kiboko ya wachawi wapenda kitonga
PapaiKwa uandishi huu wewe tayari ni chakula cha P Diddy. Pole sana.
Anamcheki kwa mbaali handsome boy wa jfKiboko ya wachawi wapenda kitonga
s ndio hapo, yani mm mkewe nijipulizie mipafyum ninukie nisinuke kisamaki wala shombo na yeye anukie bishoo ana mafuta yanywele ya mwili na ngozi ya uso dressing table imejaa vikorokoro kama mwanamkena wengi wao wanaishiaga kuolewa, mwanaume unapaka mafuta ya aina tatu hii imeanza lini
Hapana mimi ni mwambaMpaji Mungu na Half american nanyi ni mabrothermen?
Halafu depression 🤣🤣🤣🤣Hapana mimi ni mwamba