Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Wanaume tunahusika direct na taabu wanazopitia wanawake.

Ikiwa ulipata mtoto nje au kabla ya NDOA mtafute umlee,

Vijana wa kiume waache uhuni, waoe na kukaa na familia.

Na TABIA ya ulevi kuzalisha wanawake na kuwaacha ni dhambi kubwa na Mzigo Kwa Taifa.

Wanaume turudi Kwa mstari.
Inasikitisha sana mimi nakutana na Wanawake wengi wanaoitwa single mothers, wamezalishwa wamebaki na watoto wanaume wamewatelekeza hata kuhudumia watoto wao hawataki.
Kwanini mtu timamu kabisa hataki kumhudumia mtoto wake wa damu yake?

Wanaume tunawaumiza sana Wanawake.
Binasfi huwa nasikitika sana hakika.

Wanawake kuweni makini sana na Wanaume mnao kutana nao Barabarani.
Kama kuzaa nao muwafanyi Utafiti kwanza kama wana hiari ya kulea watoto mnao zaa nao.
 
Inasikitisha sana mimi nakutana na Wanawake wengi wanaoitwa single mothers, wamezalishwa wamebaki na watoto wanaume wamewatelekeza hata kuhudumia watoto wao hawataki.
Kwanini mtu timamu kabisa hataki kumhudumia mtoto wake wa damu yake?

Wanaume tunawaumiza sana Wanawake.
Binasfi huwa nasikitika sana hakika.

Wanawake kuweni makini sana na Wanaume mnao kutana nao Barabarani.
Kama kuzaa nao muwafanyi Utafiti kwanza kama wana hiari ya kulea watoto mnao zaa nao.
Sadaka inahitajika kupelekwa Kwa wanawake wenye kupitia Hali ngumu kimaisha Ili kuwapunguzia Mzigo.

Ni muhimu pia kutembelea majirani wanaotuzunguka na kusaidia,

Kujifungia katika mageti Si sawa.

Zamani Babu na bibi na familia zetu waliishi Kwa Upendo.
 
Zamani mtu akipatikana na mapepo basi testi ya kwanza ilikua kumtandika bakora barabara. Ikiwa ni pepo la kweli basi mtu atakua salama, ikiwa nmapepo feki ya ku act basi atapiga mayowe na kilio kuomba aachiwe kakoma hatarudia tena keleta ujinga wa mapepo feki.
 
Hawashambuliwi na mapepo.
Ni kwamba,wanapokwenda kuchota maji,wanapotazama clear water,clairvoyance is induced.
Now because they have not heard of clairvoyance,hiyo inaitwa mapepo
 
Utajiri utokao Kwa Mungu ni OG, wa shetani ni fake.

Yaani uwe na pesa mingi halafu unaambiwa ulale chooni daily, hz pesa za nn!!

Anyway turudi kwenye mada,

Mwambie dakako aepuke mapambo, ni hatari.
Nani analala chooni, nani ana mapepo coz of mapambo...mmeambiwa mbona masaki watu wanaishi vizuri na vyote hivi. Acheni wivu wa maendeleo wajinga ndo waliwao.
 
We ndo umetoa HOJA irrelevant,

Mapepo hayaogopi watu wa kipato Cha juu, hayabagui, hayachagui.
What is the evidence of mapepo? Why yanachagua watu wenye small critical thinking mostly watu wa kipato Cha chini au elimu duni..why Kuna watu sio hata wa dini na hawapati mpaka wanakufa..it's all in the mind. Kama umekuwa katika jamii au nyumba inaamini ujinga lazma utaona ujinga..ubongo unatengeneza picha Accord to ulivyoicondition
 
Hakika Wanaume wengi hawa wathamini inavyopasika Wanawake zao.
Kumbuka kutokana na kuzaa na kazi kazi Wanawake wanachakaa haraka kuzidi wanaume.

Nina marafiki zangu wengi tu wamewaacha wake zao baada ya kuchakaa na kuona Wanawake wengine vijana na warembo.

Hili linapelekea Wanawake wengi Kutafuta nguvu za Imani ili kuwarudisha waume zao katika upendo wa awali.
Hapo Wanawake hasa wale wa kiasili huwa wanaaamua kutumia maombi au waganga wa kienyeji.

Ndio maana unaona kwenye Makanisa Kuna waumini wengi wanawake. Na wengine huamua kwenda kwa waganga wa kienyeji.

Wanaume tuwathamini wake zetu tulio anza nao maisha.
Huwa wanaumia sana tunapo waonesha Upendo hafufu baada ya kuishi nao muda mrefu.
Hii ni factor...in short wanawake wanawork kwa hisia zaidi
 
Wanaume tunahusika direct na taabu wanazopitia wanawake.

Ikiwa ulipata mtoto nje au kabla ya NDOA mtafute umlee,

Vijana wa kiume waache uhuni, waoe na kukaa na familia.

Na TABIA ya ulevi kuzalisha wanawake na kuwaacha ni dhambi kubwa na Mzigo Kwa Taifa.

Wanaume turudi Kwa mstari.
😂Unasema tuoe wakati Hadi matajiri na mastar kina will smith wanateseka na ndoa je sisi hebu...
 
Inasikitisha sana mimi nakutana na Wanawake wengi wanaoitwa single mothers, wamezalishwa wamebaki na watoto wanaume wamewatelekeza hata kuhudumia watoto wao hawataki.
Kwanini mtu timamu kabisa hataki kumhudumia mtoto wake wa damu yake?

Wanaume tunawaumiza sana Wanawake.
Binasfi huwa nasikitika sana hakika.

Wanawake kuweni makini sana na Wanaume mnao kutana nao Barabarani.
Kama kuzaa nao muwafanyi Utafiti kwanza kama wana hiari ya kulea watoto mnao zaa nao.
That is their problem...😂😂hivi ushawahi fuatilia nani anasababisha single mothers. Wewe hivi videmu vinakataa wanaume wema kwa mi play boy yenye hela afu ikitumika inalalamika wanaume wabaya wakati unakuta Kuna msururu wa wanaume wema wamepigwa chini. Hili swala la usingo Maza is by choice Tena unakuta mtu ana baba watatu tofauti lyk wtf
 
Zamani mtu akipatikana na mapepo basi testi ya kwanza ilikua kumtandika bakora barabara. Ikiwa ni pepo la kweli basi mtu atakua salama, ikiwa nmapepo feki ya ku act basi atapiga mayowe na kilio kuomba aachiwe kakoma hatarudia tena keleta ujinga wa mapepo feki.
Vyovyote vile that's unnecessary injury kwa binadamu sio haki ndo maana jamii ya saa hivi huwezi fanya hivyo public...labda ndani ya makanisa ya kijinga
 
😂Unasema tuoe wakati Hadi matajiri na mastar kina will smith wanateseka na ndoa je sisi hebu...
Ni kheri Kuoa kuliko kutangatanga Kwa tamaa.

Ukipata mke sahihi ubavu wako OG , NDOA ni njema sana.

Role model wako ktk NDOA awe mtumishi wa Mungu Si hao mastaa wa Dunia.
 
Ni kheri Kuoa kuliko kutangatanga Kwa tamaa.

Ukipata mke sahihi ubavu wako OG , NDOA ni njema sana.

Role model wako ktk NDOA awe mtumishi wa Mungu Si hao mastaa wa Dunia.
We oa. Asilimia 70% ya ndoa duniani huvunjika nowadays, asilimia 80% ya divorce ni mwanamke anaomba talaka...asilimia 90% ni mwanamke anafaidika baada ya kuachana na mwanaume anaumia kiuchumi na kihisia zaidi. Hayo mambo ya ubavu cjui Nini ni story za wayahudi tu ila the real world ukiendekeza uishi kana wayahudi wa miaka 3000 iliyopita utapigwa za mbavu
 
What is the evidence of mapepo? Why yanachagua watu wenye small critical thinking mostly watu wa kipato Cha chini au elimu duni..why Kuna watu sio hata wa dini na hawapati mpaka wanakufa..it's all in the mind. Kama umekuwa katika jamii au nyumba inaamini ujinga lazma utaona ujinga..ubongo unatengeneza picha Accord to ulivyoicondition

Kumcha Mungu ndicho chanzo Cha maarifa na ufahamu.

Kwenda shule na Usijue Uwepo wa Mungu na shetani ni kupapasa gizani.
 
We oa. Asilimia 70% ya ndoa duniani huvunjika nowadays, asilimia 80% ya divorce ni mwanamke anaomba talaka...asilimia 90% ni mwanamke anafaidika baada ya kuachana na mwanaume anaumia kiuchumi na kihisia zaidi. Hayo mambo ya ubavu cjui Nini ni story za wayahudi tu ila the real world ukiendekeza uishi kana wayahudi wa miaka 3000 iliyopita utapigwa za mbavu
Kwahiyo kwako kununua MAKAHABA unaona ndio akili?

Kuwajaza mimba wasichana na Kutolea watoto ndo akili?

Baba na Babu Yako wangekuwa na mawazo kama uliyonayo, ungekuwepo Leo?
 
Zamani mtu akipatikana na mapepo basi testi ya kwanza ilikua kumtandika bakora barabara. Ikiwa ni pepo la kweli basi mtu atakua salama, ikiwa nmapepo feki ya ku act basi atapiga mayowe na kilio kuomba aachiwe kakoma hatarudia tena keleta ujinga wa mapepo feki.
Tunaongelea mapepo halisi yanayowashambulia wanawake zaidi kuliko wanaume.

Zamani utabibu ulikuwa chini Bado.

Mapepo tunayoongelea ni wale ambao madaktari wamepima kila ugonjwa na kukosa sababu.

Madaktari mara nyingi wameshauri ndugu wa wagonjwa wawapeleke nyumba za Ibada wagonjwa baada ya wao kutoona ugonjwa.
 
What is the evidence of mapepo? Why yanachagua watu wenye small critical thinking mostly watu wa kipato Cha chini au elimu duni..why Kuna watu sio hata wa dini na hawapati mpaka wanakufa..it's all in the mind. Kama umekuwa katika jamii au nyumba inaamini ujinga lazma utaona ujinga..ubongo unatengeneza picha Accord to ulivyoicondition
Nenda hospitali, kaa na doctors, ingia wodi ya vichaa utajua tofauti ya ukichaa wa kawaida na unaosababishwa na mapepo.

Wapo wagonjwa wengi wa ukichaa wamepelekwa hospitali, madaktari wamepima Kila aina ya ugonjwa hauonekani, mwisho waliwashauri ndugu wa mgonjwa kutafuta msaada katika nyumba za Ibada.

Kaa vizuri na madaktari wa vichaa, watakuambia ikiwa Kuna mapepo au la.
 
Back
Top Bottom