Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Umeandika ujinga mwingi..wanawake are more emotional based kuliko wanaume ndo maana are more likely kuamini vitu visivyo vya ukweli Kama wachungaji waganga matapeli etc wanaendeshwa kwa hisia Kama uwoga tamaa etc....
Najua kuwatenga wanawake na mapambo Si KAZI ndogo,

Lakini UKWELI wa Mungu Hauna budi kusemwa.
 
Nimeishi oysterbau miaka 20 sikuona wala kusikia habari za mapepo
 
Nimeishi oysterbau miaka 20 sikuona wala kusikia habari za mapepo
(Mhubiri 5:12)

USINGIZI wake kibarua ni mtamu, kwamba amekula kidogo, au amekula vingi, lakini kushiba wake tajiri hakumpi kulala USINGIZI!!!

Wadanganye wasiojua kilicho behind Utajiri usiotokana na Mungu.
 
(Mhubiri 5:12)

USINGIZI wake kibarua ni mtamu, kwamba amekula kidogo, au amekula vingi, lakini kushiba wake tajiri hakumpi kulala USINGIZI!!!

Wadanganye wasiojua kilicho behind Utajiri usiotokana na Mungu.
Utajiri unayotoka kwa Mungu na usiotoka kwa Mungu ni upi. Acheni wivu wa maendeleo na mfanye kazi
 
U
(Mhubiri 5:12)

USINGIZI wake kibarua ni mtamu, kwamba amekula kidogo, au amekula vingi, lakini kushiba wake tajiri hakumpi kulala USINGIZI!!!

Wadanganye wasiojua kilicho behind Utajiri usiotokana na Mungu.
Irrellevant,
 
Utajiri unayotoka kwa Mungu na usiotoka kwa Mungu ni upi. Acheni wivu wa maendeleo na mfanye kazi
Utajiri utokao Kwa Mungu ni OG, wa shetani ni fake.

Yaani uwe na pesa mingi halafu unaambiwa ulale chooni daily, hz pesa za nn!!

Anyway turudi kwenye mada,

Mwambie dakako aepuke mapambo, ni hatari.
 
Nani kasema? Yale siyo mapepo Mkuu....ni maumivu wanayopitia kwenye ndoa au ugumu wa maisha
Kwamba wanaume hawapitii maumivu kwenye NDOA au ugumu wa maisha?
 
Tuwasaidie, maana huwapeleka na watoto wetu bila kutuomba ruhusa.

Wanaume turudi kubeba majukumu yetu kushape familia na vizazi vijavyo.

Tuache ulevi na ubussy for nothing.

Amen
Hakika Wanaume wengi hawa wathamini inavyopasika Wanawake zao.
Kumbuka kutokana na kuzaa na kazi kazi Wanawake wanachakaa haraka kuzidi wanaume.

Nina marafiki zangu wengi tu wamewaacha wake zao baada ya kuchakaa na kuona Wanawake wengine vijana na warembo.

Hili linapelekea Wanawake wengi Kutafuta nguvu za Imani ili kuwarudisha waume zao katika upendo wa awali.
Hapo Wanawake hasa wale wa kiasili huwa wanaaamua kutumia maombi au waganga wa kienyeji.

Ndio maana unaona kwenye Makanisa Kuna waumini wengi wanawake. Na wengine huamua kwenda kwa waganga wa kienyeji.

Wanaume tuwathamini wake zetu tulio anza nao maisha.
Huwa wanaumia sana tunapo waonesha Upendo hafufu baada ya kuishi nao muda mrefu.
 
Hakika Wanaume wengi hawa wathamini inavyopasika Wanawake zao.
Kumbuka kutokana na kuzaa na kazi kazi Wanawake wanachakaa haraka kuzidi wanaume.

Nina marafiki zangu wengi tu wamewaacha wake zao baada ya kuchakaa na kuona Wanawake wengine vijana na warembo.

Hili linapelekea Wanawake wengi Kutafuta nguvu za Imani ili kuwarudisha waume zao katika upendo wa awali.
Hapo Wanawake hasa wale wa kiasili huwa wanaaamua kutumia maombi au waganga wa kienyeji.

Ndio maana unaona kwenye Makanisa Kuna waumini wengi wanawake. Na wengine huamua kwenda kwa waganga wa kienyeji.

Wanaume tuwathamini wake zetu tulio anza nao maisha.
Huwa wanaumia sana tunapo waonesha Upendo hafufu baada ya kuishi nao muda mrefu.
Wanaume tunahusika direct na taabu wanazopitia wanawake.

Ikiwa ulipata mtoto nje au kabla ya NDOA mtafute umlee,

Vijana wa kiume waache uhuni, waoe na kukaa na familia.

Na TABIA ya ulevi kuzalisha wanawake na kuwaacha ni dhambi kubwa na Mzigo Kwa Taifa.

Wanaume turudi Kwa mstari.
 
Kwa tabia yao ya kupenda kushinda uchi vyumbani mwao na kupenda kushinda kwenye vioo vya dressing table zao mapepo yatawaandama hadi mwsho,
 
Back
Top Bottom