Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Miisilamu inajidai tu mijuba mikubwa haina lolote, ndoni iko tupu.
Hata Hina usichore bibie,

Ni machukizo, msituharibie watoto wetu wa kike.

Wanawake wa kiyahudi na waislamu wanavaa vizuri.

Waondoe tu mapambo mwilini.
 
Kwanini sasa majini yenu ya kiislamu na kiarabu yanasumbua hata wasio waislamu?
Si mijinni ya kiisilamu haina adabu, inataka kuchezea tu makalio ya watu.

Mipepo amayo haina dini haifanyi hivyo ina heshima.
 
Leo hujaamka vizuri bi Faiza,

Mijini imekuchezea nawe ulipolala?
Mimi natembea nayo usiku na mchana.

Mishenzi sana hii mijinni Miarabu, tena mipalestina hii ilimkumba hata Yesu siku 40 kule nazareti.

Mijinni mibaya sana hii, ina nguvu ya kumkumba hata "mungu".
 
Wanateswa Hasa wanawake na MAPEPO, Hasa wavaa mawigi.
Mapepo ni maigizo tu mkuu. Wanawake wa kiswahili walikuwa wanajidai wana mapepo ili kupima upendo wa wanaume wao. Wakifanyiwa sherehe kubwa ya kutoa pepo basi wanasema wanapendwa. Wenye mapepo ni watu waliokosa kabisa aibu.
 
Mapepo ni maigizo tu mkuu. Wanawake wa kiswahili walikuwa wanajidai wana mapepo ili kupima upendo wa wanaume wao. Wakifanyiwa sherehe kubwa ya kutoa pepo basi wanasema wanapendwa. Wenye mapepo ni watu waliokosa kabisa aibu.
Hayajakukuta. IPO siku.
 
Mimi natembea nayo usiku na mchana.

Mishenzi sana hii mijinni Miarabu, tena mipalestina hii ilimkumba hata Yesu siku 40 kule nazareti.

Mijinni mibaya sana hii, ina nguvu ya kumkumba hata "mungu".
Yesu alipokuwa duniani katika mwili, alihusika kiasi kikubwa kuyafukuza mapepo yaliyowakalia na kuwatesa wanawake.

Yesu ni Mungu, ana nguvu na mamlaka juu ya Pepo na shetani.

Amen
 
Mleta mada ana upungufu wa afya ya akili. Yaani anawaza vitu halafu anavileta hapa na havina maana yeyote zaidi upunguwani. Huwa nashangaa sana pale mtu mweusi anapolazimisha na yeye kujiona ni Mkristo au Mwislamu. Jitambue
 
INTRODUCTON.

Jinsia zote hupata mashambulizi ya kipepo, lakini Leo tuangalie sababu zinazofanya wanawake wengi kupata mashambulizi ya kipepo.

Makanisani tunaona Kila siku ni wao wakiangushwa na mapepo na hayatoki, yalitoka yanarudi. Imekuwa kama mchezo sasa wa kuigiza.

MAPEPO.

Hizi ni ROHO chafu, Malaika wa Giza waasi, agents wa kuzimu wanaopenda kukaa ndani ya miili ya WANADAMU.

MWILI NI HEKALU.

Mungu na shetani Ili kuoperate katika Ulimwengu unaoonekana, mwili unahitajika Ili utumike kama madhabahu ya kupokea vitu,taarifa ,maelekezo Kutoka Ulimwengu usioonekana na kuleta Ulimwengu unaoonekana.

MWILI pia unatumika kama HEKALU Ili Mungu akae ndani au Shetani kupitia Pepo akae ndani ya mtu.

(1 Koritho 6:19-20)

Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni HEKALU la Roho mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?

(Romans 12:1-2).

Basi ndugu zangu nawasihi, Kwa huruma zake Mungu, Itoeni miili yenu iwe dhabibu, iliyo hai, TAKATIFU, ya kumpendeza Mungu ndiyo IBADA yenu yenye maana.

(2Korithians 6:14).

Msifungwe nira pamoja na wasioamini, Kwa jinsi isivyo sawasawa, Kwa maana, Pana urafiki Gani kati ya HAKI na uasi?

Tena Pana urafiki Gani kati ya Nuru na Giza?

Tena Pana ulinganifu Gani kati ya KRISTO na BERIALI?

Kwa kusoma vifungu vya BIBLIA hapo juu, Mungu anataka tuitoe miili yetu iwe takatifu na sadaka.

Wakati huo huo Shetani naye anaitaka miili hiyo hiyo ya WANADAMU iwe HEKALU lake, akae humo, na hapo ndipo vita inapoanza.

Kwanini wanawake wanashambuliwa zaidi na MAPEPO kuliko wanaume?

Zifuatazo ni baadhi ya sababu kuu zinazowaweka wanawake katika risk kubwa kushambuliwa na kutekwa na MAPEPO Kwa kujua au Kwa kutojua.

1. USHIRIKINA.

Kutokana na sababu kuwa wanawake ndio walezi wa watoto na familia, hukutana na changamoto kama magonjwa ya watoto, mashambulizi Kutoka Kwa maadui wabaya, mambo ambayo hupelekea kutaka kupata ufumbuzi nje ya Mungu na kutumbukia katika mkondo wa kwenda Kwa Waganga.

2. KUCHANJA CHALE.

Wawapo katika matibabu ya asili, KUCHANJA CHALE Huwa ni Moja ya mbinu watumiazo Waganga kama matibabu,

Wanawake wengi Kwa kutojua madhara yake hukubali KUCHANJA CHALE.

Chale ni ANTENA, mtu aliyechanja chale, ni sawa na tembo aliyepigwa chip pale Serengeti, unaweza kumfuatilia popote alipo na kujua afanyacho.

Hivyo Kwa KUCHANJA chale, inaruhusu kufuatiliwa au kushambuliwa na mapepo na unajiweka katika mazingira ya kupoteza ulinzi wa Mungu wa asili tangu Kuzaliwa.

3. UVAAJI WA MAPAMBO MWILINI.

Upo utawala katika Ulimwengu wa Giza unaoshughulika na mapambo na Vito, nknk,

Utawala huo uko chini ya Malkia wa Baharini, Roho hiyo ya Yezebeli inatumika na wachawi nk nk kushambulia Hasa wanawake Ili wawe MAKAHABA, huwavamia na kuwafanya wawe addicted na mapambo na vitu vya kidunia, lengo kuu ni kuhakikisha mwanamke anakosea muda wa kufundisha maadili ya Mungu katika familia.

-UVAAJI WA WIGS, NYWELE BANDIA.

Nywele bandia ni Moja ya vitu vinavyofungua portals, vinafungua codes za kiulinzi ulizonazo na kuruhusu mlango kufunguka Kwa mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao.

Uaona wanawake wengi Kila kukicha huvamiwa na mapepo, na hata yakifukuzwa, hurudi tena, sababu umeweka vitu vyao mwilini mwako.

-UVAAJI NGUO ZA KUBANA NA NUSU UCHI.

Tunasoma katika maandiko, Malaika wa Giza hutamani wanawake wa kibinadamu, hivyo uvaaji wa nguo za kikahaba, huvuta pia mapepo yaje kukuingia na kufanya makao ndani Yako Kwa kupenda au kuopenda, Kwa kujua au kutojua.

-KUWEKA KUCHA NDEFU BANDIA.
Asili ya kucha ndefu ni ufanane na Misukule, hivyo kuweka kucha ndefu ni kufungua mlango Ili uvamiwe na mapepo.

-UCHORAJI TATOOS NA HINA.

TATOOS zote na Hina zinafungua milango yote ya kiulinzi aliyoweka Mungu ya asili, hivyo kuruhusu mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao, haijalishi unasali au la.

-UVAAJI WA SHANGA VIUNONI NA VIKUKU.

Hii pia ni njia mojawapo inayokaribisha mapepo kuwavamia wanawake wenye kuvaa mapambo hayo Kwa kujua au Kwa kutojua.

Ndomana matatizo mwilini hayawaishi, Kila kukicha utasikia vitu vinakutembea mwilini au miwasho nk nk.

-UVAAJI WA PETE NA HERENI.

Hereni na Pete ni Ishara ya kumilikiwa.

Mabinti wengi hawachumbiwi sababu wanatoboa masikio na kuvaa hereni na Pete ambazo Huwa ni Ishara ya kumilikiwa.

Na kumilikiwa huko Huwa Si katika Mungu, ni katika Ulimwengu wa Giza.

Kuvaa mapambo hayo, kunakaribisha mapepo yawavamie na kuwageuza viti na mahekalu Yao.

Walio wa Mungu hawaruhusiwi kuvaa Pete au hereni maana vinaondoa utakatifu na maana halisi ya kuitoa miili yetu kuwa dhabihu TAKATIFU ya kumpendeza Mungu.

- UPULIZIAJI MANUKATO.

Yapo manukato wapuliziayo wanawake yanayovuta mapepo kuingia na kuwageuza WANADAMU mahekalu na viti vyao.

Ukipuliza manukato hayo, hayaombi huhusa, ni sawa na kuacha mlango wazi, Kila kitu kitaingua.

Na mambo hayo, uanaondoa uwepo wa Mungu na UTAKATIFU.

-UVAAJI WA CHENI SHINGONI, BANGILI NK NK.

Cheni inayovaliwa kama mapambo, humaanisha Utumwa, tangu enzi na enzi watumwa walikuwa wakiwekewa alama na kufungwa minyororo,

Hivyo kuvaa vitu hivyo ni kuruhusu Pepo wabaya kuingia na kutawala.

SOLUTION.

1. Acha mara Moja kuvaa mapambo tajwa hapo juu Ili upunguze mashambulizi ya mapepo.

2. Pia epuka kwenda Kwa Waganga, maana kwenda huko ni kufungua mlango Ili mapepo yaje kufanya makao ndani ya MWILI wako.

3. OKOKA, mkabidhi Yesu maisha Yako, akupe Amani yake, Damu ya Yesu itakusafisha na utakuwa kiumbe kipya.

4. Kataa USHIRIKINA au kwenda Kwa Waganga wa kienyeji na usipige ramli, ni machukizo.


Mapepo yatafukuzwa na ukiacha kuvaa mapambo, utaufunga mlango Ili kuzuia mashambulizi ya kipepo once and for all.

ANGALIZO: YESU ANARUDI SOON, NI MUDA SASA WA KUHUBIRI INJILI YA UTAKATIFU.

YESU ANALITAKA,ANALIKUSANYA KANISA LAKE ILI LINYAKULIWE.

Amen.
Ukarib wa mapepo na wanawake haujanza leo.. tokea bustan ya eden alianza piga stor na shetan. Ogopa sana
 
Yesu alipokuwa duniani katika mwili, alihusika kiasi kikubwa kuyafukuza mapepo yaliyowakalia na kuwatesa wanawake.

Yesu ni Mungu, ana nguvu na mamlaka juu ya Pepo na shetani.

Amen
Hata nguruwe aliwateketeza, usishau hilo.
 
Hata nguruwe aliwateketeza, usishau hilo.
No, aliteketeza mapepo, nayo Kwa hasira yakawaibgia nguruwe na kuwamaliza.

Msikubali NDOA na majini, ni hatari.

Hata kama yanawaletea pesa, ni hatari.

Msiyafuge.
 
Ukarib wa mapepo na wanawake haujanza leo.. tokea bustan ya eden alianza piga stor na shetan. Ogopa sana
Ndo wanaume tuwe macho,

Hujiulizi Adam alikuwa wapi Hadi Hawa apate nafasi hiyo!!

Tupunguze ubussy!!

Tuwawekee ulinzi Ili mambo yasihatibike.
 
No, aliteketeza mapepo, nayo Kwa hasira yakawaibgia nguruwe na kuwamaliza.

Msikubali NDOA na majini, ni hatari.

Hata kama yanawaletea pesa, ni hatari.

Msiyafuge.
Haya tutafunga ndo na mabaharia tu.
 
😅😅Nashangaa yaani makanisani ndio balaa na yanafikaje kanisani?


Yaani mtu hyo kila siku anaenda kanisani halafu apate mapepo na 90% ni wanwake mpaka nashangaa.

Nakumbuka shule haswa sekondari wanawake wanakuwa kawaida ila pakitokea tukio kama kuchapwa basi wanashikwa na hayo madude ila kwa kweli nahisi kuna jambo .
Sababu kuu ni mapambo na mawigi. Kuvaa vitu vinavyotokana na mapepo ni kuyakaribisha.

Waliostuka na kuacha wanaishi poa sana!!
 
Mleta mada ana upungufu wa afya ya akili. Yaani anawaza vitu halafu anavileta hapa na havina maana yeyote zaidi upunguwani. Huwa nashangaa sana pale mtu mweusi anapolazimisha na yeye kujiona ni Mkristo au Mwislamu. Jitambue
Unaweza kuwa sawa,

Ila usisahau kuwa vichaa Huwa hawajui kuwa ni vichaa.

Waeza kuwa mmoja wapo, hivyo Tukae Kwa tahadhari!!
 
Back
Top Bottom