Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Mapepo yanatokewa Kwa Jina La YESU kristo.

Tofauti na hapo ni kupinga Pepo na kubembelezana nayo.

Wanawake waache kuvaa vitu vya mapepo Ili iwe Rahisi kuachana nayo moja Kwa moja!!
Vitu vya mapepo ni vipi? Au ni vitu ambavyo we huvipendi so unatishia watu tu
 
Mungu na SHERIA na maagizo ya Mungu hayabadiliki sababu ya utandawazi.

Hadi Leo, Wana wa Mungu Wana NDOA zenye upenda na Amani.

Njoo Kwa Yesu up one.
😂😂😂😂Wakristo kwa waislamu kibao ndoa zao zinavunjika...acha uongo...,😂sheria za Mungu zipi za wayahudi kuchoma moto wachawi na kupiga mawe mashoga na wazinzi, sheria za kuruhusu utumwa, kuruhusu wanawake kuolewa watoto, kuruhusu utumwa wa kingono...ndo sheria za Mungu hizi...Kama ndo hivyo Bora mniache kwa kweli...nipo nchi ya kidemokrasia nafata sheria za kidemokrasia sio sheria za magaidi wanalipuana huko kila siku kisa kubishana Mungu yupi wa ukweli kumbe wote wamemtunga tu
 
Ikiwa magonjwa na mapepo ni Kwa maskini pekee,

Kwahiyo masaki au New York city hakuna magonjwa Wala makaburi?
😂😂😂U r so illogical nimesema mapepo magonjwa yameingiaje...acha kunimezesha maneno, magonjwa yapo na yataendelea kuwepo ila medicine Ina improve...Muulize Yesu anajua hata Figo ni Nini...au battery ya moyo ni Nini...yeye alijua kila ugonjwa ni Pepo la kukemea, niambie sehemu bible au Quran imeandikwa kuhusu virus au bacteria kusababisha magonjwa..coz walioandika ni wajinga na hawana elimu yoyote ya biology.
 
Na mara nyingi chanzo Cha wanawake kuwa wachawi ni hayo hayo mapambo na nguo nusu uchi wavaazo, wanajikuta wanapata waume majini,

Watahangaika nayo weee wakienda Kwa Waganga kutafuta solution ndo wanapewa uchawi na kujikuta wanaanza kuroga.

Waume tusimame kuhakikisha wake zetu na familia zinamuelekea Mungu.

Amen
Na wanawake wengi wafugao na kuendeleza majini ni Waislam, hivi kwanini? Hii ni kwa sababu wanavaa vimini skirts wakati wengi wao wanavaa magwanda ya kitaleban. Utakuta mtoto mdogo yuko darasa la kwanza kavalishwa kitaleban na joto lote hili la Dar kweli, ni haki jamani?
 
Na wanawake wengi wafugao na kuendeleza majini ni Waislam, hivi kwanini? Hii ni kwa sababu wanavaa vimini skirts wakati wengi wao wanavaa magwanda ya kitaleban. Utakuta mtoto mdogo yuko darasa la kwanza kavalishwa kitaleban na joto lote hili la Dar kweli, ni haki jamani?
Mada inaongelea wanawake wanaoshambuliwa na mapepo,

Tofautisha na wapinga Pepo, au wenye kufuga majini nk nk,

Hao naowaongelea ni hawana shirk na majini au mapepo lakini Kwa kutojua wanavaa vitu vinavyoyakaribisha mapepo yawashambulie.
 
Ni Kweli mwanamke mchawi kuacha uchawi, ni Hadi Mungu aingilie kati.

Bt wapo waliokutana na Mwanaume wa wanaume Yesu Kristo na wameacha matunguli na ni watumishi, japonni Wachache.
Namfahamu mwanamke hapa mtaani kwetu yeye ni mchawi kishenzi ila bado analitumikia kanisa tena kanisa mashuhuri tu hapa Dar, yeye akiwa kiongozi wa kwaya. Yeye kutwa kucha kila akiongea ni kumsifia Yesu tu na Mungu lakini bado anaua watu.
 
Namfahamu mwanamke hapa mtaani kwetu yeye ni mchawi kishenzi ila bado analitumikia kanisa tena kanisa mashuhuri tu hapa Dar, yeye akiwa kiongozi wa kwaya. Yeye kutwa kucha kila akiongea ni kumsifia Yesu tu na Mungu lakini bado anaua watu.
Ikiwa ni Kweli usemayo, mwanamke huyo ni mkristo Jina Si OG, ni fake Agent wa shetani.

Kanisani agents wa shetani wapo wengi,

Amwaminiye Kristo Yesu Kweli Kweli, mwana wa Mungu haezi kuwa mchawi.

Ni adui ya wachawi, Rafiki wa Yesu.

Karibu nawe katika Ufalme wa mwanakondoo.

Amen
 
Ikiwa ni Kweli usemayo, mwanamke huyo ni mkristo Jina Si OG, ni fake Agent wa shetani.

Kanisani agents wa shetani wapo wengi,

Amwaminiye Kristo Yesu Kweli Kweli, mwana wa Mungu haezi kuwa mchawi.

Ni adui ya wachawi, Rafiki wa Yesu.

Karibu nawe katika Ufalme wa mwanakondoo.

Amen
Sitaki kuja kwenye ufalme wa kondoo, mimi si kondoo na ninajitambua akili. We endelea tu kuwa kondoo, tutakusubiri machinjioni Vingunguti hivi karibuni
 
Sitaki kuja kwenye ufalme wa kondoo, mimi si kondoo na ninajitambua akili. We endelea tu kuwa kondoo, tutakusubiri machinjioni Vingunguti hivi karibuni
Kumbuka kuwa zipo njia mbili pekee.

1. Pana iendayo Upotevuni, ya wezi, walevi, wasomwamini Yesu nk nk iendayo kuzimu.

2. Nyembamba iendayo uzimani, Mbinguni, na njia hiyo Ni Yesu Kristo.

Uchaguzi ni wako, ubarikiwe.
 
Kumbuka kuwa zipo njia mbili pekee.

1. Pana iendayo Upotevuni, ya wezi, walevi, wasomwamini Yesu nk nk iendayo kuzimu.

2. Nyembamba iendayo uzimani, Mbinguni, na njia hiyo Ni Yesu Kristo.

Uchaguzi ni wako, ubarikiwe.
Why....why Mungu mwenye upendo afurahie watu wengi aliyewaumba yeye na mapungufu yote afu huyo huyo awaunguze kisa hawajaamini hadithi za kitoto...how is this fair
 
Kumbuka kuwa zipo njia mbili pekee.

1. Pana iendayo Upotevuni, ya wezi, walevi, wasomwamini Yesu nk nk iendayo kuzimu.

2. Nyembamba iendayo uzimani, Mbinguni, na njia hiyo Ni Yesu Kristo.

Uchaguzi ni wako, ubarikiwe.
Dogo karne hii ya uwazi na ukweli bado tu una amini hadithi za kutungwa na wanadamu kama wewe?
 
Back
Top Bottom