Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Mbona wanawake wa zamani walitumia Marhamu?

Haya yalikuwa ni kama marashi Sasa...

Vikuku ambavyo alipewa Rebecca na Pete ya puani au hazama...
 
Mbona wanawake wa zamani walitumia Marhamu?

Haya yalikuwa ni kama marashi Sasa...

Vikuku ambavyo alipewa Rebecca na Pete ya puani au hazama...
Manukato ni Kweli yalikuwa yakitumika, na tangu zamani, wanawake wamekuwa Wahanga wa mapepo kupitia lango Hilo la mapambo.

Roho mtakatifu anafunua Kweli yote sasa Ili kujitenga na mashambulizi.

Brands nyingi kubwa kubwa za manukato zinabuniwa na mapepo kule kuzimu kavu na Ulimwengu wa giza, hivyo mwana wa Mungu kuzitumia unajiweka kwenye hatari.

Pia Si wote Wana uwezo kutofautisha manukato yenye kuvuta mapepo na ambayo hayavuti mapepo, hivyo BUSARA ni kupaka mafuta kawaida.

Pia vikuku na Pete za puani tangu zamani vilikemewa, havina uhusiano na Mungu Bali IBADA za sanamu.

Rebeka familia yake ilikuwa na Mila za kiasili za kipagani kama Abram alivyokuwa mpagani kabla ya kuitwa na Mungu.

Wanawake Waliostuka na kuacha mawigi na mapambo, hawana tena vita ya Kila kukicha kufukuza mapepo.

Amen
 
INTRODUCTON.

Jinsia zote hupata mashambulizi ya kipepo, lakini Leo tuangalie sababu zinazofanya wanawake wengi kupata mashambulizi ya kipepo.

Makanisani tunaona Kila siku ni wao wakiangushwa na mapepo na hayatoki, yalitoka yanarudi. Imekuwa kama mchezo sasa wa kuigiza.

MAPEPO.

Hizi ni ROHO chafu, Malaika wa Giza waasi, agents wa kuzimu wanaopenda kukaa ndani ya miili ya WANADAMU.

MWILI NI HEKALU.

Mungu na shetani Ili kuoperate katika Ulimwengu unaoonekana, mwili unahitajika Ili utumike kama madhabahu ya kupokea vitu,taarifa ,maelekezo Kutoka Ulimwengu usioonekana na kuleta Ulimwengu unaoonekana.

MWILI pia unatumika kama HEKALU Ili Mungu akae ndani au Shetani kupitia Pepo akae ndani ya mtu.

(1 Koritho 6:19-20)

Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni HEKALU la Roho mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?

(Romans 12:1-2).

Basi ndugu zangu nawasihi, Kwa huruma zake Mungu, Itoeni miili yenu iwe dhabibu, iliyo hai, TAKATIFU, ya kumpendeza Mungu ndiyo IBADA yenu yenye maana.

(2Korithians 6:14).

Msifungwe nira pamoja na wasioamini, Kwa jinsi isivyo sawasawa, Kwa maana, Pana urafiki Gani kati ya HAKI na uasi?

Tena Pana urafiki Gani kati ya Nuru na Giza?

Tena Pana ulinganifu Gani kati ya KRISTO na BERIALI?

Kwa kusoma vifungu vya BIBLIA hapo juu, Mungu anataka tuitoe miili yetu iwe takatifu na sadaka.

Wakati huo huo Shetani naye anaitaka miili hiyo hiyo ya WANADAMU iwe HEKALU lake, akae humo, na hapo ndipo vita inapoanza.

Kwanini wanawake wanashambuliwa zaidi na MAPEPO kuliko wanaume?

Zifuatazo ni baadhi ya sababu kuu zinazowaweka wanawake katika risk kubwa kushambuliwa na kutekwa na MAPEPO Kwa kujua au Kwa kutojua.

1. USHIRIKINA.

Kutokana na sababu kuwa wanawake ndio walezi wa watoto na familia, hukutana na changamoto kama magonjwa ya watoto, mashambulizi Kutoka Kwa maadui wabaya, mambo ambayo hupelekea kutaka kupata ufumbuzi nje ya Mungu na kutumbukia katika mkondo wa kwenda Kwa Waganga.

2. KUCHANJA CHALE.

Wawapo katika matibabu ya asili, KUCHANJA CHALE Huwa ni Moja ya mbinu watumiazo Waganga kama matibabu,

Wanawake wengi Kwa kutojua madhara yake hukubali KUCHANJA CHALE.

Chale ni ANTENA, mtu aliyechanja chale, ni sawa na tembo aliyepigwa chip pale Serengeti, unaweza kumfuatilia popote alipo na kujua afanyacho.

Hivyo Kwa KUCHANJA chale, inaruhusu kufuatiliwa au kushambuliwa na mapepo na unajiweka katika mazingira ya kupoteza ulinzi wa Mungu wa asili tangu Kuzaliwa.

3. UVAAJI WA MAPAMBO MWILINI.

Upo utawala katika Ulimwengu wa Giza unaoshughulika na mapambo na Vito, nknk,

Utawala huo uko chini ya Malkia wa Baharini, Roho hiyo ya Yezebeli inatumika na wachawi nk nk kushambulia Hasa wanawake Ili wawe MAKAHABA, huwavamia na kuwafanya wawe addicted na mapambo na vitu vya kidunia, lengo kuu ni kuhakikisha mwanamke anakosea muda wa kufundisha maadili ya Mungu katika familia.

-UVAAJI WA WIGS, NYWELE BANDIA.

Nywele bandia ni Moja ya vitu vinavyofungua portals, vinafungua codes za kiulinzi ulizonazo na kuruhusu mlango kufunguka Kwa mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao.

Uaona wanawake wengi Kila kukicha huvamiwa na mapepo, na hata yakifukuzwa, hurudi tena, sababu umeweka vitu vyao mwilini mwako.

-UVAAJI NGUO ZA KUBANA NA NUSU UCHI.

Tunasoma katika maandiko, Malaika wa Giza hutamani wanawake wa kibinadamu, hivyo uvaaji wa nguo za kikahaba, huvuta pia mapepo yaje kukuingia na kufanya makao ndani Yako Kwa kupenda au kuopenda, Kwa kujua au kutojua.

-KUWEKA KUCHA NDEFU BANDIA.
Asili ya kucha ndefu ni ufanane na Misukule, hivyo kuweka kucha ndefu ni kufungua mlango Ili uvamiwe na mapepo.

-UCHORAJI TATOOS NA HINA.

TATOOS zote na Hina zinafungua milango yote ya kiulinzi aliyoweka Mungu ya asili, hivyo kuruhusu mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao, haijalishi unasali au la.

-UVAAJI WA SHANGA VIUNONI NA VIKUKU.

Hii pia ni njia mojawapo inayokaribisha mapepo kuwavamia wanawake wenye kuvaa mapambo hayo Kwa kujua au Kwa kutojua.

Ndomana matatizo mwilini hayawaishi, Kila kukicha utasikia vitu vinakutembea mwilini au miwasho nk nk.

-UVAAJI WA PETE NA HERENI.

Hereni na Pete ni Ishara ya kumilikiwa.

Mabinti wengi hawachumbiwi sababu wanatoboa masikio na kuvaa hereni na Pete ambazo Huwa ni Ishara ya kumilikiwa.

Na kumilikiwa huko Huwa Si katika Mungu, ni katika Ulimwengu wa Giza.

Kuvaa mapambo hayo, kunakaribisha mapepo yawavamie na kuwageuza viti na mahekalu Yao.

Walio wa Mungu hawaruhusiwi kuvaa Pete au hereni maana vinaondoa utakatifu na maana halisi ya kuitoa miili yetu kuwa dhabihu TAKATIFU ya kumpendeza Mungu.

- UPULIZIAJI MANUKATO.

Yapo manukato wapuliziayo wanawake yanayovuta mapepo kuingia na kuwageuza WANADAMU mahekalu na viti vyao.

Ukipuliza manukato hayo, hayaombi huhusa, ni sawa na kuacha mlango wazi, Kila kitu kitaingua.

Na mambo hayo, uanaondoa uwepo wa Mungu na UTAKATIFU.

-UVAAJI WA CHENI SHINGONI, BANGILI NK NK.

Cheni inayovaliwa kama mapambo, humaanisha Utumwa, tangu enzi na enzi watumwa walikuwa wakiwekewa alama na kufungwa minyororo,

Hivyo kuvaa vitu hivyo ni kuruhusu Pepo wabaya kuingia na kutawala.

SOLUTION.

1. Acha mara Moja kuvaa mapambo tajwa hapo juu Ili upunguze mashambulizi ya mapepo.

2. Pia epuka kwenda Kwa Waganga, maana kwenda huko ni kufungua mlango Ili mapepo yaje kufanya makao ndani ya MWILI wako.

3. OKOKA, mkabidhi Yesu maisha Yako, akupe Amani yake, Damu ya Yesu itakusafisha na utakuwa kiumbe kipya.

4. Kataa USHIRIKINA, achana na marafuki wabaya ambao hutafuta msaada wa WANADAMU Kutoka Mizimu nk nk.


Mapepo yatafukuzwa na ukiacha kuvaa mapambo, utaufunga mlango Ili kuzuia mashambulizi ya kipepo once and for all.

ANGALIZO: YESU ANARUDI SOON, NI MUDA SASA WA KUHUBIRI INJILI YA UTAKATIFU.

YESU ANALITAKA,ANALIKUSANYA KANISA LAKE ILI LINYAKULIWE.

Amen.
Shetani yupo karibu na wao....wachawi wakubwa karibia wote ni wanawake. Watu wenye roho mbaya na wakatili ni wanawake, waongo kupitiliza ni wanawake, wambea ni wanawake, wanaojiuza ni wanawake, kuna la ziada?
 
Manukato ni Kweli yalikuwa yakitumika, na tangu zamani, wanawake wamekuwa Waganga wa mapepo kupitia lango Hilo la mapambo.

Roho mtakatifu anafunua Kweli yote sasa Ili kujitenga na mashambulizi.

Brands nyingi kubwa kubwa za manukato zinabuniwa na mapepo, hivyo mwana wa Mungu kuzitumia unajiweka kwenye hatari.

Pia Si wote Wana uwezo kutofautisha manukato yenye kuvuta mapepo na ambayo hayavuti mapepo, hivyo BUSARA ni kupaka mafuta kawaida.

Pia vikuku na Pete za puani tangu zamani vilikemewa, havina uhusiano na Mungu Bali IBADA za sanamu.

Rebeka familia yake ilikuwa na Mila za kiasili za kipagani kama Abram alivyokuwa mpagani kabla ya kuitwa na Mungu.

Wanawake Waliostuka na kuacha mawigi na mapambo, hawana tena vita ya Kila kukicha kufukuza mapepo.

Amen
Vikitakaswa kwa damu ya YESU pia haviwezi kutumiwa?

Damu ya YESU inasafisha na kuondoa mapepo...
 
Shetani yupo karibu na wao....wachawi wakubwa karibia wote ni wanawake. Watu wenye roho mbaya na wakatili ni wanawake, waongo kupitiliza ni wanawake, wambea ni wanawake, wanaojiuza ni wanawake, kuna la ziada?
Ni Kweli,

Bt pia ndo waliotuzaa na kutukuza.

Ni muhimu wanaume kama viongozi kuwashape wanawake Ili wasiharibu uzao ujao.

Amen
 
Ni Kweli,

Bt pia ndo waliotuzaa na kutukuza.

Ni muhimu wanaume kama viongozi kuwashape wanawake Ili wasiharibu uzao ujao.

Amen
Mwanamme atafanya hivyo ila kuna usiku pia. Mtu umelala au umelishwa midawa na mkeo ili ulale fofofo, yeye yuko zake na ungo angani anakwenda shopping Uingereza au Marekani kununua viungo vya wazungu ili uchawi wake uwe juu zaidi.
 
Ni Kweli,

Bt pia ndo waliotuzaa na kutukuza.

Ni muhimu wanaume kama viongozi kuwashape wanawake Ili wasiharibu uzao ujao.

Amen
Mwanamke mchawi harekebishwi mpaka ajiue mwenyewe kwa kujipiga na akifa anamwachia uchawi mwanawe wa kike au kajukuu kake ka kike. Aluta continua✊
 
Vikitakaswa kwa damu ya YESU pia haviwezi kutumiwa?

Damu ya YESU inasafisha na kuondoa mapepo...
Chakula ndo kinaweza kutakaswa,

Hirizi Kwa Mfano uliyopewa na bibi Yako, unaweza kuitakasa Kwa maombi na kuendelea kuivaa?

Mawigi kamwe hayatakasiki, sababu ni vitu bandia vinavyomtukana Mungu na kumfanya aonekane aliumba Kwa kukosea.

Mapambo pia hayatakasiki Kwa maombi. Utayafukuza mapepo Leo yanatoka, kesho yanarudi.

Ukiacha mapambo, mapepo yanakosa mlango wa kukuingia na kukutesa.

Jambo Hilo ni gumu sana kukubaliwa na wanawake, lakini ndo UKWELI wenyewe lazima usemwe ulivyo.

Wachungaji na manabii wa siku hizi wanaogopa kukemea mapambo na mawigi sababu hata wake zao wanavaa.

Bt Mungu UKWELI wake Huwa umenyooka haupindishwi!!

Amen
 
Chakula ndo kinaweza kutakaswa,

Hirizi Kwa Mfano uliyopewa na bibi Yako, unaweza kuitakasa Kwa maombi na kuendelea kuivaa?

Mawigi kamwe hayatakasiki, sababu ni vitu bandia vinavyomtukana Mungu na kumfanya aonekane aliumba Kwa kukosea.

Mapambo pia hayatakasiki Kwa maombi. Utayafukuza mapepo Leo yanatoka, kesho yanarudi.

Ukiacha mapambo, mapepo yanakosa mlango wa kukuingia na kukutesa.

Jambo Hilo ni gumu sana kukubaliwa na wanawake, lakini ndo UKWELI wenyewe lazima usemwe ulivyo.

Wachungaji na manabii wa siku hizi wanaogopa kukemea mapambo na mawigi sababu hata wake zao wanavaa.

Bt Mungu UKWELI wake Huwa umenyooka haupindishwi!!

Amen
Mungu tusaidie
 
mbali na mapepo kuna kitu umenifunua ubalikiwe
 
Mwanamme atafanya hivyo ila kuna usiku pia. Mtu umelala au umelishwa midawa na mkeo ili ulale fofofo, yeye yuko zake na ungo angani anakwenda shopping Uingereza au Marekani kununua viungo vya wazungu ili uchawi wake uwe juu zaidi.
Na mara nyingi chanzo Cha wanawake kuwa wachawi ni hayo hayo mapambo na nguo nusu uchi wavaazo, wanajikuta wanapata waume majini,

Watahangaika nayo weee wakienda Kwa Waganga kutafuta solution ndo wanapewa uchawi na kujikuta wanaanza kuroga.

Waume tusimame kuhakikisha wake zetu na familia zinamuelekea Mungu.

Amen
 
Na mara nyingi chanzo Cha wanawake kuwa wachawi ni hayo hayo mapambo na nguo nusu uchi wavaazo, wanajikuta wanapata waume majini,

Watahangaika nayo weee wakienda Kwa Waganga kutafuta solution ndo wanapewa uchawi na kujikuta wanaanza kuroga.

Waume tusimame kuhakikisha wake zetu na familia zinamuelekea Mungu.

Amen
Mh! Mkuu Leo umeniacha hoi...

Uchawi wengi wao hupewa wakiwa tumboni yaani mimba na wengine wakiwa wadogo...

Mfano.. mama anampa mwanae au mjukuu..
Uchawi unatokana na watu wa karibu yao ndio huwapa...

Wapo wanapewa na marafiki na jirani pia...

Hao wanaopewa uchawi kama ni wanawake huvaa sura za kupendeza
 
Nakataa soma hii kisa kidogo tu.

Kuna mwanadada alikuwa mtoto wa mchungaji alikuwa hajui cha waganga tokea azaliwe. Sasa katika ukuaji wake ulikuwa mgumu sana . Katika magonjwa , na kuolewa alihangaika na maombi sana . Ika iligonga mwamba . Akaja kupata rafiki akampeleka kwa waganga alikata maana anaamini ni mbaya kwa halizile alikubali ila hajawahi kufanya ulioandika ila alikutwa na .

Majini sio haba vifungo , na mambo kibao so maisha ni mtu anamuharibu mtu kwa kumtupia mambo machafu
 
Birds with same feather flock together
Usipochukua hatua ukaacha yaendelee, mkeo atakuwa mchwi na utapotezwa.

Stuka, wanaume tupo vitani.

Turudi kwenye mstari, tusimamie Maadili ya Mungu katika familia zetu.
 
Mh! Mkuu Leo umeniacha hoi...

Uchawi wengi wao hupewa wakiwa tumboni yaani mimba na wengine wakiwa wadogo...

Mfano.. mama anampa mwanae au mjukuu..
Uchawi unatokana na watu wa karibu yao ndio huwapa...

Wapo wanapewa na marafiki na jirani pia...

Hao wanaopewa uchawi kama ni wanawake huvaa sura za kupendeza
Ni Kweli usemayo,

Bt Nina ushahidi wa wanawake waliokiri kufundishwa uchawi walipoenda Kwa Waganga kutafuta suluhu za NDOA,magonjwa ya kipepo au kutafuta ulinzi.
 
Ni Kweli usemayo,

Bt Nina ushahidi wa wanawake waliokiri kufundishwa uchawi walipoenda Kwa Waganga kutafuta suluhu za NDOA,magonjwa ya kipepo au kutafuta ulinzi.
Nikweli haya pia...

Ila mawigi na mavazi hayamfundishi mwanamke uchawi...

Ila kama alivaa nguo au wigi ya mtu mchawi anaweza beba roho
 
Nakataa soma hii kisa kidogo tu.

Kuna mwanadada alikuwa mtoto wa mchungaji alikuwa hajui cha waganga tokea azaliwe. Sasa katika ukuaji wake ulikuwa mgumu sana . Katika magonjwa , na kuolewa alihangaika na maombi sana . Ika iligonga mwamba . Akaja kupata rafiki akampeleka kwa waganga alikata maana anaamini ni mbaya kwa halizile alikubali ila hajawahi kufanya ulioandika ila alikutwa na .

Majini sio haba vifungo , na mambo kibao so maisha ni mtu anamuharibu mtu kwa kumtupia mambo machafu
Nakubaliana na ulichosema,

Pia mada ya Leo Iko wazi kuwa mapambo na mavazi, wigs, USHIRIKINA ni mojawapo ya vyanzo vya wanawake wengi kushambuliwa na mapepo,

Ziko sababu zingine zinazosababusha wanawake kushambuliwa bt sitaziongelea.

Pia nakataa, Wanawake kwenda Kwa WAGANGA kupata suluhu ya matatizo Yao.

Huyo aliyeshindwa Kwa maombi, hakuwa mvumilivu, Maombi ni silaha kuu, haijawahi shindwa. Ni muhimu kuwa mvumilivu.

Hakuna mganga anayemtumikia Mungu, ni maagent wa shetani. Kwenda huko ni kutafuta ugomvi na Mungu.

Amen
 
Mwanzo (Gen) 3:14
BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;

15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.

(Wanawake ndio wanaoenda zaidi kwa waganga wa kienyeji kwa shida zao nyingi.
Huko ndiko wanako tupiwa hao wadudu wachafu)
 
Back
Top Bottom